Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Sasa brother hapo kwenye kuingia Malta hapo, maana nimetafuta kila possible way napaona kugumu. Mpaka najihisi sina swali kwakweli.
Ok kwani ugumu huko wapi? kuna aina 18 za visa kuingia Malta mpaka kuna visa ya uchumba kuingia Malta so cjaelewa tatizo lako ni nini?

Pia unajua Watu wanaweza kudharau nchi ya Malta mm nimechagulia malta coz naijua vizuri pia Passport ya Malta ni ya 9 duniani kwa Passport zenye nguvu unaingia nchi 168 bila ya visa ukiwa na PS ya Malta ww nambie tatizo ni nini tatzo Visa, Host, au nini?
 
Mkuu US ilikataa free visa kwa baadhi ya nchi tu za EU ikiwemo Romania na Poland.... Sababu kuu ni hali ya uchumi kwa nchi hizo....
Mkuu una taarifa za hv karibuni ktk utawala huu ya Trump? juu ya Free visa kwa EU
 
Ok kwani ugumu huko wapi? kuna aina 18 za visa kuingia Malta mpaka kuna visa ya uchumba kuingia Malta so cjaelewa tatizo lako ni nini?

Pia unajua Watu wanaweza kudharau nchi ya Malta mm nimechagulia malta coz naijua vizuri pia Passport ya Malta ni ya 9 duniani kwa Passport zenye nguvu unaingia nchi 168 bila ya visa ukiwa na PS ya Malta ww nambie tatizo ni nini tatzo Visa, Host, au nini?
Visa na Host bro.
 
Ok kwani ugumu huko wapi? kuna aina 18 za visa kuingia Malta mpaka kuna visa ya uchumba kuingia Malta so cjaelewa tatizo lako ni nini?

Pia unajua Watu wanaweza kudharau nchi ya Malta mm nimechagulia malta coz naijua vizuri pia Passport ya Malta ni ya 9 duniani kwa Passport zenye nguvu unaingia nchi 168 bila ya visa ukiwa na PS ya Malta ww nambie tatizo ni nini tatzo Visa, Host, au nini?
Sipadharau kabisa bro, yaani issue ni kupata huo mchongo Wa visa ya uchumba na host.
 
Hahaha bro, naamini taweza na likiwa gumu tajitahidi kuweza
Nyinyi Watanganyika ni wajanja janja sana mtu anaweza kukutafutia mchumba fresh then ww baada ya kufika huko unaanza mizinguo ya kujifanya sehemu zako za chini zinafanya kazi kwa kiwango cha 4G so ukasababisha lawama tena ukizingatia wengine tunaheshimika na kuheshimiana na watu na pia tunajiheshimu ndio maana mm narudi nyuma sana kuwasaidia hko coz wengi mnazingua sana na kumbuka Mzungu akisema I LOVE U kasema kweli tofauti na weusi anasema i love u kumbe ajakupenda ww kuna kitu amekipenda kutoka kwako

lusungo
 
Nyinyi Watanganyika ni wajanja janja sana mtu anaweza kukutafutia mchumba fresh then ww baada ya kufika huko unaanza mizinguo ya kujifanya sehemu zako za chini zinafanya kazi kwa kiwango cha 4G so ukasababisha lawama tena ukizingatia wengine tunaheshimika na kuheshimiana na watu na pia tunajiheshimu ndio maana mm narudi nyuma sana kuwasaidia hko coz wengi mnazingua sana na kumbuka Mzungu akisema I LOVE U kasema kweli tofauti na weusi anasema i love u kumbe ajakupenda ww kuna kitu amekipenda kutoka kwako

lusungo
Bro tunapokosea watanganyika ni kutumia kosa la wachache kuhukumu wengi. Kifupi watanganyika mizinguo sometimes, nimewakaribisha sana Uganda wakishajua mitaa wanakua maadui. Ila leo nami nalilia kukaribishwa mkuu, Fanya uwezalo tupate njia ndugu zako. Km ni manzi niunganishe brother
 
Pesa ya visa si kubwa kihivyo.... Mfano kwa schengen visa last year ilikua euro 60 tuu.... Na kwa nchi za SADC ni visa free mfano south!!

