Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

cfca0afaaaf3e37f51ca2ed22d32fa11.jpg

wakuu wazoefu kuna link hyo ni utapeli au kwel!?? maana ukiapply wanataka mpunga!!
06101b9465fbcf3f7370d5b3b004cd0d.jpg
 
Wakuu wa jukwaa letu pendwa tulikuwa tupo sambamba sana kupeana info za maaana ila kwa siku ya leo kuna kiumbe cha ajabu sijui kimedondoka hapa kutokea wapi? ID yake Mgaka12 I tried to argue with him earlier.


muhimu

TUSIMJIBU CHOCHOTE, WALA KUMJADILI HATA AKIPOSTI AU REPLYING COMMENTS YA MTU TUMWACHE AROPOKE UPUUZI WAKE, SISI TUFOCUS KWENYE MAMBO YETU.

kuna ishu ya udereva unahitajika nchi ya newzealand na uyaya wa ndani kama ilivyotolewa na mkuu Izzo jamani tuombeni mwongozo wa hizi kazi na mwenye nia aombe haraka.




cc Dr Adam
Stunterr
Daby
Wisegal
Kirikou
Na wengine wote, kwani Nina yetu ni moja kutafuta maisha nje ya tz huyu fala asitupotezee direction tukawaste kurasa zetu hapa kwenye nyuzi kupashana naye.
 
Wakuu wa jukwaa letu pendwa tulikuwa tupo sambamba sana kupeana info za maaana ila kwa siku ya leo kuna kiumbe cha ajabu sijui kimedondoka hapa kutokea wapi? ID yake Mgaka12 I tried to argue with him earlier.


muhimu

TUSIMJIBU CHOCHOTE, WALA KUMJADILI HATA AKIPOSTI AU REPLYING COMMENTS YA MTU TUMWACHE AROPOKE UPUUZI WAKE, SISI TUFOCUS KWENYE MAMBO YETU.

kuna ishu ya udereva unahitajika nchi ya newzealand na uyaya wa ndani kama ilivyotolewa na mkuu Izzo jamani tuombeni mwongozo wa hizi kazi na mwenye nia aombe haraka.




cc Dr Adam
Stunterr
Daby
Wisegal
Kirikou
Na wengine wote, kwani Nina yetu ni moja kutafuta maisha nje ya tz huyu fala asitupotezee direction tukawaste kurasa zetu hapa kwenye nyuzi kupashana naye.
Nikweli huyu tumpotezee tuangalie mbele zaidi na malengo yetu kwani wajanja wanasema mpuuzi mpuuzee so huyu pia tumpuuze jaman kwa wale wenye sifa tajwa hapo juu wajitokeze japo niliona kuna mkuu mmoja ni mwenzetu alishaomba udereva nadhani hapo ni ya uyaya ndio bado lakini najua mpka kesho watajitokeza wahitaji zaidi Inshaa Allah.
 
Huu uzi ni kati ya nyuzi bora kabisa kupata kuanzishwa hapa JF. Nimekua nao toka page ya kwanza nikilike kila kilichonivutia, ubarikiwe ndugu Lusungo hakika return ya ulichokifanya itakuwa kubwa sana ni suala la muda tu.
Kuna sehemu nacheka sana kama comments za mkuu Wonderful, una namna ya kuwafanya watu watabasamu, ubarikiwe.
Kuna sehemu hadi machozi yamenitoka kwenye Comments za mkuu Kaveli, you are such a wonderful creature, mkweli, muwazi, sio fake (kama watu wamefuatilia comments zako kwenye nyuzi mbalimbali humu JF). Hakika you have my prayers, Yule unayemuamini akupiganie katika kile chema unachokitaka maishani mwako. Halafu nimeupenda uandishi wako, kudos.

Mkuu Izzo uwepo wako ni ushahidi wa kuwa waTanzania bado wapo wenye roho nzuri sana, umekuwa msaada kwa wenzetu wengi wenye nia yakwenda nje kusaka maisha katika mtazamo mwingine.

