Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Hongera sana man.
Bongo Nyoso sana
Keep your head up Keep pushing
 

Hili bandiko lako linafurahisha na kutia moyo mno chief,hasa kwa wale kwenye mpango wa kwenda kusaka tonge abroad..!
Lakini bahati mbaya mengi uliyoandika katika bandiko hili hayana ukweli,hivyo kama msaka tonge atafuata haya uliyoyaandika bila kufanya research basi atakuwa ameumia vibaya sana..!
Ila bandiko lako linatia moyo sana,shukrani kwa hilo..!
 
Nimeona wale wanaokwenda ulaya kupitia pwani ya Libya hadi Italy jamaa ni wababe watu wenye roho ngumu sana,(wasudan,Ethiopia,Eritrea)jamaa wakifika Italy wanaunga kwa mguu mpaka ufaransa.
Ufaransa wanaishi barabarani,chini ya madaraja,wanazagaa ovyo mitaani wengine wanaishi kwenye vichaka halafu wanatoroka makambini kwa kuruka fensi baadhi yao wanakufa wamejazana kwenye mpaka wa France na UK eneo LA Calais sasa hapa wanatega kudandia malori kuingia UK ni shida sana kila wakati wanakimabizana na polisi,wakiulizwa na wafaransa shida yenu nini? Wanasema sisi tunaka kwenda UK kwa sababu UK ndio ulaya kuna job nyingi na ni pazuri kuliko hapa France na Italy, halafu ni madogo wa miaka 16-19. Da ni hatari sana inahitaji roho ngumu sana nahisi kama wanawaharibia watu wanaotaka kwenda kihali wanafanya vurugu kila wakati.
 
Mkuu hebu nisaidie hiyo sample ya barua ninae mtu yupo nje nataka anisaidie hiyo barua
Please
 
Mkuu hii ni thread maalumu kwa kupeana uzoefu wa majuu na namna ya kwenda.... Ni maalumu kwa wenzetu wanaohitaji kwenda huko... Sio mimi ninayehitaji nimeweka kwa niaba ya wengine. Nimeshaishi USA for 8 years na Denmark.
So ili kupunguza wimbi la thread za ushauri ni vizuri tutiririke hapa ili wengine wajifunze.
[/QUOTE]
 
[/QUOTE]Mkuu nipe kwanza japo intro ya hizo nchii au fungua thread kidogo uelezee jinsi ya hizo nchini na uzoefu wako ulio kaa huko.

Usisahau kuni tag
 
Wanajf naombeni namna na jinsi ya kutoka TZ kwenda nchini kuwait kwani ni nchi ambayo naipenda sana naitaji sana kufika uko.

Ni nchi nzuri sana ila ina masharti sana kama ukienda kwenye website yao ya visa ni baadhi ya nchi wanapewa E visa online lakini kwa pass ya Tz naona ukaombe ubalozini kama wapo DAR
 
Mkuu tusaidie ulipataje scholarship na sisi wa mavumbini uku tupambane?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…