Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Naomba niingie kwenye maada mojakwamoja,
Ni baada ya kupitia mijadala kadhaa ya kitu kinachoitwa time travel nimeona watu wengi wakipingana na hii kitu, mimi binafsi bila ya lengo ya kujinufaida na faida yeyote ile napenda nikupe shuhuda na kukuomba pia uamini na ufanyie kazi kuwa hii kitu IPO.
Nakumbuka wakati nikiwa mdogo huko kijijini kwetu (....) Mkoa wa pwani. "Kijiji kimezungukwa na mito, vichaka mabonde na misitu mikubwa.
Kulikuwa na kawaida ya kupotea kwa watu mara kwa mara huku imani ya wengi ikiwa ni wachawi ndo wahusika wa kupotea kwa watu. Na hii nahisi wenda si kijijini kwetu tu bali hata kijijini kwenu wenda kuna haka ka tabia ka kupotea kwa watu ila niseme tuu sio watu wote wanapotelea kwa wachawi ila baadhi yao ni time travel. kwanini nasema ni time tlavel iliwahi nitokea pia ilikuwa hivi;-
(Shuhuda ya kwanza)::;
mimi na vijana wenzangu tulikuwa tunakwaida ya kusaka wanyama wadogowadogo kwa kutumia mbwa. Siku moja shambani kwetu waliingia ngedere kama kawaida nikafungulia mbwa na kuanza kimbiza ngedere (tumbili) kimbiza yangu ikaishia kwenye msitu mdogo ulioko mbali kidogo. Nikafika mahali na kupumzika nakumbuka ilikuwa kama majila ya saa saba mchana kwendea saa nane nikakaa chini ya mti mmoja aina ya mtopetope na kuanza kula matunda ya mti huo. Hada kufika saa 11 jioni ndio safari ikaanza ya kurudi home ile nafika home napata taarifa kuwa nilikuwa nimepotea tena siku mbili na watu walishapiga mpaka nyanga.
nikaanza kuwaelezea na hakuna aliyeniamini kuwa nimetumia kama masaa manne tu hivi kuwa msituni wala sio siku mbili nikaenda shambani kuhakiki baadhi ya mazao waliyokuwa wameharibu ngedere siku ile ni kweli nilikuta ni mazao yaliyoalibiwa kama siku mbili zilizopita nyuma. Kwa wakati ule niliamini kweri wenda ikawa ni wachawi ila baada ya kufika JF na kukutana na hii kitu time travel. Imenifanya niamini kuwa hata hapa dunianibkuna maeneo ukifika ukitoka hapo unaeza ona umetumia dakika mbili ila ukitoka kwenye hilo eneo unakuta hata masaa saba yameahapita. Na hata kama unasaa ya kimwekumweku itakulazimu uilekebishe.
(Shuhuda ya pili)
Wakati nasoma pia shule ya msingi ilikuwa inanilazimu nilekebishe saa yangu kila ninapopita njia flani yaani saa yangu imekuwa imechelewa hata dakika tano na saa wenzie.
HITIMISHO
time travel ni yakweli na ipo na hata kuna baadhi ya maeneo hapa hapa ndani ya dunia.
Ni baada ya kupitia mijadala kadhaa ya kitu kinachoitwa time travel nimeona watu wengi wakipingana na hii kitu, mimi binafsi bila ya lengo ya kujinufaida na faida yeyote ile napenda nikupe shuhuda na kukuomba pia uamini na ufanyie kazi kuwa hii kitu IPO.
Nakumbuka wakati nikiwa mdogo huko kijijini kwetu (....) Mkoa wa pwani. "Kijiji kimezungukwa na mito, vichaka mabonde na misitu mikubwa.
Kulikuwa na kawaida ya kupotea kwa watu mara kwa mara huku imani ya wengi ikiwa ni wachawi ndo wahusika wa kupotea kwa watu. Na hii nahisi wenda si kijijini kwetu tu bali hata kijijini kwenu wenda kuna haka ka tabia ka kupotea kwa watu ila niseme tuu sio watu wote wanapotelea kwa wachawi ila baadhi yao ni time travel. kwanini nasema ni time tlavel iliwahi nitokea pia ilikuwa hivi;-
(Shuhuda ya kwanza)::;
mimi na vijana wenzangu tulikuwa tunakwaida ya kusaka wanyama wadogowadogo kwa kutumia mbwa. Siku moja shambani kwetu waliingia ngedere kama kawaida nikafungulia mbwa na kuanza kimbiza ngedere (tumbili) kimbiza yangu ikaishia kwenye msitu mdogo ulioko mbali kidogo. Nikafika mahali na kupumzika nakumbuka ilikuwa kama majila ya saa saba mchana kwendea saa nane nikakaa chini ya mti mmoja aina ya mtopetope na kuanza kula matunda ya mti huo. Hada kufika saa 11 jioni ndio safari ikaanza ya kurudi home ile nafika home napata taarifa kuwa nilikuwa nimepotea tena siku mbili na watu walishapiga mpaka nyanga.
nikaanza kuwaelezea na hakuna aliyeniamini kuwa nimetumia kama masaa manne tu hivi kuwa msituni wala sio siku mbili nikaenda shambani kuhakiki baadhi ya mazao waliyokuwa wameharibu ngedere siku ile ni kweli nilikuta ni mazao yaliyoalibiwa kama siku mbili zilizopita nyuma. Kwa wakati ule niliamini kweri wenda ikawa ni wachawi ila baada ya kufika JF na kukutana na hii kitu time travel. Imenifanya niamini kuwa hata hapa dunianibkuna maeneo ukifika ukitoka hapo unaeza ona umetumia dakika mbili ila ukitoka kwenye hilo eneo unakuta hata masaa saba yameahapita. Na hata kama unasaa ya kimwekumweku itakulazimu uilekebishe.
(Shuhuda ya pili)
Wakati nasoma pia shule ya msingi ilikuwa inanilazimu nilekebishe saa yangu kila ninapopita njia flani yaani saa yangu imekuwa imechelewa hata dakika tano na saa wenzie.
HITIMISHO
time travel ni yakweli na ipo na hata kuna baadhi ya maeneo hapa hapa ndani ya dunia.