dangadunguri
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,276
- 1,309
Msifanye haraka wakuu, maisha magumu wengi wanakuwa na mihangaiko ya muda mrefu sana. Izzo na lusungo msije mkaharibu hii mada mliyoiotesha kwa jasho na damuBasi tumpe dogo mkuu.... Yeye anasoma bado na ni Yatima mi ndo namfadhili.
Mkuu story zako zina furahisha sana hapa jamvini je kupa visa ya kwenda huko ulaya ulifanyiwa mchongo na wadau wanaoishi huko au ulikwenda kimasomo na kufanya kazi kwenye hizo bustani mpaka uwena elimu ya kilimo au mtu yeyote anaeza kufanya hiyo kazi asante.Ahahaaaaa,hela ya "muzungu" ni nouma mkuu.
Nitakuwa mpumbavu kama nitafanya hvyo bt kumuulizia mtu si kitu kibaya mm mambo ya PM nilishakataa so namuulizia hapa jukwaaniMsifanye haraka wakuu, maisha magumu wengi wanakuwa na mihangaiko ya muda mrefu sana. Izzo na lusungo msije mkaharibu hii mada mliyoiotesha kwa jasho na damu
hii kitu ni kweli hata rafiki zangu wananipa ukweli halisi....
"Botswana is just fine, we r very friendly. U will b safe here. If u want to enjoy Botswana don't go against the law.
I want to buy some fabrics there (Tanzania)"[/QUO. Mkuu maisha ya Botswana yakoje kwa mtu non educated? Labour job zinaptkana?? na malipo yake kwa cku ni sh.ngapi za kibongo? Au akifika kule na laki tano za kibongo unaweza fanya biashara gani inayolipa??? Naombeni msaada kwa anaejua coz kuna rfk yang anataka kwnda kutafta maisha.
Mkuu yote uliyoongea ni by the book bt nataka kukwambia muhamiaji ana akili zaidi ya askari wa uhamiajiNaona kuna watu bado wanawaza kuchonga barua za mwaliko.
Hayo mambo inawezekana yalikuwepo huko nyuma ila sasa hivi yanatiliwa maanani sana.
Ila kwa ushauri wa maana sana ni kwamba sasa hivi huwezi kwenda nje ya nchi khasa Ulaya au Marekani na Canada kama huna kazi ya uhakika au mfadhili wa uhakika kama wewe ni mwanafunzi.
Hata yule mwalikaji nae anabanwa na mambo mengi na khasa uhakika wa wewe kurudi na wanaweka dhamana kabisa.
Kuhusu Malta wao siku hizi wameweka viza ya makazi ya kudumu kwa wale waotoka nje ya bara la Ulaya lakini lazima uwe na kiasi kisichopungua Euro 200,000.
Hivyo tayari wanaangalia watu wenye uwezo kifedha.
Mkiona watu wanakuwa wazito ufahamu kuwa mambo ni mazito.
Mkuu tafadhali maelezo kidogo namna ulivyoweza kufika huko ukiwa unskilled laborer. Napazimia sana Ocenia.Mkuu visa ya New Zealand sina hakika sana but sidhani kama inasumbua.Maana mie nilienda Australia 2012 mwz sept kwenye kampuni moja ya kilimo cha ndizi na strawberry mji mmoja unaitwa Queenland,so nikawa nimewahi msimu ambao huanza Dec to may.Kisha mwezi June Kuna jamaa zangu wagana wakasema twende New Zealand tukapige kazi huku tukisubiri msimu mwingine,Kule tukaenda kwenye kampuni moja ya kufunga maziwa IPO Wellington,but tamaa ya pesa ikatuharibia maisha.Kuna jamaa mmoja hivi alikua Ni Malaysia akatupa deal la kumtafutia vitoto vya Kobe fulani hivi nimesahau jina,kobe hao walikua wanapatika sehemu1 inaitwa Tongariro kuna national park.Jamaa alitoa offer ya $75ea title na alitaka 4000hds na tulikua 4.Nikasema kwa deal hili nikirudi bongo kwanza naanza na Wema "Sepenga" Kisha namaliza na na Jack Wopper.Wanaume tukapiga kazi kwa siku2 tukapata kama 90 hv.Wakati huo tulikua hatujaingia kwenye hifadhi,tulikua pembezoni,tamaa ilipozidi tukasema why tusiingie hifadhini ili kieleweke mapema?ule tunaingia Tu haikupita Ata dk10 tukaona helkopta kama 6 hivi angani.Muda mfupi tayari tukawa tumedakwa na kupelekwa lokapu,kesho yake mapema tu mahakamani kwa kuingia hifadhini bila kibali,mvua za miezi3 zikatuhusu baada ya hapo ni patriation ya kutoweka na kurudi Australia because tulikua na visa za kule,but kumbe hawa wasengerema walishatoa na taarifa kwenye ile kampuni so na wao hawakua na namna zaidi ya kututimua.Since then sijaenda tena huko.
But life zuri maana unskilled tulikua tunavuta around Aud$18/hr.
Kuna misemo 2 ambayo huwa inanifanya kujihisi niko haiMkuu naandaa mfumo mzuri wa kufanya swala hili kwani project ni mwezi wa 6 namba nilisema nianze kutumiwa mwezi wa 4 bt mpaka sasa nimepata namba kama saba tu bt ktk watu 7 niliopata namba zao watu watatu hawafai kutokana na sababu za usalama wa wageni bt kwenye project ya mwezi wa 6 tutaitaji host kama 20 hv
kavel kavel vp mbona kimya toka juzi maneno 400 bado????? duh
Ila kama unaenda south njia salama ni ya ndege tu... Kata return ticket... Ingia booking.com book room then print booking conformation ibebe ukifika huko unawaonesha tuuu unapita!!
