Ushauri kwa Wakili Mwabukusi kuelekea maandamano ya kitaifa

Ushauri kwa Wakili Mwabukusi kuelekea maandamano ya kitaifa

Wewe unahitaji kwenda shule kuliko hata hao unaowasema. Vyama vya siasa ni vya umma havina wenyewe hii kauli ya kusema watu waanzishe vyama vyao ni ya kiuhuni na inasemwa na watu wenye upeo na uelewa mdogo kuhusu vyama na siasa. Watu wanaweza kuhama chama sababu ya sera siyo kiongozi mbovu ambaye afuati sera za chama.
Hata wewe tafsiri yako sio sahihi,pamoja na kwamba vyama vya siasa ni mali ya umma haimanishi kwamba kila mtu anao uwezo wakukiamulia chama Fulani jambo lakufanya hata kama hafungamani nacho.chama cha siasa kinaundwa na kundi la watu wenye itikadi ,sera mrengo ,shabaha,malengo na misimamo inayofanana.kinyume na hapo lazima ukatafute kundi lingine unaloendana nalo kiitikadi,sera,mrengo,shabaha,malengo na misimamo.naunga mkono hoja kwa wanaosema wakina mwabukusi waanzishe chama chao kitakachotoa itikadi,sera,malengo na misimamo tofauti kabisa na vyama vilivyopo.kuvishambulia vyama juu ya taratibu zao nikukosa uthubuti na ni dalili ya kushindwa.kama wanaweza waanzishe chama kitakachobeba maona walio nayo,alafu wayanadi kwa wananchi tuone nikwa kiasi gani wananchi watawaelewa.
 
Hata wewe tafsiri yako sio sahihi,pamoja na kwamba vyama vya siasa ni mali ya umma haimanishi kwamba kila mtu anao uwezo wakukiamulia chama Fulani jambo lakufanya hata kama hafungamani nacho.chama cha siasa kinaundwa na kundi la watu wenye itikadi ,sera mrengo ,shabaha,malengo na misimamo inayofanana.kinyume na hapo lazima ukatafute kundi lingine unaloendana nalo kiitikadi,sera,mrengo,shabaha,malengo na misimamo.naunga mkono hoja kwa wanaosema wakina mwabukusi waanzishe chama chao kitakachotoa itikadi,sera,malengo na misimamo tofauti kabisa na vyama vilivyopo.kuvishambulia vyama juu ya taratibu zao nikukosa uthubuti na ni dalili ya kushindwa.kama wanaweza waanzishe chama kitakachobeba maona walio nayo,alafu wayanadi kwa wananchi tuone nikwa kiasi gani wananchi watawaelewa.
Ni wapi Mwabukusi amewaamulia cha kufanya? Ametoa maoni yake kuhusu mwenendo wa vyama vya siasa vya Tanzania. Ni haki yenu kupinga kwa hoja au kupuuza lakini siyo sawa kuwanyamazisha Watanzania kwa kuwaambia waende kufungua vyama vyao halafu huo uthubutu mnautoa wapi wakati mnajiendesha kwa kodi zetu na uhai wa chama makini ni wananchi. Suala la Mwabukusi kushindwa au kufanikiwa, muda utasema kama vile Chadema imekuwa hai miaka 30 bila chukua madaraka.
 
utaitoa ccm kwa majadiliano na mbinu za kisayansi sana. Historia ya nchi hii haibebi siasa za mapambano physical angalia kuanzia kupigania uhuru utapata jibu
Unazungumzia vita vya majimaji au ?
 
Ni wapi Mwabukusi amewaamulia cha kufanya? Ametoa maoni yake kuhusu mwenendo wa vyama vya siasa vya Tanzania. Ni haki yenu kupinga kwa hoja au kupuuza lakini siyo sawa kuwanyamazisha Watanzania kwa kuwaambia waende kufungua vyama vyao halafu huo uthubutu mnautoa wapi wakati mnajiendesha kwa kodi zetu na uhai wa chama makini ni wananchi. Suala la Mwabukusi kushindwa au kufanikiwa, muda utasema kama vile Chadema imekuwa hai miaka 30 bila chukua madaraka.
Hapana ,soma vizuri nilicho andika yeye mwabukusi na timu yake wanayo nafasi ya kuanzisha chama chenye mrengo wa maono yao.lakini sio sahihi kuwaamulia watu chakufanya ikiwemo kuunga mkono mawazo yao.bila kukaa na kuvishirikisha vyama husika.kwa hiyo ukweli unabaki palepale ilituone ushawashi wa maono Yao kwa watanzania,ni Bora wakaanzisha chama ilituone ni kwa kiasi gani watanzania wanayaunga mkono maono Yao tofauti na vyama vingine.
 
