Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

MAXCENCE MELLO/INVISIBLE

NGOJA NIKURAHISISHIE KAZI KUHUSU JUKWAA LA DIASPORA (WENGINE MNAWEZA KUMTUMIA PM NA HII POST ILI ATUWEKEE SUBFORUM YETU)


Ndani yake kutakuwa na subforums 3 hivi

1. LIVING/MOVING ABROAD (sasa hiumu ndio kila mtu ataangalia wapi anaishi au anataka kwenda kujilipua etc then ataanzisha thread yake) at later stage tutakuwa na sticky ili maswali yasijirudie rudie

AUSTRALIA & NEW ZELAND

CANADA

EUROPE

FAR EAST & ASIA

MIDDLE EAST

USA

LATIN AMERICA

2. WORKING ABROAD
Hii itakuwa ni self explanatory na kutakuwa na sticky threads mbali mbali za profession hivyo hakutokuwa na haja ya kuchanganya maswali ya kazi sticky zitakuwepo za kazi za Accountants, Electricians, Information Technology, Nurses, Doctors, and other Medical/Healthcare occupations, Plumbers, Police, Teaching, Trucking Electrician

Pia kutakuwa na threads za Job offers

na thread maalum kwa watafutaji kazi yaani jobs wanted

3. THE LOUNGE GENERAL DISCUSSIONS
Hapa kutakuwa na threads za kinachoendelea ulipo kuanzia issue za kuoa ili kupata makaratasi, kesi za kuacha mke, kuficha pesa,meet up, connections za wana diaspora na bila kusahau kutakuwa na special thread ya KURUDI NYUMBANI NA CHALLENGES, diaspora wanauza bidhaa zao, nk
 
Mm naongeza mkuu kidogo kuwaonya ndugu zangu. Showoff zakupiga mapicha nankuyasabaza facebook na insta muangalie sana. Sio kila dakika umekunja uso na katoto ka watu unashindana na hamorapa kutwaa ynamuanuka mwanangwa insta.

Umbea wakibongo muuache msianzr kutembrza mabango mwanangu sholi nimehost mwakani nasanzuka, unaweza ukala zongo lakisambaa mkavimbiwa wewe na mtoto wa watu.

Ulimbukeni sio fresh. BTW wabongo hatupendani so chunga sana


Hahaha mkuu umenichekesha sana hapo kwenye "kupigwa zongo lakisambaa, host na mgeni wake wote wakavimbiwa". LOL.

Upo sahihi sana mkuu. Wabongo nuksi sana, host waepuke kabsa show off za kijinga.

-Kaveli-
 
Ndugu zangu Watanganyika nimekuwa kimya kwa sababu nakamilisha baadhi ya mambo kuhusu project yetu changamoto inayonikuta ni kuweza kuwashawishi juu ya usalama wa wageni wkati mm sipo eneo la tukio yani wanakaa miezi 3 Africa then mm sipo eneo la tukio kumbuka wanaokuja ni kati ya miaka 18 - 25 so ni bado watoto au vijana pili inatakiwa nijiCommit mm kuwa Responsible kwa lolote

Kumekuwa na watu wanazungumzia vigezo mm ninavyojua ni

1 Kuwa eneo salama (Kiafya na Kiusalama)
2 Kujua lugha ya mawasiliano ambayo ni kingereza
3 kuanzia vyumba viwili yani chumba na sebure
4 Kama unafamilia basi wasizidi watu 5 ikiwamo na ww
5 Choo kizuri na kisafi
6Kuwepo na mtu wa kushinda na kumtembeza mgeni sehemu mbalimbali


Vigezo ni hvyo vya kuanzia vinaweza kubadilika kutokana na mahitaji coz Wageni wanaokuja ni kutoka familia za middle class so unaweza kujiuliza middle class za ulaya ni kipato aina gani kwa mwezi au mwaka wengi ni wanafunzi wa vyuo na wafanyakazi lakini project hii tunaanza na wageni vijana umri miaka 18-25 na wanatoka Malta , Canada na USA next round itakuwa Denmark ,Norway na Sweden

Changamoto inayonikabili ni hyo niliyoeleza hapo juu

Kuhusu namba za simu nimezipata kwa wale waliotuma na zinafanyiwa kazi hili kujiridhisha

