ha ha haah hatari sana mkuu Richard..,ngoja tujipange kwa kweli tutimke..,vp kwa expert kupractise maana nasikia kwa mfano nchi nyingi za ulaya kuna mlolongo wa procedures hadi upate kibali,hili limekaaje kwa Nordic countries..,binafsi mm ni daktari wa binadamu..Mkuu, hiyo ni Ulaya siyo hapa kwetu nnapoishi Kwamtogole.
Wazungu wana uwezo wakakukufuatilia kwa miaka, wakiandaa ushahidi.