Njia ya boda si nzuri sana
Isanga family
Mkuu Izzo. Sijachangia tangu thread imeanza ila nilikua nafatilia na nimeshafanya mambo kadhaa sababu me issue ya kuondoka hii nnchi nnayo taku mzee wangu alipofariki na familia kusambaratika.. Nina bad feelings na hii nchi hasa ukiangalia mzee kabla ya kufariki alikua mtu wa serikalin but after kufariki walichotufanyia i dont want even to remember.. So now nafanya kazi somwhere na nimewekeza some amount so im very serious na hii thread imeniongezea pa kuanzia... Nmeshaenda migration na nmepewa form ya kuomba passport cas nakumbuka nlipokua mdgo nlikua na passport kama nakumbuka vzur but mzee alipofariki sikuiona tena ila wao sijawaambia.. Nilikufata pm pia kukwambia about kuwa host amd that was my plan na nlijiunga na couchsulfing ile ya kutafuta travellers ila skufanikiwa but sikua serious cas at that time nlikua siko stable but now im not much stable ila i have a quit nice place to live japo nmepanga but is a safe place with gate... Pls dont leave me in this issue ya kuhost... I need only a way to go there.. Nkifkisha 7 million takua ok now kuondoka so kwangu mimi kufkia mwez wa 9 mwaka huu tawwza kuondoka japo ikitokea hata wa 6 kama takua ok taweza but please please usiniache... You have my number in your pm....Nitakuwa mpumbavu kama nitafanya hvyo bt kumuulizia mtu si kitu kibaya mm mambo ya PM nilishakataa so namuulizia hapa jukwaani
Pia unatakiwa kujua muda ni rasilimali muhimu sana je unajuaje kama siku niliyomwambia bado wiki au situ 3 wafunge maombi ya kuomba ufadhili ?
Mkuu tuombe Mungu tu lakini kwa hii pln itawatoa wengi sana kila mwaka 20 - 30 wageniMkuu l
Mkuu Izzo. Sijachangia tangu thread imeanza ila nilikua nafatilia na nimeshafanya mambo kadhaa sababu me issue ya kuondoka hii nnchi nnayo taku mzee wangu alipofariki na familia kusambaratika.. Nina bad feelings na hii nchi hasa ukiangalia mzee kabla ya kufariki alikua mtu wa serikalin but after kufariki walichotufanyia i dont want even to remember.. So now nafanya kazi somwhere na nimewekeza some amount so im very serious na hii thread imeniongezea pa kuanzia... Nmeshaenda migration na nmepewa form ya kuomba passport cas nakumbuka nlipokua mdgo nlikua na passport kama nakumbuka vzur but mzee alipofariki sikuiona tena ila wao sijawaambia.. Nilikufata pm pia kukwambia about kuwa host amd that was my plan na nlijiunga na couchsulfing ile ya kutafuta travellers ila skufanikiwa but sikua serious cas at that time nlikua siko stable but now im not much stable ila i have a quit nice place to live japo nmepanga but is a safe place with gate... Pls dont leave me in this issue ya kuhost... I need only a way to go there.. Nkifkisha 7 million takua ok now kuondoka so kwangu mimi kufkia mwez wa 9 mwaka huu tawwza kuondoka japo ikitokea hata wa 6 kama takua ok taweza but please please usiniache... You have my number in your pm....
Guys tuwe serious sijui wengne wanawaza nn lakin lazma tuwe na effort haya ni mawazo tumepew ila inabdi utafte pesa mwenyew hata kidgo kidgo fanya kazi yyte kwa bidii ilimrad upate nauli na hela ya matumiz ukifka huko... Then ukifka tafta kazi harak hata ongea ma watu w huko wakusaidie waambie matatizo yako ikiwezekana waongopee ilimladi wakusaidie uweze kupata working permit au ulaia... Naamin kama una nia y kwenda utaenda no matter what... Mkuu izzo thanx a lot
Kuna mtu yupo Canada ndiye aliniunganishia deal,ilikua niende CA kwenye co la uvuvi but ikatokea hiyo ya kilimo nikaidaka.By the way sikwenda kama professional,nilikwenda kama unskilled woker.Mkuu story zako zina furahisha sana hapa jamvini je kupa visa ya kwenda huko ulaya ulifanyiwa mchongo na wadau wanaoishi huko au ulikwenda kimasomo na kufanya kazi kwenye hizo bustani mpaka uwena elimu ya kilimo au mtu yeyote anaeza kufanya hiyo kazi asante.
Kuna mtu aliniunganishia deal mkuu.Mkuu tafadhali maelezo kidogo namna ulivyoweza kufika huko ukiwa unskilled laborer. Napazimia sana Ocenia.
Ukimaliza tuma kwa huyu sammycheong2@gmail.com then atakufahamisha na kukutumia mawasiliano ya hao watu na form ujaze okMkuu izzo, tayari nimekamilisha usiku huu. I faced challenge ya kupata compyuta ya kuandikia. Tayari nimeshaandika.
-Kaveli-
ππππππππππ mkuu mate yamenitoka!Yes but Scandinavian countries maisha hapo juu hasa kwenye misosi ingawa apt Hazina tabu.Kikombe cha chai ya maziwa around β¬2 while new Zealand Ni kama 0.75.
But chai Yao inakiwango cha kimataifa.unakunywa chai na mkate unajisikia kama upo peponi.Kwakweli mpaka leo sijajua viungo wanavyotumia mpaka chai iwe tamu vile alohhh