Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Poa mkuu karibu sana....
Kuhusu Australia aka OZ ni bonge la chimbo kwa watu ambao wameshawahi fika au wako wanafahamu nisemacho,kiukweli sio wabongo wengi wanapazungumzia hata humu kwenye jukwaa sijaona mijadala ya kuhusu kufanya plan za OZ.

Kiufupi ni kuwa OZ ni moja ya nchi za ulimwengu wa kwanza ambapo wazungu wako 90% yawakaazi wote na wana uchumi mzuri. Kiufupi ukifanikiwa kupata PR na citizenship ya hii nchi bwana unakua umeshawin life sio mchezo.... am talking with experience.

Njia rahisi ya kuweza kupenya OZ ni kwa kupitia student visa (visa 572, 573 etc), tatizo linakuja how to rise $25,000 ili utumie kama mtaji wa kupenya. Wanachotaka wao ni rahisi tu utoe one semester ada kama $9,000 (zinachajiwa kwa module yaani kila somo lina bei yake na foreigner lazima usome module 4 kwa semester). Pia uwe na kama 18,100 kwenye A.C yako kuprove unaweza kuishi mwaka mzima bila kufanya kazi (hapa unaweza hata kuazima kwa mtu akaweka kwa ac yako alafu baada ya kupata mapepa unazirudisha) ndio hata majiran wetu huko Kenya ndio wanafanya. Cha mwisho ni bank statement ya mtu wa karibu (next of kin) ya miezi 3 ambayo inaweza kua na flow of income ya 30m-50m basi.

Kazi zinazolipa kwa sasaivi ni kazi za hospitality (nurses, carers,etc) kuna dada analipwa $56/hr na weekend kuna malipo ya penalties yaani kama unalipwa $20/hr siku za kawaida then jumamosi unalipwa (50% more) $30/hr na jumapili unalipwa (100%) $40/hr
Ukiweza tu we ingia Acacia | Immigration Australia uanze process za kujiripua,

Pia ingia hapo hapo utatakiwa kulipia $135 ili kupata consultation ya nusu saa (inalipa kwani unaambiwa option zote kwa ufasaha kabisa kabisa na unapewa na nafasi ya kuuliza maswali utakavyo) na baada ya maongezi utaprintiwa ile convo yote
 
Nina mchumba ni mtanzania ila ana uraia wa UK tumepanga tufunge ndoa mwaka huu,nipo TZ yeye yupo UK,tatizo nimepitia spouse/fiance visa za UK nimeona watu wengi wanalalamika kunyimwa visa hadi napata mashaka naweza kukosa.Nahitaji maoni yenu kama yupo ambae alishapitia huu mchakato
na mimi pia nilinyimwa.niliambiwa hadi huyo mchunba aje hapa Tanzania,tufunge ndoa,na tena awe ameishi zaidi ya siku 21 ndio anaruhusiwa kunioa.yani ni process ndefu sana na uwezekano wa kunyimwa visa ni 90%
 
Kwa wewe uliye na ajira na una degree moja, opportunity hii hapa ya kusoma masters organised na waswisi. Kuna module utakwenda Geneva, apply sasa maana deadline ni trh 15.03 yaani kesho kutwa. Bahati uliyo nayo ni kuwa Tanzania imewekwa kama priority country so unaweza pata scholarship. Unachotakiwa kuraise kwa upande wa huku ni 3,500 CHF tu. Hizi unaweza tafuta namna ya kupambana ukapata.

Kwa maelezo zaidi pitia hii link Executive Master in Development Policies and Practices (DPP) - The Graduate Institute, Geneva
 
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
Mkuu kuhusu mwitikio wa kuhost naona ni mkubwa tangu utoe utaratibu huo naona watu waliitikia vyema kila mmoja aliomba apate nafasi hiyo kwenye thread hii lakini pia kuna changamoto ambazo nafikiri watu wengi watakuwa wanazifikiria mfano kwa wale ambao wapo mikoani je watawapokea wageni wao kisha kuwatembeza mikoani au wanaotakiwa kuhost kunatakiwa mwenyeji awe yupo dsm tu?.
Mi natambua kuna watu ambao wapo serious na ninawasiliana nao wapo wanapambana mpaka sasa wafanikishe safari zao mimi binafsi najifunza kupitia kwao lakini pia ingekuwa vyema watu hawa wakawa wanatuletea mrejesho hapa kwenye uzi huu wapi wamefikia na wanakutana na changamoto zipi?.

