Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Dawa,badala ya kujikita kujenga misikiti Hadi vijijini Kila baada ya mita mia,ni Bora wajenge hospitali na shuleBibi ana nongwa mpaka basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa,badala ya kujikita kujenga misikiti Hadi vijijini Kila baada ya mita mia,ni Bora wajenge hospitali na shuleBibi ana nongwa mpaka basi.
Hiki ulichoweka hapa hakina uhusiano wowote na jibu nililompa niliyem quote, unahangaika tu.![]()
SERIKALI YAREJESHA MISAMAHA YA KODI TAASISI ZA DINI
Serikali imelegeza msimamo wake kuhusu kuondoa misamaha ya kodi kwenye Taasisi za dini badala yake itaongeza udhibiti ili kuzuia mianya...tec1956.blogspot.com
Lengo ni makanisa.Hao Wabunge umewachomekea tu. Lengo lako kuu ni hizo taasisi za kidini.
Hata Kama,siyo kunyonya hazina kwa ruzuku na misamaha ya kodi,hata hivyo kazi ya kusaka wafuasi ilifanyika zamani,Sasa hivi mtu anazaliwa anafuata dini ya wazazi,so yeah..hawali kwa jashoinamankusweke
unaposema
wanyonyaji,hapo bado wanakula sadaka,zaka,fungu la kumi...hawali kwa jasho
hivi unafikili kuanzisha kanisa mpaka lipate hao waleta zaka nijambo rahisi kunavitu vigumu sana msiwe mnasema wanakula bila jasho
Kibibi ovyo sana weweHatutaki taasisi za "kidini" zote ziwe na misamaha ya kodi, wizi mtupu.
Pesa zikalipe madeni aliyotuwachiwa mwendazake, tunalambwa mahakama za kimataifa kila siku kwa ujinga wake yule jamaa.
Huwa unanisoma kwa uoga tu.Kwa mara ya kwanza umeleta hoja ya maana ya kizalendo. Hili la wabunge kupewa misamaha ya kodi, marupurupu kibao na mikopo ya mchongo ni mojawapo ya kansa kubwa katika nchi hii. Kamwe hatutakaa tuwe na siasa safi na maendeleo ya kweli kama tutaendelea kukumbatia mifumo ya kinyonyaji kama hii
Nasikitika sana kugundua kwamba ,nilifanya matumizi mabaya ya Akili yangu .Hapa Jamii forums, hapo zamani tumeshajadili sana kuhusu misamaha ya kodi ya kila namna na jinsi inavyotuumiza. Leo hii sitaki kuchanganya mjadala wa kodi aina nyingi, nashauri hapa misamha ya kodi sehemu mbili tu ifutwe:
1) Wabunge wote wafutiwe misamaha yote ya kodi.
2) Taasisi za kidini zifutiwe misamaha yote ya kodi.
1) Wabunge:
Hakuna asiyeelewa kuwa Tanzania wabunge wanalipwa vizuri sana kuliko sehemu nyingi sana serikalini na uraiani. Licha ya kipato chao kuwa kikubwa, wana upendeleo maalum wa mikopo, hapohapo wanasamehewa kodi.
Naamini hii si haki kwa Watanzania ambao wengi wetu ni vipato vya chini kuendelea kuwasamehe kodi wabunge.
Misaaha ya kod kwa wabunge, imeleta athari ya kuwa na wabunge wengi ambao wapo bungeni kwa maslahi yao binafsi na si kwa kuwatumikia Watanzania. Tujadili.
2) Taasisi za dini.
Hapa ndiyo kabisa siioni sababu ya hizi taasisi kuwa na misamaha ya kodi. Sioni sababu hata moja ya kwanini taasisi za dini ziwe na misamaha ya kodi.
Tunaitaka serikali yetu, ilitazame hili haraka iwezekanavyo, misamha ya kodi yote ifutwe kwa wabunge na na taasisis za kidini.
Enough is enough.
Hili la taasisi za kidini tumeona likipigwa danadana, mara linafungiwa misamaha mara inardushwa. Tuwe na msimamo mmoja ytu na lisijadilike. Kama hatuwezi kuendesha dini etu mpaka tuwe na misamaha ya kodi, tusifunguwe taasisi za kidini, tufundishane dini misikitini na makanisani, misikiti na makanisa yasiweza kujiendesha bila misamaha ya kodi ifunge milango yake na izifanye kumbi za starehe serikali iingize pesa.
Binafsi, misamaha ya kodi naiona kuwa ni wizi mtupu.
![]()
Serikali ya Tanzania yazungumzia msamaha wa kodi kwa taasisi za dini
Serikali imesema bado inaendelea kutathmini maombi ya kusamehe kodi kutoka kwa taasisi za dini ili kubaini hatua zinazoweza kuchukuliwa bila kuathiri matakwa ya sheria zilizopo.www.mwananchi.co.tz
Kabibi haka Kali tumia ujanja wake pale Magot club Sasa kamechoka kamekimbilia Siasa taka mkasame tuWewe bibi kizee utakufa mdomo wazi na chuki zako za kidini. Toka enzi za akina malaria sugu wa jf, sijawahi kusoma andiko lako lisilo na harufu za chuki za kidini. Unazunguuuka ila kinakuuma kwanini taasisi za kikristo zinashamiri na kufanikiwa. Kupanga ni kuchagua, endelea na sonona la moyo wako huku wanaume wakipiga kazi
Hakuna mjadala hapa Ustaadh ni wivu tu wa huyo bibi unamsumbuaChuma...
Ndipo nikasema mjadala utavurugika.
Katika hali kama hii mtu unajadili kitu gani