Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Kumbe kuna muda mnajijuwa na kubadirika kuwa wanawake😛Yeah,mi nataka kuwa chini ya mtu,yaan nataka niwe mwanamke ila lazima unitunze ipasavyo😶
😛😛😛😛😛
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kuna muda mnajijuwa na kubadirika kuwa wanawake😛Yeah,mi nataka kuwa chini ya mtu,yaan nataka niwe mwanamke ila lazima unitunze ipasavyo😶
😳Nakukunda umesema nyie wanawake ni receiver by nature, sasa mbona nyie wenyewe huwa mna abuse hiyo nature yenu? Kuna kitabu nilisoma kimeandikwa na mdada wa kimarekani anaitwa baje Fletcher, kinaelekeza wadada jinsi ya kupata hela toka kwa wanaume bila kutoa papuchi, na wadada wengi mnapenda transaction ya aina hiyo..hela za mwanaume mnapenda kupokea ila papuchi hampendagi kutoa, au mkiitoa Papuchi mnatoa kwa shingo upande, labda kina evelyn Salt Wakusaidie kujibu Evelyn Salt Nakukunda to yeye
Sikuzote nataka Ivo ila kuwe na reasonable....siyo umeniachia majukumu ya kulea familia afu unataka unitawale 😳 aisee hapo lazima ngoma ikaeðŸ˜kumbe kuna muda mnajijuwa na kubadirika kuwa wanawake😛
😛😛😛😛😛
Ni kweli haitakiwi kuacha kazi ila Kwa Mimi niliyechoka ualimu....aisee naacha dk 1 haiishiWise man cannot do such a thing my darlin
He will support you in your career
And wise woman cannot use her career to destroy family. She will be the destiny helper
hivi hayo majukumu mnayosema kuachiwa ni yapi................ unafanya kazi huwezi kulipa bikk ya umeme, maji au hata vsiku moja kufanya shopping ya familia? sasa kama huwezi support hivyo vitu vidogo mshara wako unafaida gani kwenye ndoa na malezi ya familia?😳
Sikuzote nataka Ivo ila kuwe na reasonable....siyo umeniachia majukumu ya kulea familia afu unataka unitawale 😳 aisee hapo lazima ngoma ikaeðŸ˜
Why? usichange career kwenda ile unayopenda find career counselor.Ni kweli haitakiwi kuacha kazi ila Kwa Mimi niliyechoka ualimu....aisee naacha dk 1 haiishi
Mshahara wangu wewe haukuhusu Wala usiupigie mahesabu....pesa yangu nalea wanangu ila Kwa namna gani hiyo ni juu yangu.... don't judge,wewe wajibika kama baba yaan kichwa Cha familiahivi hayo majukumu mnayosema kuachiwa ni yapi................ unafanya kazi huwezi kulipa bikk ya umeme, maji au hata vsiku moja kufanya shopping ya familia? sasa kama huwezi support hivyo vitu vidogo mshara wako unafaida gani kwenye ndoa na malezi ya familia?
Napenda biashara,Ivo nitafanya biasharaWhy? usichange career kwenda ile unayopenda find career counselor.