Hapana ,soma vizuri nilicho andika yeye mwabukusi na timu yake wanayo nafasi ya kuanzisha chama chenye mrengo wa maono yao.lakini sio sahihi kuwaamulia watu chakufanya ikiwemo kuunga mkono mawazo yao.bila kukaa na kuvishirikisha vyama husika.kwa hiyo ukweli unabaki palepale ilituone ushawashi wa maono Yao kwa watanzania,ni Bora wakaanzisha chama ilituone ni kwa kiasi gani watanzania wanayaunga mkono maono Yao tofauti na vyama vingine.
Naomba kabla sijakujibu nijue unaongea kama shabiki wa Chadema au raia asiyefungamana na chama chochote.
 
Ni wapi Mwabukusi amewaamulia cha kufanya? Ametoa maoni yake kuhusu mwenendo wa vyama vya siasa vya Tanzania. Ni haki yenu kupinga kwa hoja au kupuuza lakini siyo sawa kuwanyamazisha Watanzania kwa kuwaambia waende kufungua vyama vyao halafu huo uthubutu mnautoa wapi wakati mnajiendesha kwa kodi zetu na uhai wa chama makini ni wananchi. Suala la Mwabukusi kushindwa au kufanikiwa, muda utasema kama vile Chadema imekuwa hai miaka 30 bila chukua madaraka.
Kwa hiyo akili yako umeiegesha kwa huyo mlevi Mwabukusi?
 
Hivi Mwabukusi anajua kuwa anapambana na kundi kubwa la matajiri duniani?

Kundi ambali limewashinda Nguvu CCM je Mwabukusi ataliweza?
Yeye anadhani wanaccm wenyewe wanaipenda Dpw
Ukombizi hufanywa na watu wachache hauhitaji wingu la watu IPO siku ukombizi utapatikana
 
Stop overthinking. Strategy ya Chadema kwasasa ni mbovu mno, wataishia kuwa kama Sharif. CCM na TISS wapo tayari kuua na kutumia nguvu kubaki madarakani. Uniamini watu wa namna hiyo wataondoka kwa maridhiano na kura? Msipoanzisha maandamano na civil disobedience CCM haitatoka.
I partly agree with you..

And ukinisoma between lines, utagundua kuwa wala sipingani na wewe au kuwapinga hawa ndugu zetu kina Dr Slaa, Mwambukusi, Mdude and others..

It's true kwamba wote tunahitaji kuwa na mikakati na mbinu za pamoja kuifurusha CCM kutoka madarakani

Lakini, mambo hayaendi na wala hayafanyiki kwa namna wanavyowataka wenzao wafanye na kushirikiana nao. Kunahitajika mbinu na mikakati ya pamoja iliyopangwa na kupangika kwa mbinu za uwanjani (field) na kisheria pia.

Na ili uelewe hebu nikuulize maswali kadhaa;

Kama wanataka ushirikiano wa kufanya kazi pamoja na CHADEMA, mbona hatuwaoni kwenye majukwaa ya Operesheni +255 Katiba mpya & Okoa Bandari zetu kuanzia Kigoma, Rukwa, Tabora, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara mpaka kule Ngorongoro ambako Tundu Lissu na timu yake waliingia mgogoro na polisi hadi kufunguliwa kesi?

Where were they? Si walikuwa mitandaoni tu kupanga hayo maandamano na kutoa ultimatum ya siku 30 kwa serikali?

Ukweli ni kuwa, wamefikiri kufanya mambo mazuri but using very poor involvement strategies kwa wenzao kiasi cha kushindwa kuaminiwa hata kama jambo lao linaonekana limebebwa na nia njema..!

Kinachoweza kufanyika kwa hatua hii ni wao kufanya kwa sehemu yao na kwa namna yao. Na wakiona inafaa kushirikisha wengine wenye nia na malengo yanayofanana na ya kwao basi wafanye vitu vifuatavyo;

1. Wajenge mazingira ya kuaminiana kwanza..

2. Warudi kwenye drawing board na kuwashirikisha hawa wenzao step by step hadi waelewane na kutembea na kutenda pamoja..

Thanx
 
I partly agree with you..

And ukinisoma between lines, utagundua kuwa wala sipingani na wewe au kuwapinga hawa ndugu zetu kina Dr Slaa, Mwambukusi, Mdude and others..