Pia Mbarikiwe wachangiaji wote mliotoa miongozo, misaada, changamoto, na taarifa mbalimbali kuhusu nchi za wenzetu, mmpanda mbegu bora kabisa, jueni kuwa hamjaupoteza muda wenu bure. Kila la heri wote mnaofanya michakato yakuzama nchi za nje, wenye nia njema wote Mungu awaongoze.

Mwisho, kwenye kuhost hapo kama kuna mgeni anatakuwa interested kuja kanda ya kati (Dodoma) naomba nipewe nafasi, malazi yapo sehemu salama kabisa. Nina imani atakuwa salama.
Akipatikana wa Dom namie ntupie mmoja aseee...
 
Jamani kuna kazi ya udereva Auckland, New Zealand. Salary $540-653 a week. lazima ujue sheria za barabarani kwa maana hapa kuna madereva na waendesha magari anayetakiwa ni dereva si mwendesha magari pia uwe na passport kubwa pia anatakiwa mfanyakazi wa ndani (Nanny) ujue English na pia mwenye hofu na Mungu
Mkuu IZZO nakukumbusha tena ndg yangu naomba unisaidie jinsi ya kupata hio kazi ya driving in New Zea land ntakushukuru saana mkuu, vigezo vyote ulivotaja ninavyo. Ntakushukuru saana Mkuu.
 
Mkuu lusungo shukrani kwa kuleta huu uzi. izzo mkuu endelea na moyo huo huo pamoja na wadau wote mliochangia humu.

Kuna mambo nimejifunza mengi sana na kwa huu uzi nimefufua ndoto ya kwenda ulaya. Nakumbuka wakati nipo sekondari kuna wazungu walikua wanakuja shule, kipindi hicho nina upako wa kiingereza yes no what when zilikuwepo kwa wingi. Mimi sikujua kwamba ile ilikua ni fursa ya kwenda ulaya. Nimesoma huu uzi nikakumbuka kama ningejiongeza ningekua nipo huko.

Kwa kupitia nondo za huku kuna mambo nimeyagundua, kwanza ukiwa na nia utafanikiwa. Pia kwenda ulaya sio jambo kubwa sana ila mikakati ya nguvu inatakiwa.

Mkuu izzo kaleta plan za kwenda huko, kwa kupitia Malta na ku_host wageni toka ulaya. Ila kwa upande wangu nimejiwekea mpango mkakati wa miaka 2 ili nifanikiwe.. [HASHTAG]#RoadtoEurope[/HASHTAG]..!!

1. Naanza kwa kutafuta Passport, ikae tuu ndani maana ndio kitu cha muhimu. Wadau wameshaatoa njia ya kuipata naamini nitaipata.
2. Nauli, hapa ndio mziki ulipo. Nauli ndio kila kitu, lazima niitafute. Japo sina kazi ila ndani ya miaka hiyo 2 najua itaeleweka
3. Kiingereza, japo cha kuombea maji kipo ila kukiongeza zaidi inanipasa. Sio unaongea na mtu unaanza kusearch vocabulary mojamoja kichwani.
4. Scholarship, japo kwa sisi wenye diploma zinakua ngumu na chache ila nitaanza kuzitafuta kwa udi na uvumba. Zile mb za kuangalia Messi's skills au Ronaldo's skills youtube nitazitumia kutafutia scholarship.
5. Kutafuta demu mzungu aliyepo Ulaya kwa kupitia online dating sites. Najua wazungu akikupenda anakupenda kweli, akijilengesha mmoja hana bahati. Namng'ang'ania kama kupe hata kwa ndumba itabidi 😛.

Naamini Mwenyenzi Mungu atasaidia na mimi niende Ulaya siku moja, aliyewezesha wengine wawepo na mimi atanisaidia.

Wakuu msisite kutoa miongozo, mbinu, nafasi ya kutusaidia na sisi tuweze kwenda huko wanapopaita Ulaya.

