Uchaguzi 2020 Ushauri: Makonda chukua fomu ugombee Urais kupitia upinzani hasa UDP, una nguvu kubwa sana na ushawishi kwenye jamii, utashinda kwa kishindo

Kama namuelewa lakiniπŸ˜‹
 
Mavi ni mavi tu, hata akinya mzungu yatabaki kuwa mavi tu, yakibatizwa yataitwa kinyesi
 
Eti "mwanasiasa mahiri" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

1. Mkuu wa Wilaya - Kinondoni
2. Mkuu wa mkoa - Dar es Salaam



Siasa ya ajabu sana. Huyu anaweza kugombea udiwani na asipate.
Yanii Bashite na Musiba wanatakiwa wafugwe tu kama mbuzi au Nguruwe huko Chamwino,baba yao awe anaamka anawauliza tu wasaidi wake "mmeshawapa chakula"? " Na maji je"? Awape na laptop na bundle ya mpaka 2025 then after awahamishie Chato maana tofauti na hapo watakufa kifo kibaya Sana kupita Cha Ben Saanane
 
Hahaha Chinembe mzee wa kuwapoteza watu maboya
 
Atuwekee vyeti kuanzia fomu foo hadi degree, hatuwezi kukubali ujanja ujanja.
 
Kigezo cha elimu hana.. kwa urais lzm awe na shahada ya chuo kikuu, yeye naskia ni Kama kibajaj na msukuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…