Mkuu izzo mi navyofahamu kwa nchi yetu hii kuzungushwa kwenye vitu kama viza ni swala la kawaida ikumbukwe pia kuna watu wameamuka kupitia huu uzi hivyo walikuwa hawajajiandaa mfano kuandaa PASS,YELLOW FEVER CARD na vitu vingine vingi mtu huyu inambidi avumilie avipate ndo aanze mchakato.
Mimi binafsi nakamilisha mambo ya kiserikali safari yangu kuiva ni mpaka november pia nawasubilia hawa wageni unaotuletea.
Lakini pia mkuu tunaomba usikate tamaa kutusaidia bado tunahitaji sana msaada wako japo umetusaidia vya kutosha tunachoomba uendelee kutupa mbinu na njia tofautitofauti zitakazofanisha ndoto za wengi.
 
mkuu dr adam.faida ile option yako ya kwenda Botswana November bdo ipo, au umeamua unyoke Malta moja kwa moja?
Jiwe moja ndege wawili mkuu naona wadau wengi walinishauri ninyooke mojakwamoja ughaibuni lakini pia njia ya kufika botswana ndo ilikuwa lengo la kuweza kufika ughaibuni kiufupi nacheza kotekote ili mradi tu njia ifunguke.
 
izzo kama umeona comment yangu hili suala nimeliongelea hapo juu. Tunaopewa ushauri tujitahidi tunayoambiwa tuyafanyie kazi la sivyo hizi zitakuwa stori kama za chit-chat.
Sipo perfect kuhusu hili ila jamani tunaoshauriwa ili washauri waendelee kutupigania lazima tuonyeshe efforts japo kidogo. Binafsi sikutaka kuexpose nilipofikia kwasasa ila kwa comment yako hii imenibidi japo nitaelezea kwa ufupi.

Kuna jamaa nilikutana naye na nafikiri nilimwelezea kule nyuma nikasema anayehitaji msaada wake anifuate ila sikuona reponse ya mtu yeyote. Huyu jamaa anadeal na visa za Canada na Europe anakutafutia visa then pia anakutafutia mbongo au mtu yeyote wa kukuhost kwa muda huku ukikamilisha mambo yako. Gharama yake ni usd 2000 ila ukiongea naye kikubwa inapungua.

So binafsi nimeamua kudeal naye ananishughulikia visa ya sweden a process zimeanza. Safari itakuwa before tareh 20 April. Kuhusu kurushwa jamaa sina mashaka naye japo binadamu sio wa kuwaamini.

Changamoto iliyopo kwake:
Ni namna ya kupata makaratasi maana napotoka huku nakuwa na schengen visa so bado nafanya mchakato wa namna ya kupata makaratasi na kuishi muda mrefu. Kuna watu nimekutana nao wananipa ramani ya kupata makaratasi lakini still michakato haijafikia hatua inayostahili ila shukrani kwao saana saana.

Gharama za jamaa ni nyingi maana hizo usd nilizotaja hapo sio kitoto.

Ombi langu kwenu kama kuna mtu anajua machimbo ya kupata papers nikishafika nishaurini ila nimeamua kujilipua April.
Msichoke kutushauri vijana wapo wanafutilia documents ila ni vizuri ndugu zangu muweke updates hapa tuwape moyo kina lusungo na izzo wanayofanya ni zaidi ya tuliyotarajia kuyapata.
Unatumia njia gani ndugu?? a) masomo b) ndoa c) nyingine ..........taja!! asante kwa update ol the best road to sweden....april.!!
 
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
Mkuu naamin wengi wangependa kuhost lakini hofu inakuja kutokana na mazingira yetu ambayo wengi wetu tunaishi uswazi au sehemu yenye watu wa kipato cha kati sasa unajiuliza mzungu na mazingira haya, mm ni mkazi wa Moro na ningependa uniweke kwenye list ya waliotsyari kuhost
 
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
Mkuu hii option ya pili kama nilovyochangia hapo kwanza naona ni bora zaidi kwakuanzia kupata exposure kwa watu kama sisi tunaoanza Mimi nipo tayari kuwa host mkuu naimani utaniweka kwenye list yako nipate mgen mmoja.
 
