Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Camera ndo imeharbka ila solution tafuta camera nyingne ya tecno spark 2 au ya tecno w5 maana zinaingiliana
 
Usifikilie sana kuhusu wateja wa aina hiyo fikilia sana TASWIRA ya Biashara yako kwa baadaye.
 

Mkuu ofisi yako iko wapi

Nahitaji huduma yako nina desk top imenipa shida kidogo
 
Wote wanaouliza kuuhusu electronics Haya tukae hapa tujifunze na kupata mwangaza kidogo.
 
LINK GOOGLE DRIVE YA KU DOWNLOAD BUNDLE YA SOFTWARE CRACKED VERSION ZA KU UNLOCK ZA KUFLASH SIMU NIMEIONGEZA HAPO JUU UNAWEZA KU DOWNLOAD NA KUANZA KUJIFUA
Je hizi zinahitaji ku disable antivirus kabla ya ku install,
Maana nilijaribu ku download gsm Aladdin kutoka google ikawa inakaata ku install juzi jamaa mmoja akaniambia nilitakiwa ku disable antivirus kwanza, sasa sijui kwa hizi ulizoweka ww kama procedures ni zilezile?
 

GSM Alladin iliyopo humo haiitaji uzime antvirus ila nyingine zote zinahitaji, Then GSM Alladin Iligoma Baada Au Kabla Ya Installation?
 
Nilichelewa kuiona hii sms mkuu, ngoja nifanye kukucheki kwenye iyo email

Usijali Download Hapa
 
Darasa lini tena mr. ? maana naona kimya na hii wiki inakata sijaona somo kwenye jukwaa la tech.
 
Darasa lini tena mr. ? maana naona kimya na hii wiki inakata sijaona somo kwenye jukwaa la tech.

Aaah aaaaah tunaendelea mkuu nadhani kesho, samahan sana boss. muda wa kuandaa nondo ni mchache na nina kazi nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…