Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Nilichelewa kuuona huu uzi time naona leo ulikuwa na comment zaid ya 1000!! Thanx God nimemaliza kuzisoma zote!! It very useful!! Thanx to Lusingo, Izzo na wengine!! Master plan yang Kusaka master scholarships za Malta na nardic country esp.. Sweden na Dernmark!! tutaendelea kupeana update!! Dr. adam tuwe karibu aisee m ni dr. pia tupo field moja! Others ol the best tukutane Malta...!! this year
 
Nilichelewa kuuona huu uzi time naona leo ulikuwa na comment zaid ya 1000!! Thanx God nimemaliza kuzisoma zote!! It very useful!! Thanx to Lusingo, Izzo na wengine!! Master plan yang Kusaka master scholarships za Malta na nardic country esp.. Sweden na Dernmark!! tutaendelea kupeana update!! Dr. adam tuwe karibu aisee m ni dr. pia tupo field moja! Others ol the best tukutane Malta...!! this year
Kila la kheri kwako mkuu.
 
Nilichelewa kuuona huu uzi time naona leo ulikuwa na comment zaid ya 1000!! Thanx God nimemaliza kuzisoma zote!! It very useful!! Thanx to Lusingo, Izzo na wengine!! Master plan yang Kusaka master scholarships za Malta na nardic country esp.. Sweden na Dernmark!! tutaendelea kupeana update!! Dr. adam tuwe karibu aisee m ni dr. pia tupo field moja! Others ol the best tukutane Malta...!! this year
Mkuu inshu ni viza na jinsi gan tukifika huko tutapata PR kwa hilo mwenzang umejipangaje?
 
Wakuu Ni vyema tunaopewa ushauri tuutumie ikiwezekana haraka mafanikio yake yaonekane kwa haraka ili wanaotushauri wapate moyo na wajue watu wapo serious.
Kweli mkuu lakin naimani weng wanania lakini bila shaka changomoto kubwa unazifahamu ambazo hata wewe bila shaka zinakutoa jasho.
1.Wenyewe wanaita hela ambayo itasaidia mchakato mzima kuanzia nauli n.k
2.Njia ipi sahihi na salama ya kutumia kufika kule waendako?
3.Ukifika huko jinsi gan utapata RP? na mengne mengi
tangu uzi umeanza hatujapata mrejesho hata mtu mmoja kama tayari kafanikisha safari au ndo tuseme kila mmoja yupo kwenye michakato?
4.Mkuu izzo aliahidi ataleta njia ya tatu ya kufika US na canada mpaka sasa kalibia wiki inafika hajatokea kuleta nondo ikumbukwe kuna wadau wengi wanania yakufika nchi hizo mwenye kujua huyu mkuu kapatwa na nini atujuze mbona uzi huu kautelekeza ndugu zake bado tunahitaji msaada wake.
 
Kweli mkuu lakin naimani weng wanania lakini bila shaka changomoto kubwa unazifahamu ambazo hata wewe bila shaka zinakutoa jasho.
1.Wenyewe wanaita hela ambayo itasaidia mchakato mzima kuanzia nauli n.k
2.Njia ipi sahihi na salama ya kutumia kufika kule waendako?
3.Ukifika huko jinsi gan utapata RP? na mengne mengi
tangu uzi umeanza hatujapata mrejesho hata mtu mmoja kama tayari kafanikisha safari au ndo tuseme kila mmoja yupo kwenye michakato?
4.Mkuu izzo aliahidi ataleta njia ya tatu ya kufika US na canada mpaka sasa kalibia wiki inafika hajatokea kuleta nondo ikumbukwe kuna wadau wengi wanania yakufika nchi hizo mwenye kujua huyu mkuu kapatwa na nini atujuze mbona uzi huu kautelekeza ndugu zake bado tunahitaji msaada wake.
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
 
Mkuu inshu ni viza na jinsi gan tukifika huko tutapata PR kwa hilo mwenzang umejipangaje?
Kwa mm nilivyowaelewa wazoefu kama unaenda kimasomo step.ya kwanza ni kupata scholarship then visa na PR vitafuata penye ugumu Lusungo na Izzo wapo so itawezekan tu kwa juhudi thabiti!
 
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
Mkuu izzo nimechelewa kusoma this thread ... Nimewahi kuwa na wazo la kutaka kuwa host na changamoto ikawa ni namna ya kupata hao wazungu...

Nikuhakikishie kuwa nipo tayari kwa kila kitu kuhakikisha naacha mambo yangu ili nifanikishe hili suala kwa kuzingatia ushauri wako ...