Sasa niwaulize nyinyi Project hii ilikuwa ni kwa ajili ya watu walio Single kwa ajili ya kutengeneza mahusiano kumbuka wazungu ukishamwambia umeoa au unamahusiano tu bhasi hato kuwa karibu na ww kwani wanaheshimu sana ndoa za watu
na mahusiano ya watu

So kwa wale wenye mahusiano itabidi wachukue jinsia yao kwa maana kama ni mwanaume utachukua mwanaume mwenzio kama ni mwanamke chukua mwanamke mwenzio

Note ;Si lazima muwe na mahusiano ya kimapenzi hata mahusiano ya kirafiki yanatosha sana kwa kuanzia

Pia watanganyika ni mabingwa wa kuwa wabishi pale unapotongoza na kukataliwa mna mtindo wa kulazimisha naomba huduma hyo isiwepo hata kidogo kama kakupenda atakwambia mwenyewe aina ulazima wa kulazimisha kitu

update.....
Kuna group la Whats app na Telegram la Kazi na kupeana michongo ya kazi ,vyuo na mambo yote kuhusu kusafiri na kwenda kusoma au kufanya kazi kwa Ulaya , America na Ocenia ni group la watu wa huku huku nje na linawanachama zaid ya 1000 kutoka nchi nilizozitaja so nitaomba ruhusa ya Admn kama wanaweza kuadd watu kutoka Africa kama akinikubalia nitaweka namba hapa then mtajoin




kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Umeeleweka vizuri sana Kaka Izzo. Binafsi ninaweza sema shukrani kwa yote. Pamoja inawezekana, kwangu yote yanawezekana.
 
Umeeleweka vizuri sana Kaka Izzo. Binafsi ninaweza sema shukrani kwa yote. Pamoja inawezekana, kwangu yote yanawezekana.
MTUMIENI MAXCENCE MELLO/INVISIBLE HUU UJUMBE HATA KWA PM ILI TUPATE JUKWAA A LA DIASPORA NA KULE.KWENYE MAONI NA USHAURI PIA.

NGOJA NIKURAHISISHIE KAZI KUHUSU JUKWAA LA DIASPORA (WENGINE MNAWEZA KUMTUMIA PM NA HII POST ILI ATUWEKEE SUBFORUM YETU)


Ndani yake kutakuwa na subforums 3 hivi

1. LIVING/MOVING ABROAD (sasa hiumu ndio kila mtu ataangalia wapi anaishi au anataka kwenda kujilipua etc then ataanzisha thread yake) at later stage tutakuwa na sticky ili maswali yasijirudie rudie

AUSTRALIA & NEW ZELAND

CANADA

EUROPE

FAR EAST & ASIA

MIDDLE EAST

USA

LATIN AMERICA

2. WORKING ABROAD
Hii itakuwa ni self explanatory na kutakuwa na sticky threads mbali mbali za profession hivyo hakutokuwa na haja ya kuchanganya maswali ya kazi sticky zitakuwepo za kazi za Accountants, Electricians, Information Technology, Nurses, Doctors, and other Medical/Healthcare occupations, Plumbers, Police, Teaching, Trucking Electrician

Pia kutakuwa na threads za Job offers

na thread maalum kwa watafutaji kazi yaani jobs wanted

3. THE LOUNGE GENERAL DISCUSSIONS
Hapa kutakuwa na threads za kinachoendelea ulipo kuanzia issue za kuoa ili kupata makaratasi, kesi za kuacha mke, kuficha pesa,meet up, connections za wana diaspora na bila kusahau kutakuwa na special thread ya KURUDI NYUMBANI NA CHALLENGES, diaspora wanauza bidhaa zao, nk
 
Kwakweli mkuu Izzo na wenzako Mungu awape baraka na Afya njema na kilalakheri awaonyeshe kwani kwa msaada huu tuu no maisha mnatoa kwa ndugu zetu wenye kiu hiyo ya kuhitaji kufanikiwa katika maisha kwa kubadilisha maisha huko n'gambo kwani hapa ndani namba zote zimesomeka bado za kirumi tuuu
 
Ndugu zangu Watanganyika nimekuwa kimya kwa sababu nakamilisha baadhi ya mambo kuhusu project yetu changamoto inayonikuta ni kuweza kuwashawishi juu ya usalama wa wageni wkati mm sipo eneo la tukio yani wanakaa miezi 3 Africa then mm sipo eneo la tukio kumbuka wanaokuja ni kati ya miaka 18 - 25 so ni bado watoto au vijana pili inatakiwa nijiCommit mm kuwa Responsible kwa lolote