Nina swali hapo,ni visa free kama SA kwa siku 90,je baada ya hapo ukitaka kuongeza unafanyaje?
 
Ok kwani ugumu huko wapi? kuna aina 18 za visa kuingia Malta mpaka kuna visa ya uchumba kuingia Malta so cjaelewa tatizo lako ni nini?

Pia unajua Watu wanaweza kudharau nchi ya Malta mm nimechagulia malta coz naijua vizuri pia Passport ya Malta ni ya 9 duniani kwa Passport zenye nguvu unaingia nchi 168 bila ya visa ukiwa na PS ya Malta ww nambie tatizo ni nini tatzo Visa, Host, au nini?
Mkuu mm nataka host japo na taman nisome ila nikipata host atlest nijajifunza mambo mengi pamoja na kupata papers ili nisonge mbele. Afu pia passport ninayo na last time 2014 nilienda Sweden nikaa kama 3 weeks kwa kiasi najua mazingira ya kule ndio maana nataka nirudi kule.
 
Nina swali hapo,ni visa free kama SA kwa siku 90,je baada ya hapo ukitaka kuongeza unafanyaje?
Na ikiwa visa free unaingia tu km tunavyoingia Uganda na Kenya? Na ukifika huko unajiripua vipi
 
eaca6369c782a7403f7580ca537e4df7.jpg
long sana naiwazaga Malta
 
Denmark ni nchi ya scandinavia... Ni nchi yenye maisha ya raha na amani sana japo ni nchi ndogo... Njia rahisi kwenda huko unaweza kwenda as tourist then ukifika huko unapambana upate wa kumwoa hata kwa makaratasi tu ili upate kibali cha ukaazi.

NGELI yenyewe haipandi!!ntamwoa mdenmark kweli?haya yatakuwa mapenz ya mpenz bubu!
 
Nchi ipi ya kwenda ipi si ya kwenda

Tofauti ya fikra za watu kuwa Ulaya ni Ulaya, kuna nchi za Ulaya ambazo hazifai kwenda kama unatafuta maisha. Jiepushe na nchi za Ulaya mashariki kama Czech, Estonia, Hungary, Latvia, Lithuania, Poland, Slovakia, Slovenia, Bulgaria, Croatia, Romania, Ukraine na Urusi. Nchi hizi hamna kazi na mishahara yake ni midogo mno ambayo haitaweza kukusaidia kwa lolote. Watu wengi wa nchi hizi huwa wanakimbilia nchi za Ulaya magharibi. Pia ubaguzi umekithiri sana Ulaya mashariki.

Nchi nyingine za kujiepusha nazo ni nchi ambazo zilikuwa na uchumi mkubwa lakini zimeanguka kiuchumi. Nchi hizi ni Ugiriki, Italia, Ureno na Hispania. Waafrika wengi katika nchi hizi ni wauza unga au wamachinga. Raia wa nchi hizo pia wanakimbilia nchi nyingine za Ulaya.

Pia, ukienda nchi wasiyotumia Kiingereza jiepushe na kuishi miji midogo. Kwa wale wanaotaka kuja nchi za Nordic (Sweden, Denmark, Finland, Norway na Iceland) mjiepushe na kwenda kuishi miji midogo mbali na miji mikuu. Ukiishi mji mkubwa angalau unaweza ukasukuma maisha kwa Kiingereza na kazi pia zipo. Ukienda vijijini huko hamna kazi na kuishi bila kuongea lugha ya hapo ni ngumu. Vijijini pia ubaguzi upo kwa kiwango cha juu ukilinganisha na mijini.
Mkuu hongera kwa nondo, hebu nipe fununu za Netherlands hali ikoje?
 
Back
Top Bottom