Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Camera ndo imeharbka ila solution tafuta camera nyingne ya tecno spark 2 au ya tecno w5 maana zinaingiliana
 
Wakati mwingine siyo wateja wote ni wema wengine ni wajanjawajanja inawezekana akajifanya gharama ya ufundi ni kubwa akachukua kifaa chake kumbe shida yake ni kujua tatizo tu, kwa kesi kama hiyo fundi siatakuwa kapoteza muda na gharama za umeme kama alitumia vifaa vinavyotumia umeme kutroubleshoot
Usifikilie sana kuhusu wateja wa aina hiyo fikilia sana TASWIRA ya Biashara yako kwa baadaye.
 
View attachment 1160572



Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema.

Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop

Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician

Profesional Nilisomaga Diploma Ya Clinical Medicine Lakin Mapenz Na Fikra Zangu Zipo Kwenye Electronics Tangu Mtoto, So Hata Nilipokuwa Chuo Bado Niliwekeza Nguvu Kwenye Electronics Ingawaje Nasoma Medicine.

Leo Ningependa Ku Share Na Nyinyi Experience Na Mbinu Na Ningependa Wengine Wajifunze Jinsi Ya Ku Run Phone And Computer Repair Business.

1. TAMBUA NA JIFUNZE BASIC ELECTRONICS KJKM

Hiki Ndio Kitu Kikubwa Kuliko Vyote, Kwa Maana Mafundi Wengi Hawajui Haswaa Kufanya Motherboard Repair Wanasingizia Motherboard Imeunguaz But Motherboard Haijawahi Kuungua Na Haitaungua, Kwa Maana Motherboard Ina IC Zaid Ya 50 + Other Eletronics Component Ambazo Sio Rahis Zote Kupiga Short.
Wanafanya Hivyo Kwa Sababu Hawajui Na Hicho Ndicho Kinachofanya Motherboarx Repair Iwe Most Paid Job Kwenye Repair Business.

Nitajifunzaje???

Kujua Electronics Kunaanzia Na Kuipenda Na Kuchezea Vifaa
Kwa Repair Kwanza Tambua Motherboard Component Na IC, Capacitors, Drivers, Mosfet Etc.
Pia Tambua Na Hivi

JINSI YA KUTUMIA MULTIMETER
JINSI YA KUUNGA COMPONENTS (SOLDERING & DESOLDERING)
SHORT CIRCUIT & NORMAL CIRCUIT
JINSI YA KUSOMA SCHEMATIC DIAGRAM

Vitu Vyote Utavipata Google Na Yourube So Tumia Internet Vizuri Na Tools Zipo Baadhi Cheap Sana, Mfano Multimeter Ni Elfu 8 Tu Kariakoo, Soldering Iron Cheap Ni Elfu Kumi Tu Kariakoo
Means Ukiwa Na Is 20k Basic Tools Zote Utazipata.

2. USIOGOPE KUWEKEZA KWENYE VIFAA

Vifaa Vipo Vingi Na Vinalipa Ila Vifuatavyo Ni Vifaa Basic Ambavyo Mimi Ninlmetumia Na Naamini Vinatumik Sana Katika Kazi Hizi.

MULTIMETER
SOLDERING STATION
LCD SEPARATOR
LAPTOP
ANT STATIC WRAP
BENCH POWER SUPPLY (30V, 10A)
HAND TOOLS (SCREWS, Etc)
USB VOLTMETER
REPAIR MICROSCOPE (Advanced Users)
Etc.
Mimi Nimepiga Hesabu Kwa Vifaa Hivyo Kariakoo Unavipata Kwa 1 Million Vote (Toa Microscope)


Always Kumbuka Vifaa Vinajilipa.


3. UAMINIFU, UAMINIFU, UAMINIFU.

Hapa Ndipo Mtihani Unapoanzia Maana 90% Ya Mafundi Ni Waongog Na Sio Waaminifu, Wanaiba Sana Vifa Vya Wateja Wao Na Wanatakaga Watanguliziwe Pesa Hatay Kama Kazi Imegoma, Wakishachukua Pesa Wanaanza Sound
Jitahid Usiwe Kama Hao, and Kuwa Mkweli Na Muaminifu
Mimi Ofisini Kwangu Ni 24 Hour's Muda Wa Kusubir Baada Ya g Hapo Mteja Atarudishiwa Kifaa Chake, Kama Imeshindikana Imeshindikana Tu, La Sivyo Kiwe Kinataka Spair Imeagizwa Na Mteja Akakubali Kusubir.


