Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

naomba unipe A,B,C za Uarabuni kaka
 
Huko Scandinavian naona kila mtu anapataja tunapataje mchongo huko
 
Ndio maana viatu vya mtumba Kenya ni grade nzur kumbe
 
Ni kweli mimi napambana ila mshkaji ali nirusha tu ila madhari bado nipo hai na afya njema nta pambana
 
Canada
Application fee $75
Tuition fee $12,000 per year
Visa Application fee $150
Biometric fee $85
Medical check up Tshs 400,000
Tuition deposit $1,000 Non Refundable
Ticket cost $1,800
Insuarance $1,000

Msc or Diploma
Boss hio tuition fee unatakiwa kuonekana bank kwenye visa interview???
 
Kuna tetesi kwamba baada ya Uingereza kuondoka rasmi kwenye umoja wa Ulaya wataigeukia Jumuiya ya Madola na kuanza kushirikiana na nchi za Jumuiya hiyo ikiwemo Tanzania.

Ni hapo utakapofika huo muda tutafahamu zaidi.
Dah lini sijui ndg zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…