Nipo tayari nipe destination
 
Ndugu zangu jana nilitoa list ya balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwani nchi ya Malta ina balozi chache sana kwa nchi za Africa balozi zipo Africa ya kaskazini so wanachofanya kuna balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwa Tanzania ni balozi ya Italy ndio unaweza pata visa ya Malta njia ya kwenda Malta ni tatu kusoma,kutalii,kutembea hii inahusisha kufanya kazi kwa kujitolea ambapo yule unayefikia kwake anakutumia barua ya mwaliko

Kama unakwenda kwa ajili ya kufanya kazi ya kujitolea mara nying ni kazi za mikono ambazo unatakiwa kuwa unazijua ni
1 ufundi wa mbao au saidia fundi
2 kuchunga na kuangalia wanyama {mifugo}
3 kupika hii ni kwa wanawake
4 kutunza watoto hii ni kwa wanawake
5 kutunza bustani hii ni kwa wote

Napendekeza kama kazi ya kujitolea ukafanye kijijini au kwenye miji midogo faida yake ni
1Kwanza utajua Lugha zaid ya moja yani lugha ya wenyeji
2 unakuwa unaply low profile{kwani watu ni wachache na wengi ni wazee ambao mala nying hawana mpango na mtu}
3 Ni vyepesi kupata mdhamini wa kukuombea uraia endapo utakaa mwaka mmoja
4 Wengi kule ni wazee so mzee siku zote wanaaminika sana kwa serikali na taasisi zake so kama akikuombea uraia process zako zitakuwa fupi tofauti na akikuombea kijana

Vijiji na miji ya Valletta,Mdina, Zabbar,Cospciua na st paul"s bay

Wale wakina John kisomo kule scholarship nyingi ni kwa level ya masters na PhD ambazo nying ni za serikali BT ninazo scholarship za Sweden,Canada,Denmark , Australia ,Austria ,Germany , Finland, NZ lakini nying ni Masters na PhD lakini mission yetu ni Malta so tunajikita kwenye Malta

Note ; ni uhakika kama ukifanikiwa kukaa ndani ya MALTA mwaka mmoja kupata uraia ni vyepesi na ukifata process zote utafanikiwa lakini pia Mungu ni wa kumuomba kwa kila jambo pia

Kama utafanikiwa nchi za kwenda kwa ulaya ni za Scandinavian country na Ujerumani,Canada, USA kwa sasa hakuna free visa kwa nchi za ulaya mpaka pale watakavyobalisha Luxembourg nchi ambazo usiende kwani ni kimeo ni Italy,Spain, Ufaransa kwani kazi hakuna na maisha ni magumu UK wamejitoa EU so sidhani kama kuna free visa


kuhusu jeshi nilishazungumzia labda kama kuna swali naweza ulizwa

Kumbuka jeshi la wenzetu mafunzo si magumu sana kama huku kwetu najua wengi wanaweza ogopa kutokana na mafuzo huku ni kukomoana kule ni kufundishana majeshi ya wenzetu wamewekeza kwenye technology si katika nguvu za mwili mambo ya kuvunja matofali au kuvuta gari kwa meno hakuna labda uwe kwenye vikosi maalumu kama special force na commando wenzetu siku hizi ni kubonyeza botton tu vinatoka vitu mpaka sijui mkutane mpigane mieleka siku hz hakuna room hiyo siku hiz zinatumwa spy UAV{Unmanned aerial vehicle} inapiga picha jion pilot mmoja au wawili wanachukua chombo aidha fighter jet au bomber ambazo hazionekani kwenye rada na kwenda kudrop madude then baada ya masa 6 au 10 wamerudi huku uko walipo kwenda wakiacha vilio tu na kazi ya ambulance kwa ajili ya kubeba majeruhi au maiti na fire kwa ajili ya kuzima moto

Pia kwa wenzetu jeshi ndipo vitu bora vinapatikana kuanzia elimu bora na huduma bora za afya kwani viongozi wote wa serikali wakiumwa utaskia wamepelekwa kwenye hospital za kijeshi wanasema kitu chochote bora duniani kinapatikana jeshini kwa wale wanaotaka kuomba kazi moja kwa moja unaweza pita hapa www.maltajobport.com

mwenye swali aulize bt no pm kwani sito jibu msg ya mtu yeyote

kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
https://www.google.com/url?sa=t&rct...sg=AFQjCNH9Pvbb83aZc4r_XxpdH36SWqh9aA&cad=rja
Mkuu naomba kujua age limit ya kujiunga na jeshi Malta kama unafaham kdgo
 
Mkuu naomba kujua age limit ya kujiunga na jeshi Malta kama unafaham kdgo
Kujiunga na jeshi kwa ulaya ni mpaka miaka 32 kwani kwa wenzetu jeshi ni service si kazi kama vile ilivyo Africa na project si kujiunga na jeshi la Malta bt ni kupata uraia wa Malta ili kuweza kupata nafasi ya kufanya kazi na kuishi nchi za Ulaya na kujiunga na jeshi kwenye nchi za Ulaya yani A list za ulaya
 
Back
Top Bottom