Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Hivi kueleza hapa mbinu aliyotumia kupata visa kinazuia nini? Huu ni uzi mahsusi kwa hilo ina maana isubiriwe hiyo forum ya diaspora? Why wabongo tupo hivi?

Nini kinakuzuia kuandika hapa ulichokusudia kukiandika huko sub forum ya diaspora? So watu wanaohitaji huo msaada sasa wasubiri hadi iletwe hiyo sub forum?
Mkuu lusungo una moyo wa ajabu sana, siyo wote wana moyo wa namna hii, hiu nia uliyo nayo kusaidia waTz wenzako siyo asili ya watanzania wengi. Nimekuona unavyojitahidi kuwajibu wale wanao hitaji diaspora forum lakini ukweli inaonyesha wala hawana nia wala moyo ulio nao. Muhimu naona uwapuuze tu kwa sasa, wasiposema wao kuna wengine wenye moyo watasema. Zidi kubarikiwa
 
izzo nakusoma kwa utulivu mkubwa, naendelea kusema asante kwa moyo unao uonyesha na wakuu wengine pia. Naamini muda wenu hautapotea bure kuna kitu mmekipanda na lazima kitazaa matunda.
Hapo kwenye Host niko tayari sana.
Siku zote mm napenda sana kama mna kitu mnafanya bhasi matokeo yaonekane japo kidogo tatizo Watanganyika mnapenda story story sana hilo ndio tatizo kubwa sana kwa Dunia ya leo hatuwezi kujaza saver za JF kwa story story tu mpaka leo hakuna hata mrejesho hata wa aliyekwenda ubalozi wa Italy japo kuuliza tu michakato ya visa tu nothing host ni wawili tu walionyesha nia so unadhani tunafanya nini hapa sasa ?????
 
Siku zote mm napenda sana kama mna kitu mnafanya bhasi matokeo yaonekane japo kidogo tatizo Watanganyika mnapenda story story sana hilo ndio tatizo kubwa sana kwa Dunia ya leo hatuwezi kujaza saver za JF kwa story story tu mpaka leo hakuna hata mrejesho hata wa aliyekwenda ubalozi wa Italy japo kuuliza tu michakato ya visa tu nothing host ni wawili tu walionyesha nia so unadhani tunafanyaje hapa sasa ?????
Mkuu izzo naomba usome comment yangu juu hapo
 
izzo nakuelewa sana,mimi natamani nirudi hata leo tz nianze michakato ila nina contract ya kazi imenibana mpaka mwezi wa 7 ntarudi tz.
wabongo wanapenda stori lakini kufanyia kazi ni suala jingine.
Kuna ndugu nmempa mpango mzima wa kwenda Malta kutafuta maisha na nauli ntamuazima kanijibu nisubiri atafikiria wakati anakaa nyumbani hana kazi wala nini,anakaa kwenye tv 25 hours..
 
izzo nakuelewa sana,mimi natamani nirudi hata leo tz nianze michakato ila nina contract ya kazi imenibana mpaka mwezi wa 7 ntarudi tz.
wabongo wanapenda stori lakini kufanyia kazi ni suala jingine.
Kuna ndugu nmempa mpango mzima wa kwenda Malta kutafuta maisha na nauli ntamuazima kanijibu nisubiri atafikiria wakati anakaa nyumbani hana kazi wala nini,anakaa kwenye tv 25 hours..
Ndio maana nasema nitakuwa sitendi haki kwa akili yangu kuweka maproject hapa ambayo hayafanyiwi kazi no siwezi hata kidogo kufanya hvyo
 
Siku zote mm napenda sana kama mna kitu mnafanya bhasi matokeo yaonekane japo kidogo tatizo Watanganyika mnapenda story story sana hilo ndio tatizo kubwa sana kwa Dunia ya leo hatuwezi kujaza saver za JF kwa story story tu mpaka leo hakuna hata mrejesho hata wa aliyekwenda ubalozi wa Italy japo kuuliza tu michakato ya visa tu nothing host ni wawili tu walionyesha nia so unadhani tunafanya nini hapa sasa ?????
naomba kwenye host hapo uniweke npo serious kwa hilo i don't kno km itakuwa issue kwa tulio mikoani.,binafsi npo mwanza muda ukifka ukitaka details nitakupa..,ubarikiwe mkuu izzo..
 