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
Mkuu Niko tayari kabisa hata kesho tutawasiliana vipi au hapa hapa kwenye jukwaa letu pendwa
 
Mkuu ni kweli... Uhamiaji hawatoi passport bila reason.... Nafikiri tungebadili huu utaratibu tuwe kama wenzetu ambao passport kwao ni haki ya msingi na unaweza miliki tu.
Ninachojua Tanzania kila mtu anapaswa kuwa na passport! bado haijulikani ni muongozo toka wapi walionao watumishi wa uhamiaji wanaotaka mpaka uwe na sababu ya kumiliki passport ya nchi yako. Tabia hii ndiyo inayofanya watu wengi kuhusisha idara hii na rushwa maana mambo hayawekwi wazi kila mtu akajua.
 
Ndugu wana JF
Kwa muda mrefu kumekuwa na masuala mbalimbali yahusuyo kujilipua (kwenda nje ya nchi) ambayo watu wanauliza mmoja mmoja kwa lemgo la kutaka msaada na ushauri namna ya kufika na jinsi ya kuanza maisha huko nje.

Kutokana na kutoa msaada kwa wengi (binafsi) kwa kutumia njia binafsi nimeona nifungue uzi huu ili kuweka mambo yote wazi kwa kadiri itakavyowezekana na kualika wengine pia waweze kutoka maoni yao.

Ndugu zangu nchi yetu ya Tanzania ki uwezo bado ni changa, fursa za kutoka ni chache na hata changamoto ni nyingi. Huko kwa wenzetu fursa ni nyingi ndio maana imekuwa chanzo cha kuvuta wahamiaji wengi sana toka mataifa masikini.

Nchi masikini wenzetu huko mbele raia wao wamejaa haswa kutokana na moyo wa kusaidiana na kuvutana.

Nimeamua nilete hoja hii kama ambavyo wenzetu hufanya huko Nairaland ya Nigeria ili kila mtu mwenye ujuzi au ufahamu juu ya namna ya kutoka (kujilipua) atoe msaada kwa wengine kwenda huko... si lazima wewe binafsi usaidie mtu binafsi NO, hata mbinu tu za jinsi ya kufika huko.

Kabla sijaingia kwenye kiini cha mada naomba nitoe faida na changamoto za kujilipua.

FAIDA
1. Fursa nzuri za kiuchumi na kujiinua hasa ukiwa na malengo.. Wakuu binafsi nimeishi Marekani kwa miaka nane. moja ya faida nilizopata huko ni kujiinua kiuchumi.... binafsi wakati naenda kusoma huko nilijiwekea malengo ya kujenga ghorofa nyumbani, kufungua mashine za kusaga na kukoboa nafaka pamoja na kumiliki fuso za mizigo...

kipato cha mfanyakazi wa kule ni kikubwa mno kushinda hata cha baadhi ya maboss wetu hapa... hivyo nilijitahidi nilipokuwa kule malengo yangu yaimie... ni kweli baada ya muda huo nilifanikiwa kutimiza yote.

2. Huduma nzuri za afya, Elimu, Sheria, miundombinu.

CHANGAMOTO
1. changamoto kubwa kwa kuwa kule ni upweke (ku feel home mara kwa mara japo wakati mwingine ukizoea hutoweka)

2. Xenophobia hii ni kwa baadhi ya nchi tu sio zote.

USHAURI WA WAPI UENDE NA NAMNA GANI UENDE
Kwa wale wahitaji wa masuala ya maisha kujijenga na kuchuma nashauri nchi hizi, USA, UK, NORDIC COUNTRIES, NA WESTERN EUROPE COUNTRIES. kwa Afrika nashauri SA.

Jinsi gani utaenda namna ni nyingi.... naorodhesha baadhi hapo chini...
1. kwenda kimasomo ambapo unaweza tafuta sponsors then ukapata scolarship itayokuwezesha kupata visa na kujilipua huko baada ya masomo...