4. JIFUNZE UTOAJI HUDUMA NA KAULI SAHIHI

Wateja Ni Kama Mtoto Au Mpenzi Anahitaji Lugha Na Kauli Nzuri Ili Arudi Tena, Tambua Aina Za Wateja Wako Na Jua Jinsi Ya Kuongea Nao, Tengeneza Mazingira Rafiki Kwa Wateja Kufika, Mimi Kwangu Nimefanya Haya

UCHANGAMFU
KINYWAJI WAKATI MTEJA ANASUBIRI KIFAA CHAKE
USAFI WA OFISI
FOMU YA MREJESHO (Mteja Atatuambia Kuhusu Huduma Zetu)
HUDUMA YA BURE KUFUATA NA KURUDISHA KIFAA (DELIVERY)


5. JITANGAZE KIDIGITALI

Tengeneza Akaunti Katika Mitqndao Ya Kijamii
INSTA, FB NA TWITTER, WhatsApp Business Acount.
Hii Itqkusaidia Sana Kwa Maana Ulimwengu Wa Sasa Asilimia Kubwa Ya Wateja Wanapatikana Online., Kwanzoni Inakuwaga Ngumu Ila Baadae Inakaa Sawa Na Utaona Kawaida.

6. ITANUE BIASHARA YAKO.

Unaweza Kuiongezea Vitu Kama Spair Za Laptop Na Simu Kama Charger, Battery, Vioo Na Storage Device, Zinasaidia Kukuza Mtaji, Na Kuifanya Biashara Yako Kubwa.

Pia Unaweza Kufanya ON SITE IS BASED REPAIR (Unaenda Kurekebisha Kifaa Alipo Mteja) Au REMOTE SERVICE (Unamuelekeza Mteja Anatuma Kifaa, Unarekebisha Na Wewe Unamtumia)


USEFUL SITES KWA WANAOTAKA KUJIFUNZA

Youtube: SORIN REPAIR SCHOOL, LOUIS ROUSMAN NA IFIXIT






Software Za Simu:


Google.

Wanaohitaji Software Za Kuflash Na Ku Unlock Simu
CRACKED VERSION ONLY
Download Kwenye Hii Link Ya Google Drive




Kwa Wasio Wavivu Kusoma Vitabu Unaweza Kupitia Vitabu Hapo Chini


MOST PAID JOBS

1. Motherboards Repair
2. Screen Replacement
3. Data Recovery
4. Windows Instalation
5. Phone Unlocking & Flashing


Tuendeleze Mjadala

ASANTENI

Mkuu ofisi yako iko wapi

Nahitaji huduma yako nina desk top imenipa shida kidogo
 
Wote wanaouliza kuuhusu electronics Haya tukae hapa tujifunze na kupata mwangaza kidogo.
 
LINK GOOGLE DRIVE YA KU DOWNLOAD BUNDLE YA SOFTWARE CRACKED VERSION ZA KU UNLOCK ZA KUFLASH SIMU NIMEIONGEZA HAPO JUU UNAWEZA KU DOWNLOAD NA KUANZA KUJIFUA
Je hizi zinahitaji ku disable antivirus kabla ya ku install,
Maana nilijaribu ku download gsm Aladdin kutoka google ikawa inakaata ku install juzi jamaa mmoja akaniambia nilitakiwa ku disable antivirus kwanza, sasa sijui kwa hizi ulizoweka ww kama procedures ni zilezile?
 
Je hizi zinahitaji ku disable antivirus kabla ya ku install,
Maana nilijaribu ku download gsm Aladdin kutoka google ikawa inakaata ku install juzi jamaa mmoja akaniambia nilitakiwa ku disable antivirus kwanza, sasa sijui kwa hizi ulizoweka ww kama procedures ni zilezile?

GSM Alladin iliyopo humo haiitaji uzime antvirus ila nyingine zote zinahitaji, Then GSM Alladin Iligoma Baada Au Kabla Ya Installation?
 
Nilichelewa kuiona hii sms mkuu, ngoja nifanye kukucheki kwenye iyo email

Usijali Download Hapa
 
Usijali Download Hapa
Darasa lini tena mr. ? maana naona kimya na hii wiki inakata sijaona somo kwenye jukwaa la tech.
 
Darasa lini tena mr. ? maana naona kimya na hii wiki inakata sijaona somo kwenye jukwaa la tech.

Aaah aaaaah tunaendelea mkuu nadhani kesho, samahan sana boss. muda wa kuandaa nondo ni mchache na nina kazi nyingi
 
Back
Top Bottom