Baba wa mbingu
JF-Expert Member
- Jul 30, 2022
- 286
- 749
hongera mkuu hapa umesema kweli tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante ndugu yangu, vijana watafuta mafaniko ya haraka siku zote huwa hawataki waambiwe ukweli. Lakini kwakweli na majanga kwa vijana wetu.hongera mkuu hapa umesema kweli tupu
betting ni halali kabisa,ni harama kwa wanaochagua dhambi peke yake.Unarahisisha betting ionekana halali kwa mifano batili.
#BettingNiHaram
Kuna mwamba alikua ana matatizo ya kifamilia yaan watoto wote wamerudishwa ada shuleni na mfukoni hana kitu mwamba anakwambia ndio ilikua ni mara ya kwanza kuanza kubet na ilivyo maajabu alitusua pesa ya kulisha familia miezi isiyopungua 6 kulipia mahitaji yote ya nyumba kuwavesha mke na watoto na kulipia ada za watoto mwaka mzima bila kugusa mshahara wake kwa pesa aliyoipata, unaambiwa mpaka leo jamaa hajaacha kubet kila siku memory inamwambia atatusua km vile na baada ya hapo mkewe alimwambia km hizi hela umepata kwenye betting usiache kubet kwa hio sasa hivi wote wanaishi kwa kubet juzi hapa walimwekea JKT Queens aliifunga Yanga Princess wakavuna kibunda cha kutoshaHongera sana mkuu umetoa ushauri mzuri, katika uhalisia kamali ni dhambi mbele za mungu na haina maana yoyote.
Kuna jamaa alipiga hela akanunua mpaka viwanja vya ukumbusho hadi leo ni member halali wa betting hajaachaHapa tayari nimempa Zimbabwe ana odds 3.
Tusipangiane
🤣 mmemsengenya mpk ameenda kulia sahivi analia kwa kwikwi!,akirudi kusoma tena ataanza kulia kile kilio cha kugalagala kabisa!Mtoa mada mbona umeukimbia uzi wako? Njoo uone majibu ya ulichokileta.
Kazi sio lazima uonekane mtaani unajishuhurisha
ww mwenyewe hujaja na mtu vilevile kwa hiyo ungejijibu kimoyo moyo pasina kuandika🙄Fanya Yako yaliokuleta duniani usijifanye mshauri kwenye mambo yasiyokuhusu kama umepigwa kwenye betting ni wewe wenzio tunakula pesa na tumefanikiwa haujaja na mtu duniani ishi maisha Yako halafu mwisho kabisa acha utapeli naona umeweka namba Ili upige wajinga.
Kugalagala kitandani kwa pdidy au?🤣 mmemsengenya mpk ameenda kulia sahivi analia kwa kwikwi!,akirudi kusoma tena ataanza kulia kile kilio cha kugalagala kabisa!
Nimemjibu sababu anataka kazi ambayo haimuhusu kwanini aangaike na jambo ambalo halimuhusu si shobo Mimi betting nahusika nayo ndio maana nimemjibu ukitaja betting Kwa kuiponda lazima nikujibu sababu umegusa kazi yangu inayonifanya niishi mjiniww mwenyewe hujaja na mtu vilevile kwa hiyo ungejijibu kimoyo moyo pasina kuandika🙄
Wa Kikafiri kwa misingi ipi ?Mtandao unaotumia ni wa kikafiri, nao sio haramu?
Sawa.Hata wewe hapo ulipo ni haramu kwetu ila hujijui tu
Akikujibu nitag 🤣🤣🤣Kwenye list ya matajiri wa dunia uko namba ngapi?
Zimbabwe anaongoza huko,betting tamu ukiwa na timu 2 mpaka 3 ktk kila mkekaKuna jamaa alipiga hela akanunua mpaka viwanja vya ukumbusho hadi leo ni member halali wa betting hajaacha