Kumekuwa na watu wanazungumzia vigezo mm ninavyojua ni

1 Kuwa eneo salama (Kiafya na Kiusalama)
2 Kujua lugha ya mawasiliano ambayo ni kingereza
3 kuanzia vyumba viwili yani chumba na sebure
4 Kama unafamilia basi wasizidi watu 5 ikiwamo na ww
5 Choo kizuri na kisafi
6Kuwepo na mtu wa kushinda na kumtembeza mgeni sehemu mbalimbali


Vigezo ni hvyo vya kuanzia vinaweza kubadilika kutokana na mahitaji coz Wageni wanaokuja ni kutoka familia za middle class so unaweza kujiuliza middle class za ulaya ni kipato aina gani kwa mwezi au mwaka wengi ni wanafunzi wa vyuo na wafanyakazi lakini project hii tunaanza na wageni vijana umri miaka 18-25 na wanatoka Malta , Canada na USA next round itakuwa Denmark ,Norway na Sweden

Changamoto inayonikabili ni hyo niliyoeleza hapo juu

Kuhusu namba za simu nimezipata kwa wale waliotuma na zinafanyiwa kazi hili kujiridhisha

Sasa niwaulize nyinyi Project hii ilikuwa ni kwa ajili ya watu walio Single kwa ajili ya kutengeneza mahusiano kumbuka wazungu ukishamwambia umeoa au unamahusiano tu bhasi hato kuwa karibu na ww kwani wanaheshimu sana ndoa za watu
na mahusiano ya watu

So kwa wale wenye mahusiano itabidi wachukue jinsia yao kwa maana kama ni mwanaume utachukua mwanaume mwenzio kama ni mwanamke chukua mwanamke mwenzio

Note ;Si lazima muwe na mahusiano ya kimapenzi hata mahusiano ya kirafiki yanatosha sana kwa kuanzia

Pia watanganyika ni mabingwa wa kuwa wabishi pale unapotongoza na kukataliwa mna mtindo wa kulazimisha naomba huduma hyo isiwepo hata kidogo kama kakupenda atakwambia mwenyewe aina ulazima wa kulazimisha kitu

update.....
Kuna group la Whats app na Telegram la Kazi na kupeana michongo ya kazi ,vyuo na mambo yote kuhusu kusafiri na kwenda kusoma au kufanya kazi kwa Ulaya , America na Ocenia ni group la watu wa huku huku nje na linawanachama zaid ya 1000 kutoka nchi nilizozitaja so nitaomba ruhusa ya Admn kama wanaweza kuadd watu kutoka Africa kama akinikubalia nitaweka namba hapa then mtajoin




kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Sawa mkuu izzo vipi hao wageni wanapenda kufikia mkoa gani hapa bongo?
 
Dah mkuu ni kweli ndugu yangu kwani wengi wanatoka kwenye familia za kistarabu dah kunachangamoto nying sana za kujadili dah natamani kama kungekuwa na platform ambayo tungekuwa kama na semina ya kuelekezana Do en don't


Naunga mkono hoja. Kwa jinsi wabongo tulivyo, it necessitates watakaohost wapewe semina elekezi (on DO's & DONT's) ya shuhuli husika... just a pre-hosting sensitization briefing. Hiyo itasaidia sana watu wasifanye mambo ya ajabu.

-Kaveli-
 
MAXCENCE MELLO/INVISIBLE

NGOJA NIKURAHISISHIE KAZI KUHUSU JUKWAA LA DIASPORA (WENGINE MNAWEZA KUMTUMIA PM NA HII POST ILI ATUWEKEE SUBFORUM YETU)


Ndani yake kutakuwa na subforums 3 hivi

1. LIVING/MOVING ABROAD (sasa hiumu ndio kila mtu ataangalia wapi anaishi au anataka kwenda kujilipua etc then ataanzisha thread yake) at later stage tutakuwa na sticky ili maswali yasijirudie rudie

AUSTRALIA & NEW ZELAND

CANADA

EUROPE

FAR EAST & ASIA

MIDDLE EAST

USA

LATIN AMERICA

2. WORKING ABROAD
Hii itakuwa ni self explanatory na kutakuwa na sticky threads mbali mbali za profession hivyo hakutokuwa na haja ya kuchanganya maswali ya kazi sticky zitakuwepo za kazi za Accountants, Electricians, Information Technology, Nurses, Doctors, and other Medical/Healthcare occupations, Plumbers, Police, Teaching, Trucking Electrician