Duuuu nimekuoa asubuhi unaondoka kwenda kazini unarudi jioni hujashinda nyumbani halafu unaenda kumtumikia mtu ambaye unachokipata hakisaidii familia yetu hata kama mimi ndiyo jukumu la kila kitu nyumbani sasa nimeoa wewe kwa ajili ya nini? kama hatuwezi kuwa na makubalia ya kushirikiana hata kwa vitu vya nyumbani? yaani from 25th hadi retirement yako unasema mshahara wako hauna chochote kwenye ndoa yako....Mshahara wangu wewe haukuhusu Wala usiupigie mahesabu....pesa yangu nalea wanangu ila Kwa namna gani hiyo ni juu yangu.... don't judge,wewe wajibika kama baba yaan kichwa Cha familia
Mshahara wangu wewe haukuhusu Wala usiupigie mahesabu....pesa yangu nalea wanangu ila Kwa namna gani hiyo ni juu yangu.... don't judge,wewe wajibika kama baba yaan kichwa Cha familia
Mshahara wangu wewe haukuhusu Wala usiupigie mahesabu....pesa yangu nalea wanangu ila Kwa namna gani hiyo ni juu yangu.... don't judge,wewe wajibika kama baba yaan kichwa Cha familia
www.jamiiforums.com
Hakuna sehemu nimesema silei familia,sikuzote mshahara wa mwanamke unaishia kulea familia means mpaka baba mwenyewe ila nilichosema Kwa mwanamke mfanyakaz unataka kumtawala usipigie mahesabu mshahara wake fanya majukumu Yako,akidai hiki mpe,kile mpe.....kama yeye ndo anawajibika %kubwa home jiandae kufanywa mtoto pia utatumwa mpaka kuipua uji uupozeDuuuu nimekuoa asubuhi unaondoka kwenda kazini unarudi jioni hujashinda nyumbani halafu unaenda kumtumikia mtu ambaye unachokipata hakisaidii familia yetu hata kama mimi ndiyo jukumu la kila kitu nyumbani sasa nimeoa wewe kwa ajili ya nini? kama hatuwezi kuwa na makubalia ya kushirikiana hata kwa vitu vya nyumbani? yaani from 25th hadi retirement yako unasema mshahara wako hauna chochote kwenye ndoa yako....
Oweni mnaoweza kuoa kwa kweli 😛
😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛
Asante Kwa ushauri ila nakushauri pia bora uoe asiye na kaz hautokuwa na kitu Cha kukuumizaSoC02 - Nguvu ya Ulimi (Maneno) katika kuamua hatma ya maisha yako
Jifunze kuzuia ulimi wako usinene mabaya – Mtume Petro anatueleza kwamba ‘Kwa maana, Atakaye kupenda maisha, Na kuona siku njema, Auzuie ulimi wake usinene mabaya, Na midomo yake isiseme hila’ (1Petro 3:10). Jizuie kunena unapokuwa na hasira – Katika Waefeso 4: 26 imeandikwa ‘Mwe na hasira, ila...www.jamiiforums.com
Hakuna mwanadamu Duniani asiyekuwa na kazi hata house girl ana kazi tofauti ni jinsi kazi hiyo inaweza isiharibu mahusiano ya kifamilia ..Lakini Kila mwanadamu hata mtoto wako ana kitu kinachumchukuwa sehemu ya muda wake..Asante Kwa ushauri ila nakushauri pia bora uoe asiye na kaz hautokuwa na kitu Cha kukuumiza
Ukisoma bachelor ya business administration with accounting au finance itakuongezea ufanisi zaidi kwa biashara zakoNapenda biashara,Ivo nitafanya biashara
Hongera sana,shikilia hapo kwa nidhamu kubwa!Niiliyenae ananimudu vizuri kabisa na ananisupport kwenye career life.Naplay nafasi yangu na yeye anaplay ya yake maisha yanasonga.
Lkn ananimudu kwa vitu vingi sana na naenjoy kumudiwa hahahahahaha
I will never take his position kama kichwa kwangu maana nitaenda kinyime na imani yangu
Ila haikuwa rahisi kupata chemistry ya haina hiyo but i thank God amenipa.
Mkuu haikuwa rahisiHongera sana,shikilia hapo kwa nidhamu kubwa!
Maana kupata Chemistry stable (strong bond) siyo kitu rahisi kwa nyakati hizi, that is why kuna idadi kubwa ya wanaume wenye watoto 7 ila unakuta kila mmoja ana mama yake, na wanawake hivyo hivyo unakuta ana watoto 4 kila mmoja na baba yake, yote hiyo ni ishara kwamba mambo kwa ground siyo tulivu kabisa!
So, ukijikuta haupo kwenye hilo kundi, unafurahia ndoa yako na mwenzi wako yupo supportive, aisee kamatia hapo kwa nguvu zote kabla haujaharibu mambo na kuingia kwenye makundi hayo hapo juu!
Kabisa anayemmuduAsante Kwa ushauri ila nakushauri pia bora uoe asiye na kaz hautokuwa na kitu Cha kukuumiza