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
Chief hii kitu nilitaman sana kuifanya ila tatizo tuko kwenye viajira vyetu inakua ngumu kidogo
 
mkuu dr adam.faida ile option yako ya kwenda Botswana November bdo ipo, au umeamua unyoke Malta moja kwa moja?
 
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
izzo kama umeona comment yangu hili suala nimeliongelea hapo juu. Tunaopewa ushauri tujitahidi tunayoambiwa tuyafanyie kazi la sivyo hizi zitakuwa stori kama za chit-chat.
Sipo perfect kuhusu hili ila jamani tunaoshauriwa ili washauri waendelee kutupigania lazima tuonyeshe efforts japo kidogo. Binafsi sikutaka kuexpose nilipofikia kwasasa ila kwa comment yako hii imenibidi japo nitaelezea kwa ufupi.

Kuna jamaa nilikutana naye na nafikiri nilimwelezea kule nyuma nikasema anayehitaji msaada wake anifuate ila sikuona reponse ya mtu yeyote. Huyu jamaa anadeal na visa za Canada na Europe anakutafutia visa then pia anakutafutia mbongo au mtu yeyote wa kukuhost kwa muda huku ukikamilisha mambo yako. Gharama yake ni usd 2000 ila ukiongea naye kikubwa inapungua.

So binafsi nimeamua kudeal naye ananishughulikia visa ya sweden a process zimeanza. Safari itakuwa before tareh 20 April. Kuhusu kurushwa jamaa sina mashaka naye japo binadamu sio wa kuwaamini.

Changamoto iliyopo kwake:
Ni namna ya kupata makaratasi maana napotoka huku nakuwa na schengen visa so bado nafanya mchakato wa namna ya kupata makaratasi na kuishi muda mrefu. Kuna watu nimekutana nao wananipa ramani ya kupata makaratasi lakini still michakato haijafikia hatua inayostahili ila shukrani kwao saana saana.

Gharama za jamaa ni nyingi maana hizo usd nilizotaja hapo sio kitoto.

Ombi langu kwenu kama kuna mtu anajua machimbo ya kupata papers nikishafika nishaurini ila nimeamua kujilipua April.
Msichoke kutushauri vijana wapo wanafutilia documents ila ni vizuri ndugu zangu muweke updates hapa tuwape moyo kina lusungo na izzo wanayofanya ni zaidi ya tuliyotarajia kuyapata.
 
izzo kama umeona comment yangu hili suala nimeliongelea hapo juu. Tunaopewa ushauri tujitahidi tunayoambiwa tuyafanyie kazi la sivyo hizi zitakuwa stori kama za chit-chat.
Sipo perfect kuhusu hili ila jamani tunaoshauriwa ili washauri waendelee kutupigania lazima tuonyeshe efforts japo kidogo. Binafsi sikutaka kuexpose nilipofikia kwasasa ila kwa comment yako hii imenibidi japo nitaelezea kwa ufupi.

Kuna jamaa nilikutana naye na nafikiri nilimwelezea kule nyuma nikasema anayehitaji msaada wake anifuate ila sikuona reponse ya mtu yeyote. Huyu jamaa anadeal na visa za Canada na Europe anakutafutia visa then pia anakutafutia mbongo au mtu yeyote wa kukuhost kwa muda huku ukikamilisha mambo yako. Gharama yake ni usd 2000 ila ukiongea naye kikubwa inapungua.

So binafsi nimeamua kudeal naye ananishughulikia visa ya sweden a process zimeanza. Safari itakuwa before tareh 20 April. Kuhusu kurushwa jamaa sina mashaka naye japo binadamu sio wa kuwaamini.

Changamoto iliyopo kwake:
Ni namna ya kupata makaratasi maana napotoka huku nakuwa na schengen visa so bado nafanya mchakato wa namna ya kupata makaratasi na kuishi muda mrefu. Kuna watu nimekutana nao wananipa ramani ya kupata makaratasi lakini still michakato haijafikia hatua inayostahili ila shukrani kwao saana saana.

Gharama za jamaa ni nyingi maana hizo usd nilizotaja hapo sio kitoto.

