Ushauri: Mahari ifutwe?

 
Kuna watu sijui mmeokotwa hamjazaliwa yaani kwa mfano kama mimi mdogo wangu wa kike nimsomeshe halafu kamaliza anataka kuolewa aende bure jamaa linamzalisha watoto watatu linamuacha anarudi tena mzigo wa kulea unakuwa tena kwetu mtoa mada una dada au ndugu wa kike kweli.
 
Kwahiyo kwa akili zako kusomesha ndio kibari cha mzazi kuomba Mahari?
 
Habari!
Hii mada imejadiliwa mara nyingi na sehemu nyingi.
Je, Mahari inayotolewa ili kijana aozeshwe ifutwe?
Kama ifutwe toa sababu, kama uendelee toa sababu.
Mbona haujatoka sababu za kwanini huo utaratibu ufutwe?? Kinyume chake unataka sababu za kwanini uendelee??? Shusha hoja zako ili ueleweke na kama hauna uwezo WA kulipa mahar sema usaidiwe
 
Tukimtia mimba hapo kwako utatupa bure tu
 
Mbona haujatoka sababu za kwanini huo utaratibu ufutwe?? Kinyume chake unataka sababu za kwanini uendelee??? Shusha hoja zako ili ueleweke na kama hauna uwezo WA kulipa mahar sema usaidiwe
Mahari ifutwe, hata waliotuletea huo utaratibu ambao ni Wazungu wameuacha.
 
Mahari ifutwe na wanawake wakishaolewa no kuzaa.mmechukuana Ili mlane
 
Habari!

Hii mada imejadiliwa mara nyingi na sehemu nyingi.

Je, Mahari inayotolewa ili kijana aozeshwe ifutwe?

Kama ifutwe toa sababu, kama uendelee toa sababu.
Mahali iongezwe. Vijana wajitume kufanya kazi, wajue kabisa bila chambi chambi hawapati jiko ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Ulilazimishwa kumsomesha? Hata mzazi hategemei malipo yeyote kuanzia kumleta na kumsomesha mwanae kwa sababu ni wajibu kwani Kuna ulazima gani wa kumzaa mtoto dunia kama huna uwezo wa kumuhudumia?
 
Huu utetezi wako wa hovyo Sana.
 
Mimi naona huo utaratibu uendelee kuwepo ili wajinga waendelee kupigwa.

Yaan umempa heshima mwanamke na bado umewaondolea mzigo bado unamtunza tena ulipe hela za kumchukua huo ni ujinga.

Nasema hivi mahali isizidi laki 3,ikizidi hapo ni wizi mtupu.
 
Mimi naona huo utaratibu uendelee kuwepo ili wajinga waendelee kupigwa.

Yaan umempa heshima mwanamke na bado umewaondolea mzigo bado unamtunza tena ulipe hela za kumchukua huo ni ujinga.

Nasema hivi mahali isizidi laki 3,ikizidi hapo ni wizi mtupu.
 
Ni Mila na Desturi tu kuonyesha heshima fulani....!
Huko India hasa ya Kusini familia ya binti ndo hutoa mahari..!
Hivyo iendelee Lkn hakuna haja kuifanya Kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