Pia kutakuwa na threads za Job offers

na thread maalum kwa watafutaji kazi yaani jobs wanted

3. THE LOUNGE GENERAL DISCUSSIONS
Hapa kutakuwa na threads za kinachoendelea ulipo kuanzia issue za kuoa ili kupata makaratasi, kesi za kuacha mke, kuficha pesa,meet up, connections za wana diaspora na bila kusahau kutakuwa na special thread ya KURUDI NYUMBANI NA CHALLENGES, diaspora wanauza bidhaa zao, nk
Ndugu naomba huu ujumbe uwatumie PM tafadhali... Tuache tulio tayari ku share tulicho nacho hapa tuendelee.... Usitutie majaribuni au anzisha uzi wako ili uwasisitize huko....

Wabongo wengi tuna shida sana kichwani tangu tumeanza hujachangia kwa kutoa wazo lolote zaidi ya kuomba hilo jukwaa tena unarudia rudia hizo posts hapa mkuu tuache tafadhali njia za kuwafikia mods ni nyingi si lazima utumie uzi huu.
 
Dah mkuu ni kweli ndugu yangu kwani wengi wanatoka kwenye familia za kistarabu dah kunachangamoto nying sana za kujadili dah natamani kama kungekuwa na platform ambayo tungekuwa kama na semina ya kuelekezana Do en don't
Ni jambo jema! Ila kwa vile namba za hosts umetumiwa unazo mi nashauri ikifika wakat uwaunganishie group l whatsap kwa jina la Tanzanins hosts, kisha humo wajadiliane na kupewa training hii kirahisi na sio hapo tu kwa wale wa mkoa mmoja kwenda mbele zaidi na kukutana na kushare nini kifanyike na kwa njia zipi na hata wakat hosting ikiwa inaendelea i mean wageni wakiwa field wadau wanaweza kuendelea kushare infos nini kinaendelea pande zao ikiwemo videos, picha, changamoto wanazokumbana nazo...working together ni kanuni ya kushinda.
 
Ni jambo jema! Ila kwa vile namba za hosts umetumiwa unazo mi nashauri ikifika wakat uwaunganishie group l whatsap kwa jina la Tanzanins hosts, kisha humo wajadiliane na kupewa training hii kirahisi na sio hapo tu kwa wale wa mkoa mmoja kwenda mbele zaidi na kukutana na kushare nini kifanyike na kwa njia zipi na hata wakat hosting ikiwa inaendelea i mean wageni wakiwa field wadau wanaweza kuendelea kushare infos nini kinaendelea pande zao ikiwemo videos, picha, changamoto wanazokumbana nazo...working together ni kanuni ya kushinda.


I like jinsi ulivyohitimisha mkuu "work together ni kanuni ya kushinda". Yes bro, that rings more true.

Working as a TEAM... (Together Everyone Achieves More).

Mimi naamini kuwa watakaobahatika kuhost watacheza kama Pele coz naona mzuka wa wadau upo on top kuhusu hosting.

Nawaombeeni sana ndugu zangu wale mtaopata hiyo fursa, Mwenyezi Mungu awafungulie milango ya kupasua anga.

-Kaveli-
 
Mkuu izzo kwa wanaohost wageni ni vyema wajiandae kwa baadhi ya changamoto hasa wanapowatembeza wageni.
Mara nyingi kwenye vivutio vyetu vya ndani akienda mgeni na wakajua huyu ni mgeni anapigwa pesa ndefu saana . Nina experience na hili Arusha ukienda na mzungu snake park..pale crater..maasai camp na kanjiro boma za karibu wakiona haupo makini anaweza kupigw pesa ndefu. Hivyo ni vyema mnaohost mkajifunza/dadisi haya mambo ili mpate exposure juu ya haya mambo kabla wageni hawajaja. Maana mgeni atakuambia nipeleke snake park n.k

Nitatolea mfano wa mzungu aliyeuziwa line usd 2000 pale stand arusha isingekuwa host wake pesa ilikuwa inaenda.

Hivyo ndugu mnaohost wageni jipangeni vizuri STUNTER @Dr Adams faida na wengine.
umeongea point kubwa sana, ningependa tuyazingatie
 
Back
Top Bottom