Ukionekana unamzidi sana akili atakuletea kigezo sio bikraKuna hii akikusalimia siku mbili Tatu swali linakuja unafanya kazi gani /unajishughulisha na nn,yaani ni waoga sijui ndo kutembelea fursa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukionekana unamzidi sana akili atakuletea kigezo sio bikraKuna hii akikusalimia siku mbili Tatu swali linakuja unafanya kazi gani /unajishughulisha na nn,yaani ni waoga sijui ndo kutembelea fursa
Kumtoa bikra ya Nyuma ama !?Lakini jay z ndiye alimtoa bikira huyo beyonce..
Sasa ambitions gani izo zitamzuia mwanamke kushindwa kukaa kwa wazazi wake? Mwanamke anatakiwa kubaki kwa wazazi wake mpaka atakapoolewa vinginevyo awe anafanya kazi zake mbali na mji, wanawake wa geto hawafahiTelling men to go after unambitious women.. wanaume wa siku hzi tunaogopa sana changamoto..yani ukatae mke kisa ulimkuta kwake?🤣🤣
Ulichokiandika ni excuse tu ya simps na wanawake wenye past chafu. Hakuna ambacho hakina formula hapa duniani ndio maana hata wewe hauwezi kwenda pale riverside kwa wale makahaba kutafuta mke kwa kisingizio mapenzi hayana muongozo.There is no Universal rule inapokuja swala la kuchagua mwenza wa kumuoa, narudia tena there is no universal rule, hiki ulichokiandika ni insecurities zako tu na kushindwa kujiamini as a man, wahead, Man up, little boy, man up!
Kabla ya jay z tayari beyonce alishapitia kwenye mikono ya p.didySi kweli, Beyonce alishakuwa na wanaume wengine kabla
Hakuna mkamilifu lakini angalao kuna misingi lazima uizingatie.Ukifuata yote hayo huta oa
Kuoa ni sawa na kujivika mabomu
Unakaa unaamua kuoa unaoa
Mambo mengine yatajulikana mbele kwa mbele
Yaani ni sawa na kujitosa baharini kisha utajua kuogelea mbele kwa mbele kwenye safari yako ya kutoka Dar kwenda zanzibar
Hakuna mwanamke mkamilifu duniani hata mama zetu wanamapungufu
Lete mkasa huo ilikuaje"Kabla ya kufanya uamuzi wa kuoa, fikiria kwa makini kuhusu mpenzi unayemchagua. Usioe mwanamke amehamia na kupanga nyumba kwa maisha yake mwenyewe. Badala yake, tafuta mwanamke ambaye bado yupo kwa wazazi wake au nyumbani kwao.
Ninasema haya kutokana na uzoefu; utakuja kunishukuru baadaye."
Vipi kwa sisi wazee ambao bado hatujaoa, ushauri wako ni upi kwetu?"Kabla ya kufanya uamuzi wa kuoa, fikiria kwa makini kuhusu mpenzi unayemchagua. Usioe mwanamke amehamia na kupanga nyumba kwa maisha yake mwenyewe. Badala yake, tafuta mwanamke ambaye bado yupo kwa wazazi wake au nyumbani kwao.
Ninasema haya kutokana na uzoefu; utakuja kunishukuru baadaye."
Kama bado hujaoa, usikimbilie kuoa hasa hasa usioe mwanamke anaeshi geto usije kujuta baade. Kila kitu kina wakati wake, na ni muhimu kuchagua mwenzi sahihi kwa maisha ya baadaye. Chukua muda kumjua mpenzi wako vizuri, usifanye maamuzi kwa pupa, na hakikisha kuwa upo tayari kiakili, kihisia, na kifedha kabla ya kuchukua hatua hiyo muhimu. Ndoa ni jambo la kudumu, hivyo ni bora kusubiri na kufanya uamuzi sahihi kuliko kujuta baadaye."Vipi kwa sisi wazee ambao bado hatujaoa, ushauri wako ni upi kwetu?
Hapo kwake kaingiza wnwnaTelling men to go after unambitious women.. wanaume wa siku hzi tunaogopa sana changamoto..yani ukatae mke kisa ulimkuta kwake?🤣🤣
Hapo kwake katembelewa na wangapi? Kalala na wangapi? Kwa maisha hayo, K yake itakuwa bado Ina plastiki kweli?Telling men to go after unambitious women.. wanaume wa siku hzi tunaogopa sana changamoto..yani ukatae mke kisa ulimkuta kwake?🤣🤣
Source zipo nyingi ngoja nikupe ya jf..Source; (Trust me broo)
Nikupe source nyingine?Source; (Trust me broo)
😂😂"Kabla ya kufanya uamuzi wa kuoa, fikiria kwa makini kuhusu mpenzi unayemchagua. Usioe mwanamke amehamia na kupanga nyumba kwa maisha yake mwenyewe. Badala yake, tafuta mwanamke ambaye bado yupo kwa wazazi wake au nyumbani kwao.
Ninasema haya kutokana na uzoefu; utakuja kunishukuru baadaye."
🤣🤣🤣🤣Lakini jay z ndiye alimtoa bikira huyo beyonce..