Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Kocha sizonje ndiye kasababisha yote haya Mkuu. Kuna wengine waliamua kurudi nyumbani sasa hivi wanajuta na wengine wameamua kurudi majuu kwao. Roho mbaya, vitisho, visasi, kujiona yeye ndiye yeye hataki ushauri eti anainyoosha nchi wakati ukweli anaiangamiza nchi si mambo mazuri kwa uchumi wa nchi yoyote ile duniani.

Ni ajabu na kweli!!
Leo hii kubeba boksi kunatafutwa hivi wakati muda sio mrefu wabeba maboksi walikuwa wanatukanwa na kukejeliwa?
Holy mother!!
 
Sweden wana scholarship bila hata TOEFL wanakubali Ila uwe Umepata walau B ya kingereza O_LEVEL
 
Me ninandugu yangu, ambae kwasasa ameshakuwa raia wa UK, na anafamilia kabisa kule.
Nimeshajaribu, kumshawishi anipe mbinu za kuingia kule lakini ni muoga balaa, yaan haishi kunikatisha tamaa. Mara utasikia oooh siku hizi Hali ni mbaya Sana.

Halafu inaonekana si mtu wakujichanganya kabisa yan hujui aanzie wapi ili kunirahisishia njia.

Wadau Hebu nipenni mbinu ili nimfundishe Huyu anko wangu maana amelala Sana.
 

Machupa na shekhan wote wako hapa,walikuja kucheza mpira shekhan akazamia na kuendelea na maisha baadae kapata mke kaoa na sasa ana watoto 2 na tiyari ni raia wa hapa.lkn walipigana saana kupata karatasi si rais inabidi kukaza buti saana,na maisha ya hapa ni akili saana na kujipanga unaweza kuwa na karatasi lkn ukawa choka mbaya tu kama Joseph kaniki gorota sasa yuko jela
 
Mkuu Stockholm vipi maisha kwa mtu anayepata 9000 SEK kwa Mwezi? Naweza kusave hata kidogo?
 
Ungetutajia baadhi ya hizo nchi mkuu ingependeza sana.
 
Mimi nipo Stockholm kwa zaidi ya half decade ntaeleza badae Ni kwa njia gani waweza tumia but briefly Kuna timu ya mpira huku inaitwa Kilimanjaro ipo under Athuman Machupa Na Shekhan Rashid and co wanaweza kusaidia pia kuwaleta wabongo huku. lusungo
Mkuu, kama naweza kupiga danadana mbili tatu au kukimbia na mpora si wanawaweza waka ni recommend na kunichukua hao watindiga wenzetu??
 

Kadi ya manjano sio kazi nikulipa tu na upata chanjo tena wanakuuliza unataka chanjo kabisa au cheti tu?cheti cha kuzaliwa RITA ni wiki moja tu unapata.Pasport ndio tatizo may be,kadi ya manjono europe hawaitaji uwe nayo wala hawakuulizi kabisa
 
Uzi mzuri sana,

kuna njia ya kuvolunteer kufanya kazi katika sehemu mbali mbali duniani hii ni njia nyepesi ila inahitaji pesa kidogo.

kuna web ya workaway.info inaungaisha katika ya worakway na host,unatakiwa kujisajili inacost 29 usd unalipia bank au kwa paylal.

Uzuri wake hii ni njia ya uhakika na mara nyingi host inakua juu yake malazi na makazi juu yako wengine wanakupa access ya kufanya kazi manake kujitolea inakua mara nyingi katika ya masaa 3-6 per day mda mwingine unakua free kufanya mambo yako.
pia unaweza kuongeza muda huku ukisoma ramani ufanye vipi utoke.

vitu unavyohitaji kujilipia ni ticket yako ya ndege go and return,visa fees ambayo inategemea na nchi ila sio ghali.

nauli ya ndege ni ghali kama umechagua nchi za mbali kwenda kama Canada,Australia,Japan and Nordic countries.

Nakutakieni mafanikio mema katika kutafuta maisha nje kila kitu kinawezekana.
 
Aisee hakuna kitu kinasumbua Kama reference letter hapa kwetu. Yaani lecturers hawana muda kabisa wa kukuandikia barua. Akikuonea huruma sana anakwambia umpelekee draft then yeye arekebishe na kusaini
 
Du KANIKI kawekwa ndani tangu lini mkuu kosa lilikuwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…