Ombi langu kwenu kama kuna mtu anajua machimbo ya kupata papers nikishafika nishaurini ila nimeamua kujilipua April.
Msichoke kutushauri vijana wapo wanafutilia documents ila ni vizuri ndugu zangu muweke updates hapa tuwape moyo kina lusungo na izzo wanayofanya ni zaidi ya tuliyotarajia kuyapata.
Nitumie namba ya huyo Agent inbox
 
Binafsi uzi huu nauunga mkono 100% Lakin pamoja na hayo bado kuna changamoto nyingi kufikia hatua ya kuondoka nchini, kuna mambo mengi ambayo niya msingi hasa upande wa Serikali yetu tukufu hasa upande wa Idara ya uhamiaji. Tz yetu mtu kupata the tu cheti cha kuzaliwa ambacho ni haki ya Mzawa mpaka jasho likutoke, na ikiwezekana na rushwa juu utoe. Ukienda Migiration ili kuanza mchakato wa passport utahenya vibaya,

Kupata card ya chanjo ya homa ya manjano mpaka utahenya.

Lakini pia changamoto nyingine ni mtu kupata Nauli kamili ya kukufikisha mahari unako taka kwenda.
Binafsi ninacho elewa wakirahisisha hayo mambo ya juu, naona Tanzania inaweza kubaki na wazee tu,
Sasa nchi gani hii isiyo toa ajira, Mali asili ni nyingi lakini hatujui wala hatuoni uthamani wake, Vyeo vya juu wanapeana wao kwa wao

HAKI YA MUNGU MIMI SIKU NIKIONDOKA NDO BASI TENA. BORA NIKAFIE KWA FARAO KULIKO KANANI AMBAKO SIJAWAHI FIKA.
Haya ndio matatizo ya kukosa uzalendo. nenda Kenya hauhitaji vitu vyote hivyo. bila aibu unalilia upewe na nauli. Yaani kama unamke haushindwi kuomba wanaume wampe ujauzito.
 
Kujiunga na jeshi kwa ulaya ni mpaka miaka 32 kwani kwa wenzetu jeshi ni service si kazi kama vile ilivyo Africa na project si kujiunga na jeshi la Malta bt ni kupata uraia wa Malta ili kuweza kupata nafasi ya kufanya kazi na kuishi nchi za Ulaya na kujiunga na jeshi kwenye nchi za Ulaya yani A list za ulaya
Axnte mkuu!!
 
Poa mkuu karibu sana....
Kuhusu Australia aka OZ ni bonge la chimbo kwa watu ambao wameshawahi fika au wako wanafahamu nisemacho,kiukweli sio wabongo wengi wanapazungumzia hata humu kwenye jukwaa sijaona mijadala ya kuhusu kufanya plan za OZ.

Kiufupi ni kuwa OZ ni moja ya nchi za ulimwengu wa kwanza ambapo wazungu wako 90% yawakaazi wote na wana uchumi mzuri. Kiufupi ukifanikiwa kupata PR na citizenship ya hii nchi bwana unakua umeshawin life sio mchezo.... am talking with experience.

Njia rahisi ya kuweza kupenya OZ ni kwa kupitia student visa (visa 572, 573 etc), tatizo linakuja how to rise $25,000 ili utumie kama mtaji wa kupenya. Wanachotaka wao ni rahisi tu utoe one semester ada kama $9,000 (zinachajiwa kwa module yaani kila somo lina bei yake na foreigner lazima usome module 4 kwa semester). Pia uwe na kama 18,100 kwenye A.C yako kuprove unaweza kuishi mwaka mzima bila kufanya kazi (hapa unaweza hata kuazima kwa mtu akaweka kwa ac yako alafu baada ya kupata mapepa unazirudisha) ndio hata majiran wetu huko Kenya ndio wanafanya. Cha mwisho ni bank statement ya mtu wa karibu (next of kin) ya miezi 3 ambayo inaweza kua na flow of income ya 30m-50m basi.

Kazi zinazolipa kwa sasaivi ni kazi za hospitality (nurses, carers,etc) kuna dada analipwa $56/hr na weekend kuna malipo ya penalties yaani kama unalipwa $20/hr siku za kawaida then jumamosi unalipwa (50% more) $30/hr na jumapili unalipwa (100%) $40/hr
Ukiweza tu we ingia Acacia | Immigration Australia uanze process za kujiripua,

Pia ingia hapo hapo utatakiwa kulipia $135 ili kupata consultation ya nusu saa (inalipa kwani unaambiwa option zote kwa ufasaha kabisa kabisa na unapewa na nafasi ya kuuliza maswali utakavyo) na baada ya maongezi utaprintiwa ile convo yote
 
Back
Top Bottom