2. Kutafuta mwenzi wa nje ambaye atakualika huko kisha mtaoana na kukuwezesha kupata resident permit na baadae uraia.

3. Kuhamisha mataji na biashara njia hii unakubaliwa popote alimradi uwe na biashara halali,

4. kwenda kwa shughuli za utamaduni

Wenzetu wakenya na wanigeria wameunda mfumo wa kualikana wao kwa wao, kwamba mtu anakutumia barua ya mwaliko, then unakwenda ukifika huko anakutafutia mtu mnaoana kisheria tu ili upate karatasi kisha kila mtu anasika hamsini zake....

Wapendwa mambo ni mengi siwezi andika yote ndio maana nimeanziasha uzi huu tutaendelea kujuzana kwa kairi michango ya watu itakavyokuwa na maswali yatayojitokeza.

Nawakaribisha nyote. Na wote wenye maujuazi au mauzoefu ya huko mbele... karibuni tusaidiane tujenge taifa letu... Tuwasaidie vijana wakasake fursa.

Mkuu naomba unisaidie kuelewa "working permit ya USA" unaichukulie huku kwetu au mpaka ufike Marekani kwanza na unaweza kuipata kwa Tzs au USA dollar ngapi
 
Kuhusu Australia aka OZ ni bonge la chimbo kwa watu ambao wameshawahi fika au wako wanafahamu nisemacho,kiukweli sio wabongo wengi wanapazungumzia hata humu kwenye jukwaa sijaona mijadala ya kuhusu kufanya plan za OZ.

Kiufupi ni kuwa OZ ni moja ya nchi za ulimwengu wa kwanza ambapo wazungu wako 90% yawakaazi wote na wana uchumi mzuri. Kiufupi ukifanikiwa kupata PR na citizenship ya hii nchi bwana unakua umeshawin life sio mchezo.... am talking with experience.

Njia rahisi ya kuweza kupenya OZ ni kwa kupitia student visa (visa 572, 573 etc), tatizo linakuja how to rise $25,000 ili utumie kama mtaji wa kupenya. Wanachotaka wao ni rahisi tu utoe one semester ada kama $9,000 (zinachajiwa kwa module yaani kila somo lina bei yake na foreigner lazima usome module 4 kwa semester). Pia uwe na kama 18,100 kwenye A.C yako kuprove unaweza kuishi mwaka mzima bila kufanya kazi (hapa unaweza hata kuazima kwa mtu akaweka kwa ac yako alafu baada ya kupata mapepa unazirudisha) ndio hata majiran wetu huko Kenya ndio wanafanya. Cha mwisho ni bank statement ya mtu wa karibu (next of kin) ya miezi 3 ambayo inaweza kua na flow of income ya 30m-50m basi.

Kazi zinazolipa kwa sasaivi ni kazi za hospitality (nurses, carers,etc) kuna dada analipwa $56/hr na weekend kuna malipo ya penalties yaani kama unalipwa $20/hr siku za kawaida then jumamosi unalipwa (50% more) $30/hr na jumapili unalipwa (100%) $40/hr
Ukiweza tu we ingia Acacia | Immigration Australia uanze process za kujiripua,

Pia ingia hapo hapo utatakiwa kulipia $135 ili kupata consultation ya nusu saa (inalipa kwani unaambiwa option zote kwa ufasaha kabisa kabisa na unapewa na nafasi ya kuuliza maswali utakavyo) na baada ya maongezi utaprintiwa ile convo yote
Nakubaliana na wewe 100% kwa upande wa afya Australia ni sehemu nzuri sana sema inahitaji uwe na mtaji kama ulivyosema kuna jamaa anaitwa Ivindo mwaka jana alianzisha uzi naamini alifanikisha safari yake kwa kupitia Acacia | Immigration Australia yeye alidai anaenda kusoma nursing then afanye mchakato apate RP mpaka sasa sina mawasiliano nae anayemfahamu huyu bwana atujuze.
Uzi wake ulikuwa
Nataka kwenda Australia kutafuta maisha pitia hapo pia utajifunza kitu.
 
Back
Top Bottom