[HASHTAG]#RoadtoUlaya[/HASHTAG]......🙂🙂🙂🙂
 
Britannica kaja kivingine humu naona anavokatisha watu tamaa
 
Hahaha washinde wenyewe tu mi hapa nilipo nimmewakusanya na wote wanaamini nawapenda kikubwa ni kujari tu maana ninapochati nao huku ikiwa usiku kule kwao ni mchana na ninapowaaga nilale wote kwa pamoja nawaaga nalala muda ninaoamka ndio muda wanaolala basi hua nawahi kuwasiliana nao asubuhi yangu ili usiku wao uwe mzuri na kuwalaza unono basi wananogewa
Hao warembo wa kizungu uliwapata kupitia website gani?
 
Mimi nimebaki tu nacheka, asamehewe bure jamani. Kuna watu wana roho za hivyo, hawezi saidia mtu na akiona mtu anasaidiwa anaumia! Huyu ni mwenyeji sana tu, na atakuwa alikuwepo humu toka mnakasha unaanza ila kaona afungue ID nyingine ili asitambulike. Nimemshangaa kiasi ila anafurahisha pia.

Mkuu Prishaz hao wako wachache Lakini kelele nyingi.Kitu nilicho penda kaandika kwa wale ambao watapata hizi fursa Halafu wawaharibie watanzania wakarimu Na Wazalendo.
Bila ya kutoa povu nawaomba tu wale watakao fanikiwa katika fursa hizi wakumbuke michango ya Lusungo,Izzo Na wengi walio tufungulia hii milango ya kheri Na wao wakafanya mazuri Kwa wengine.
 
Wakuu huyu jamaa ni britanicca ndiye Dr. RWEYENDERA ndiye katelelo pia ndiye Kevin issaya aliyetapeli watu kwenye uzi wake wa kuingiza bidhaa kutoka Europe kwa taarifa zaidi kesho nitaanzisha uzi kwa ajili yake maana kashanikera.

Nitatoa uthibitisho wa kutosha nkishindwa nipo radhi kubeba mzigo.

Asanteni ndugu zangu kesho nitawatag hasa mliopo humu ili mmjue vizuri.
lusungo
izzo
STUNTER
cognition i
ganja gal
Richard
Tombstone Piledrive
Eng Mose
Qj_
dangadunguri
meney9
Prishaz

Mkuu Daby
Nimekuelewa sanaaaaa tu.
Itakuwa vizuri kuandika mazuri Kwa watu wanao jitolea kutuonyesha njia ili wengi wetu tufanikiwe.Tafadhali usipoteze muda wako muhimu Kwa huyo jamaa.Anacho taka usimpe
 
South si huwa tunaruhusiwa kukaa week tatu kama skosei, sasa wewe umechukua permit ya kazi au ?
Mkuu kuhusu kipindi wanachoruhusu kukaa hata wakikuruhusu wiki mbili ww kama umeamua kwenda kutafuta maisha usijali mm nilikuwa na viza ya mwezi 1 miaka hiyo unachofanya ukifika unaenda kujilipua home affair kuomba asylum seeker usiende na passport utapata hiyo permit utakayokuwa unaenda kurenew kila baada ya miezi kadhaa kwa wakati ule unaruhusiwa kufanya kazi na kusoma unaweza kuchukua hata miaka 4 ndio uje usikilizwe kesi yako kwa ajili ya kupata status ila mara nyingine watz huwa hatupati utapewa siku za kurudi kwenu au kuapili kupinga hiyo hukumu kwa cape town tulikuwa tunaenda UCT pale kuna mawakili wanaosaidia nakumbuka baada ya kuapili nilikaa mpaka 2010 nilipoamua kuondoka mwenyewe, nadhani nitakuwa nimesaidia kidogo kama ndicho ulichotaka kujua
 
Mkuu Daby Never be afraid to raise your voice for honesty and truth and compassion against injustice and lying and greed mimi nasema ukweli izzo you will be disappointed kwenye inssue hii wabongo wanamatatizo sana kwenye inssue ya kufanya kile kitu mlichokipanga
Kujikwaa siyo mwisho wa safari. Don't take it generally.
 
Back
Top Bottom