Mkuu hiyo usiwaze si binadamu wote wako fair kumpa njia mwenzake afanikiwe ni wachache sana wenye hiyo sacrifice.
Lakini kingine pia inategemea huyo classmate wako mliishi naye vipi na mnaaminiana vipi.
Wako baadhi ya watu pia wakisaidiwa baadae hugeuka na kuwa masnitch.
Kwa mfano unakuta kuna mtu mwingine yuko nje ya nchi lakini kuna dili za ujanja ujanja anazipiga ili kutoboa sasa anaogopa akiziweka wazi unaweza baadae ukawasanua watu dili zake zikabuma.
Kwa hiyo unapokuwa unasaka details kwa mtu fulani ukazikosa usimaind tafuta alternative way ya kupata hizo information.
Penye nia pana njia.
Sent from my SM-C7000 using
JamiiForums mobile app