It's true kwamba wote tunahitaji kuwa na mikakati na mbinu za pamoja kuifurusha CCM kutoka madarakani

Lakini, mambo hayaendi na wala hayafanyiki kwa namna wanavyowataka wenzao wafanye na kushirikiana nao. Kunahitajika mbinu na mikakati ya pamoja iliyopangwa na kupangika kwa mbinu za uwanjani (field) na kisheria pia.

Na ili uelewe hebu nikuulize maswali kadhaa;

Kama wanataka ushirikiano wa kufanya kazi pamoja na CHADEMA, mbona hatuwaoni kwenye majukwaa ya Operesheni +255 Katiba mpya & Okoa Bandari zetu kuanzia Kigoma, Rukwa, Tabora, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara mpaka kule Ngorongoro ambako Tundu Lissu na timu yake waliingia mgogoro na polisi hadi kufunguliwa kesi?

Where were they? Si walikuwa mitandaoni tu kupanga hayo maandamano na kutoa ultimatum ya siku 30 kwa serikali?

Ukweli ni kuwa, wamefikiri kufanya mambo mazuri but using very poor involvement strategies kwa wenzao kiasi cha kushindwa kuaminiwa hata kama jambo lao linaonekana limebebwa na nia njema..!

Kinachoweza kufanyika kwa hatua hii ni wao kufanya kwa sehemu yao na kwa namna yao. Na wakiona inafaa kushirikisha wengine wenye nia na malengo yanayofanana na ya kwao basi wafanye vitu vifuatavyo;

1. Wajenge mazingira ya kuaminiana kwanza..

2. Warudi kwenye drawing board na kuwashirikisha hawa wenzao step by step hadi waelewane na kutembea na kutenda pamoja..

Thanx
Exactly umeona jibu lako lilivyokuwa la kistaarabu hivyo ndivyo Mbowe alitakiwa kujibu japo inachekesha kuona mnaweka ukiritimba katikati ya mapambano. Time will tell kama strategies zenu zitafanya kazi au mtatendwa na CCM hadi mtarudi kuwa radicals tena.
 
Exactly umeona jibu lako lilivyokuwa la kistaarabu hivyo ndivyo Mbowe alitakiwa kujibu
HAPANA!

Mr. Freeman Mbowe aliwajibu ndugu zetu hawa kistaarabu mno unless labda uwe ulisoma vichwa vya habari za channels za YouTube za kutafutia viewers za
√ "Mbowe awachana live kina Dr Slaa" au

√ " Mbowe awajibu makavu kina Dr Slaa.."

Pasipo kumsikiliza yeye mwenyewe
japo inachekesha kuona mnaweka ukiritimba katikati ya mapambano.
Wewe unauita ukiritimba, it's ok maana wewe ndivyo uonavyo..

Lakini kwa wenzio hizo ni akili kubwa za kuonesha umakini kwa kila ajaye kuonesha kutaka kujiunga kwenye mapambano.

Wasipokuwa makini, wanaweza kujikuta wanashirikiana na shetani kujiangamiza wenyewe!
Time will tell kama strategies zenu zitafanya kazi au mtatendwa na CCM hadi mtarudi kuwa radicals tena.
Ungeielekeza hii statement yako kwa kina Dr Slaa na wenzake wa Sauti ya Watanzania maana ndiyo tu wanatambulisha taasisi? chama chao cha siasa? kwa umma...

Lakini ni ajabu kuwa kabla hata hawajaingia field ili kuicheza ngoma, eti jamaa tayari wameshaanza kulialia na kulaumu watu wengine kuwa hawataki kujiunga nao. By doing so, it makes any intelligent person to doubt their intentions!

Lakini kwako wewe kuwa doubt CHADEMA ambao wako kwenye game kwa zaidi ya miaka 30 kuwa wanaweza kutendwa na CCM huku ukijifanya kusahau kuwa ni chama ambacho kimeshakwepa mishale ya kila aina na kika - survive huku kikikua na kuongezeka kimo, marefu, kina na mapana kila mwaka, basi wewe utakuwa unachekesha tu au pengine hujui usemalo, bila shaka..!

Kama CHADEMA kiliweza kuhimili na kuishinda misukosuko ya hatari za waziwazi ziliyoambatana na mateso na vifo vya risasi za mchana kweupe wakati wa utawala wa John P. Magufuli (2015 - 2921) , hii CCM ya sasa chini Samia Suluhu Hassan iliyochakaa na kulowa ndembendembe itatumia mbinu kuiua CHADEMA ambayo hawajaitumia miaka hiyo ya nyuma yet wakashindwa?

