Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Dah rip mwamba, ni ngumu kuamini kuwa muandishi wa comment hii hatunae tena duniani.

Sema ndio hivyo kufa ni njia yetu sote, mbele yake nyuma yetu.
 
Unatakiwa uonyeshe ada ya mwaka mmoja, na $10,000

Ada ya mwaka inategemeana na chuo

Wa TZ bado tunakubalika sana

Kwa Nigeria ni lazima ulipe ada kabla hujawekewa Visa
Hey bro I need ur contact nataka kuja canada through study root naomba ushaur wako nimejipanga kidgo
 
Hongera sana mwanakwetu
 
Mkuu ulifanikiwa kiasi gani?
 
Achana na wtu wa mtandaoni utatapeliwa fedha.. zako tafuta taarifa sahihi, fanya mwenyewe process kwa kuomba msaada kwa wenye uzoefu
Hii ni kweli kuna member umu tena ktk uzi huu amenipiga pesa akijidai yy ni agent anaitwa JB mpiana
Uwe makini matapeli wapo
 
Kwenye pita pita zangu
Visit visa
 

Attachments

  • Screenshot_20230729-222326_Instagram.jpg
    102.8 KB · Views: 48
  • Screenshot_20230729-202353_Instagram.jpg
    121.3 KB · Views: 46
sahivi uko wapi
 
after submitting preliminary how long it's takes to receive the link to continue with full application of poland working visa?
 

Kwaiyo izo test unafanya kwa video au ni njia gani hasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…