Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Sasa mkuu tuombe tu Mungu amfanyie wepesi mwenzetu Izzo....halafu ingekuwa vema spate listi ya ambao wako tayari ili kwake na sisi kuweza kujipanga maana naimani hao wageni kuna vitu vya msingi sana wataviconsider kama vile
1: bedroom type
2:number of people in a house
3: neighborhood
4: transport za kuelekea town kama ni nje ya mji kidogo
5: cultural aspects
6: chakula if shared or not
7:sehemu za kutembelea maana hawaji kukaa ndani tyu
8: toiletries na bathroom so unajua mkuu aina za vyoo vyetu tunashare tyu mpaka na wapangaji



Mkuu Tumwombee wepesi Bwana izzo kwa ambao tumeamua kwanza na hii option ya pili jlya hosting
Upo sawa mkuu ila swala la makazi si la kuumiza kichwa sana kama unalengo unaweza kumtafutia hoteli nzuri ya kati au ukalipia chumba kwa muda ambachoa atakitumia mgeni wako mtakapokuwa naye.
Pia swala la chakula mgeni hachagui na hata akichagua pia nae anachangia kiasi kidogo cha pesa hivyo hilo lisikupe taabu.
 
Upo sawa mkuu ila swala la makazi si la kuumiza kichwa sana kama unalengo unaweza kumtafutia hoteli nzuri ya kati au ukalipia chumba kwa muda ambachoa atakitumia mgeni wako mtakapokuwa naye.
Pia swala la chakula mgeni hachagui na hata akichagua pia nae anachangia kiasi kidogo cha pesa hivyo hilo lisikupe taabu.
Mkuu hapo nafikiri ni vyema sana tumsikilizie Mkuu Izzo kwanza akija hapa
 
Australia ni tofauti sana, km unasoma kwa miez18 au zaid ukimaliza unapewa 18months to find a job na visa inakua (bridging visa) so unapata muda wa kusaka job. Most paying jobs ni hospitality mpk $56/hr
Shida naona kupata scholarship za Australia ni kizigo sana. Wana complication unaweza kuugua makengeza ghafla
 
Siku zote mm napenda sana kama mna kitu mnafanya bhasi matokeo yaonekane japo kidogo tatizo Watanganyika mnapenda story story sana hilo ndio tatizo kubwa sana kwa Dunia ya leo hatuwezi kujaza saver za JF kwa story story tu mpaka leo hakuna hata mrejesho hata wa aliyekwenda ubalozi wa Italy japo kuuliza tu michakato ya visa tu nothing host ni wawili tu walionyesha nia so unadhani tunafanya nini hapa sasa ?????
Kamanda shaka ondoa kabisa. Wengi humu hawana hata passport, si rahisi waendr ubalozi kuulizia process zikoje. Nina hakika watu wanafuatia na wameshaanza kuchukua hatua za awali kuandaa mipango.

Zoezi hili tutegemee matunda mazuri baada ya mwaka au miaka miwili kwani wengi haeakuwa wamejiandaa vizuri, walikuwa na idea ila hawajui lakufanya. Usichoke kamanda.
 
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
Kuhusu host mkuu tunaitaji kuwa host lakini ao wazungu watakaa uswahilini nyumba ipo je kuna vigezo nyumba iweje???
 
Dr. Mwalimu yeyote ni njia mbili ndio zinamfanya ajue kuwa kile anachofundisha kinafanyiwa kazi au kinazingatiwa na wale anaowafundisha

1 Wanaofundishwa huwa wanauliza maswali au kusema pale wanaposhindwa kuomba msaada ili waweze kuendelea mbele
hakuna aliyeuliza swali nikashindwa kumjibu

2 Ni Matokeo ya mitihani au kazi wanazopewa kuhusu kile walichofundishwa

Toka tumeanza na Mission ya kwanza changamoto kubwa ikaonekana Malta hakuna ubalozi Tanganyika nikawaletea njia ya kupata visa hata ukiwa Tanganyika yote ni kutatua tatizo liliojitokeza la ubalozi na visa
mpaka leo hakuna mtu aliyeleta mrejesho kuwa hata alikwenda ubalozi wa Italy kuuliza tu na majibu aliyopewa