Bro, watu tunaandaa kaburi la kuizika CCM kumbe wewe illusionary bado unahifadhi kivuli cha CCM ndani yako na kukiogopa??

That's too bad for you my dear friend Walnut Creek..

Thanx anyway and good night🚶🚶🚶
 
Tatizo la CHADEMA ni kukosa agenda na kurukiarukia mambo. Mwabukusi alivyoibuka na agenda yake CHADEMA wakadandia. Acha awavuruge tu maana hakuna namna.
 
Wewe unahitaji kwenda shule kuliko hata hao unaowasema. Vyama vya siasa ni vya umma havina wenyewe hii kauli ya kusema watu waanzishe vyama vyao ni ya kiuhuni na inasemwa na watu wenye upeo na uelewa mdogo kuhusu vyama na siasa. Watu wanaweza kuhama chama sababu ya sera siyo kiongozi mbovu ambaye afuati sera za chama.
Akili yako ni ,finyu ,tuna vyama lukuki vimekufa, kisa mamluki kama nyie mjao na maneno yaoneshayo mpo na busara kumbe takataka, kwa sasa iyo nafasi kwa chadema haipo, trial zote katika hili zilisha shindwa, anzisha chama chako ,usituletee upumbavu, pumbavu
 
HAPANA!

Mr. Freeman Mbowe aliwajibu ndugu zetu hawa kistaarabu mno unless labda uwe ulisoma vichwa vya habari za channels za YouTube za kutafutia viewers za
√ "Mbowe awachana live kina Dr Slaa" au

√ " Mbowe awajibu makavu kina Dr Slaa.."

Pasipo kumsikiliza yeye mwenyewe

Wewe unauita ukiritimba, it's ok maana wewe ndivyo uonavyo..

Lakini kwa wenzio hizo ni akili kubwa za kuonesha umakini kwa kila ajaye kuonesha kutaka kujiunga kwenye mapambano.

Wasipokuwa makini, wanaweza kujikuta wanashirikiana na shetani kujiangamiza wenyewe!

Ungeielekeza hii statement yako kwa kina Dr Slaa na wenzake wa Sauti ya Watanzania maana ndiyo tu wanatambulisha taasisi? chama chao cha siasa? kwa umma...

Lakini ni ajabu kuwa kabla hata hawajaingia field ili kuicheza ngoma, eti jamaa tayari wameshaanza kulialia na kulaumu watu wengine kuwa hawataki kujiunga nao. By doing so, it makes any intelligent person to doubt their intentions!

Lakini kwako wewe kuwa doubt CHADEMA ambao wako kwenye game kwa zaidi ya miaka 30 kuwa wanaweza kutendwa na CCM huku ukijifanya kusahau kuwa ni chama ambacho kimeshakwepa mishale ya kila aina na kika - survive huku kikikua na kuongezeka kimo, marefu, kina na mapana kila mwaka, basi wewe utakuwa unachekesha tu au pengine hujui usemalo, bila shaka..!

Kama CHADEMA kiliweza kuhimili na kuishinda misukosuko ya hatari za waziwazi ziliyoambatana na mateso na vifo vya risasi za mchana kweupe wakati wa utawala wa John P. Magufuli (2015 - 2921) , hii CCM ya sasa chini Samia Suluhu Hassan iliyochakaa na kulowa ndembendembe itatumia mbinu kuiua CHADEMA ambayo hawajaitumia miaka hiyo ya nyuma yet wakashindwa?

Bro, watu tunaandaa kaburi la kuizika CCM kumbe wewe illusionary bado unahifadhi kivuli cha CCM ndani yako na kukiogopa??

That's too bad for you my dear friend Walnut Creek..

Thanx anyway and good night🚶🚶🚶
Nimeangalia clip za Mbowe aliwajibu kwa jazba. Samahani inabidi nikukwaze lakini Mbowe na umakini ni vitu viwili tofauti ndio maana wakina Lowassa na Samia walimchezea. CCM siyo chama tena mnashindana na vyombo vya dola ambavyo viko tayari kuua na kuiba kura halafu nyie strategies zenu ni nini? Mikutano na maridhiano? Huku mnawekewa mipaka ya sehemu ya kufanya mikutano na ahadi hewa kwenye vikao vya maridhiano. Najua mnataka muonekana smart lakini you're not. Msipofanya maandamano na ku encourage civil disobedience hao CCM / Vyombo vya dola hawatawasikiliza. Endeleni kujifanya wastarabu kwenye mapambano na hawa fisi wa CCM.
 
Back
Top Bottom