Nikweli huyu tumpotezee tuangalie mbele zaidi na malengo yetu kwani wajanja wanasema mpuuzi mpuuzee so huyu pia tumpuuze jaman kwa wale wenye sifa tajwa hapo juu wajitokeze japo niliona kuna mkuu mmoja ni mwenzetu alishaomba udereva nadhani hapo ni ya uyaya ndio bado lakini najua mpka kesho watajitokeza wahitaji zaidi Inshaa Allah.Wakuu wa jukwaa letu pendwa tulikuwa tupo sambamba sana kupeana info za maaana ila kwa siku ya leo kuna kiumbe cha ajabu sijui kimedondoka hapa kutokea wapi? ID yake Mgaka12 I tried to argue with him earlier.
muhimu
TUSIMJIBU CHOCHOTE, WALA KUMJADILI HATA AKIPOSTI AU REPLYING COMMENTS YA MTU TUMWACHE AROPOKE UPUUZI WAKE, SISI TUFOCUS KWENYE MAMBO YETU.
kuna ishu ya udereva unahitajika nchi ya newzealand na uyaya wa ndani kama ilivyotolewa na mkuu Izzo jamani tuombeni mwongozo wa hizi kazi na mwenye nia aombe haraka.
cc Dr Adam
Stunterr
Daby
Wisegal
Kirikou
Na wengine wote, kwani Nina yetu ni moja kutafuta maisha nje ya tz huyu fala asitupotezee direction tukawaste kurasa zetu hapa kwenye nyuzi kupashana naye.
Akipatikana wa Dom namie ntupie mmoja aseee...Huu uzi ni kati ya nyuzi bora kabisa kupata kuanzishwa hapa JF. Nimekua nao toka page ya kwanza nikilike kila kilichonivutia, ubarikiwe ndugu Lusungo hakika return ya ulichokifanya itakuwa kubwa sana ni suala la muda tu.
Kuna sehemu nacheka sana kama comments za mkuu Wonderful, una namna ya kuwafanya watu watabasamu, ubarikiwe.
Kuna sehemu hadi machozi yamenitoka kwenye Comments za mkuu Kaveli, you are such a wonderful creature, mkweli, muwazi, sio fake (kama watu wamefuatilia comments zako kwenye nyuzi mbalimbali humu JF). Hakika you have my prayers, Yule unayemuamini akupiganie katika kile chema unachokitaka maishani mwako. Halafu nimeupenda uandishi wako, kudos.
Mkuu Izzo uwepo wako ni ushahidi wa kuwa waTanzania bado wapo wenye roho nzuri sana, umekuwa msaada kwa wenzetu wengi wenye nia yakwenda nje kusaka maisha katika mtazamo mwingine.
Pia Mbarikiwe wachangiaji wote mliotoa miongozo, misaada, changamoto, na taarifa mbalimbali kuhusu nchi za wenzetu, mmpanda mbegu bora kabisa, jueni kuwa hamjaupoteza muda wenu bure. Kila la heri wote mnaofanya michakato yakuzama nchi za nje, wenye nia njema wote Mungu awaongoze.
Mwisho, kwenye kuhost hapo kama kuna mgeni anatakuwa interested kuja kanda ya kati (Dodoma) naomba nipewe nafasi, malazi yapo sehemu salama kabisa. Nina imani atakuwa salama.
Mkuu IZZO nakukumbusha tena ndg yangu naomba unisaidie jinsi ya kupata hio kazi ya driving in New Zea land ntakushukuru saana mkuu, vigezo vyote ulivotaja ninavyo. Ntakushukuru saana Mkuu.Jamani kuna kazi ya udereva Auckland, New Zealand. Salary $540-653 a week. lazima ujue sheria za barabarani kwa maana hapa kuna madereva na waendesha magari anayetakiwa ni dereva si mwendesha magari pia uwe na passport kubwa pia anatakiwa mfanyakazi wa ndani (Nanny) ujue English na pia mwenye hofu na Mungu
Mbona bado upo au!!
Yeah wameufuta aseeh.
Pamoja sana mkuu acha harakati ziendeleeNgoja wameniambia wanauhariri nione kama wataurudisha.
Hao warembo wa kizungu uliwapata kupitia website gani?Hahaha washinde wenyewe tu mi hapa nilipo nimmewakusanya na wote wanaamini nawapenda kikubwa ni kujari tu maana ninapochati nao huku ikiwa usiku kule kwao ni mchana na ninapowaaga nilale wote kwa pamoja nawaaga nalala muda ninaoamka ndio muda wanaolala basi hua nawahi kuwasiliana nao asubuhi yangu ili usiku wao uwe mzuri na kuwalaza unono basi wananogewa
Mimi nimebaki tu nacheka, asamehewe bure jamani. Kuna watu wana roho za hivyo, hawezi saidia mtu na akiona mtu anasaidiwa anaumia! Huyu ni mwenyeji sana tu, na atakuwa alikuwepo humu toka mnakasha unaanza ila kaona afungue ID nyingine ili asitambulike. Nimemshangaa kiasi ila anafurahisha pia.
Wakuu huyu jamaa ni britanicca ndiye Dr. RWEYENDERA ndiye katelelo pia ndiye Kevin issaya aliyetapeli watu kwenye uzi wake wa kuingiza bidhaa kutoka Europe kwa taarifa zaidi kesho nitaanzisha uzi kwa ajili yake maana kashanikera.
Nitatoa uthibitisho wa kutosha nkishindwa nipo radhi kubeba mzigo.
Asanteni ndugu zangu kesho nitawatag hasa mliopo humu ili mmjue vizuri.
lusungo
izzo
STUNTER
cognition i
ganja gal
Richard
Tombstone Piledrive
Eng Mose
Qj_
dangadunguri
meney9
Prishaz
Mkuu kuhusu kipindi wanachoruhusu kukaa hata wakikuruhusu wiki mbili ww kama umeamua kwenda kutafuta maisha usijali mm nilikuwa na viza ya mwezi 1 miaka hiyo unachofanya ukifika unaenda kujilipua home affair kuomba asylum seeker usiende na passport utapata hiyo permit utakayokuwa unaenda kurenew kila baada ya miezi kadhaa kwa wakati ule unaruhusiwa kufanya kazi na kusoma unaweza kuchukua hata miaka 4 ndio uje usikilizwe kesi yako kwa ajili ya kupata status ila mara nyingine watz huwa hatupati utapewa siku za kurudi kwenu au kuapili kupinga hiyo hukumu kwa cape town tulikuwa tunaenda UCT pale kuna mawakili wanaosaidia nakumbuka baada ya kuapili nilikaa mpaka 2010 nilipoamua kuondoka mwenyewe, nadhani nitakuwa nimesaidia kidogo kama ndicho ulichotaka kujuaSouth si huwa tunaruhusiwa kukaa week tatu kama skosei, sasa wewe umechukua permit ya kazi au ?
Kujikwaa siyo mwisho wa safari. Don't take it generally.