Mission ya pili mpaka mwezi wa 6 ndio wageni wanakuja huko na wanaanza 5 wapo waliojitokeza kutaka kuwahost lakini waliojitokeza ni watu ambao wanataka kuwahost lakini waliojitokeza kuhost mmoja mmoja nadhani ni wawili tu ndo wamejitokeza sasa unajiuliza mgeni yeye anatoa fedha dola $100 kila siku sawa na laki mbili na kitu just for food en bed tena analala kwako ww kazi yako ni kumtembeza pale anapotaka tena kwa gharama zake lakini mwitikio ni mdogo ni watu wawili tu ndio wameonesha nia ya kuhost je siku ikitokea wakaja wageni zaid ya 10 host wanapatikana wapi?????
Na hii project nilileta kwenu kwa kuwasaidia nyinyi si kwa ajili ya biashara kama ingekuwa biashara yapo makampuni mengi ya kitalii au watu wanafanya kazi hizo

Hatuwezi kujaza saver hapa kwa maproject yasiyo fanyiwa kazi zaid ya story stroy tu hapa kufanya hvyo ni matumizi mabovu ya akili kitu ambacho sipo tayali kutumia akili yangu vibaya na inakuwa hakuna maana ya kupiga story tu hii ni kazi niliwai kusema kumekuwa na tatizo la kutransform Draft to Reality
Mkuu izzo kweli upo serious yaan transformation ndio shidah
 
Ndio maana nasema nitakuwa sitendi haki kwa akili yangu kuweka maproject hapa ambayo hayafanyiwi kazi no siwezi hata kidogo kufanya hvyo
Mkuu vuta subra hili swala wapo wanaohangaika kulifanyia kazi. Wengine hawapo dar ningumu fastafasta kuruka dsm kufuatilia mambo haya. Ina watu wanachukua hatua na jitihada zenu hazitapotea bure
 
Sana ni mziki mnene ila ukipata nafasi hiyo uhakika wa kusonga mbele kimaisha ni mkubwa.
Wenye fedha kama US$50,000 benki na wamesoma chuo UDSM au nje, (business management, finance, MBA, chini ya miaka 40, njia ya kupata PR visa ya Australia au Kanada ipo hapo hapo Bongo.

Pia, uwe na uzoefu wa fani yako sio chini ya miaka mitano.

Hio ni fedha unayohitaji kuanza maisha na familia ya watu wanne kihalali na bila msaada wa serikali yao.

Ukiwa peke yako, ni $30,000.
 
Wenye fedha kama US$50,000 benki na wamesoma chuo UDSM au nje, (business management, finance, MBA, chini ya miaka 40, njia ya kupata PR visa ya Australia au Kanada ipo hapo hapo Bongo.

Pia, uwe na uzoefu wa fani yako sio chini ya miaka mitano.

Hio ni fedha unayohitaji kuanza maisha na familia ya watu wanne kihalali na bila msaada wa serikali yao.

Ukiwa peke yako, ni $30,000.
Hapo parefuuu...
Wenye nazo njia rahisi hii hapa
 
Mkuu izzo na waasisi wa thread hii msivunjike moyo harakati zinaendelea kwa sisi potential migrants.
Binafsi mimi nilianzaga hizi harakati nyuma kidogo lakini nilikwama kwa changamoto kidogo na inaniuma mpaka leo ni hivi niliomba scholarship Belgium ya Msc, vyote nilikamilisha ilibaki kutuma hardcopy ya application yangu nikachelewa ikawa ndo imenipita.

Baada ya kuona bandiko hili ile hali kutaka ku migrate imezidi kuongezeka tunaomba ninyi wazoefu msichoke kutupa mpango mkakati lengo kuu wote tunaoamini kupitia hii ndoto ya kuondoka tutoboe.
 
Back
Top Bottom