Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Vigezo si vikubwa ukiona sehemu kuna au wanaweka vigezo ving wanataka kuwanyima kazi tu sasa udereva na Nanny kuwe na vigezo utadhani unafanya kazi WB au WH vya muhimu kujua unachokifanya na kuwa na hofu ya Mungu
Asante sana Kaka. Taarifa nzuri sana hii.
 
Jamani kuna kazi ya udereva Auckland, New Zealand. Salary $540-653 a week. lazima ujue sheria za barabarani kwa maana hapa kuna madereva na waendesha magari anayetakiwa ni dereva si mwendesha magari pia uwe na passport kubwa pia anatakiwa mfanyakazi wa ndani (Nanny) ujue English na pia mwenye hofu na Mungu
Mkuu izzo usinisahau na mie hapo
 
hiv mkuu admision umepata bila kulipia admision fee?, hiki ni kikwazo kingine
Nimepata jamaa yangu. Sikila chuo wanataka admission fee, vyuo vingi havina utaratibu huo japo vingine wanao huo utaratibu. Unaweza kutana na admission fee ya pound 100, ukichenchi na madafu inagusa 350, daaaa naishiwa nguvu ghafla.
 
Jamani kuna kazi ya udereva Auckland, New Zealand. Salary $540-653 a week. lazima ujue sheria za barabarani kwa maana hapa kuna madereva na waendesha magari anayetakiwa ni dereva si mwendesha magari pia uwe na passport kubwa pia anatakiwa mfanyakazi wa ndani (Nanny) ujue English na pia mwenye hofu na Mungu
Mkuu Izzo kwa hii taarfa hiyo kazi nyingine ya nanny inataka jinsia gani na jinsi ya kuomba hizo kazi husika.



Cc Lizy na binti kiziwi njooni kuna taarifa muhimu hapa ya kazi new Zealand
 
Vigezo si vikubwa ukiona sehemu kuna au wanaweka vigezo ving wanataka kuwanyima kazi tu sasa udereva na Nanny kuwe na vigezo utadhani unafanya kazi WB au WH vya muhimu kujua unachokifanya na kuwa na hofu ya Mungu
Mkuu izzo stay blessed naulizia viph Kuna uwezekano wa sponsorship za postgraduate
 
[quote uid=292773 name="izzo" post=20030142]ninazo scholarship za Sweden,Canada,Denmark , Australia ,Austria ,Germany , Finland, NZ lakini nying ni Masters na PhD[/QUOTE]<br />Mkuu Izzo Nami pia naomba hii opportunity. Nilishaulizaga post za Mwanzo huko
 
Mkuu unayosema ni 100% Accuracy na wenyewe wanajua waafrica tulivyo na ndo maana wamenipa mtihani mgumu sana wa kuwajibika kwa litakalo tokea yani hapa kichwa kinapata moto tu

Changamoto ni usalama wa watoto wao tu kwani ingekuwa ni taasisi kwamba wote wanafikia kwa mtu mmoja au wanafikia hostel na wanatembezwa pamoja sawa lakni hii ya mtu umekutana nae online tena kwa fake id duh tuombe Mungu tu tufanikiwe kwani nia yetu ni njema mbele ya Mungu
If you set out to be liked, you would be prepared to compromise on anything at any time, and you would achieve nothing.
 
Unajua mkuu watu hatutaki kujihushisha sana na haya mambo kwa undani sana japo tunajua vizuri hatutaki kuja kuambiwa tunataka kuwatapeli ndio maana nimekataa maswala ya PM au mawasaliano sana so nitakacho wasaidia Google maajenti then weka hapo jukwaani mm nitakwambia huyu ni wakweli au huyu famba coz ninawajua wa ukweli na uongo pia wengine tuna heshima zetu kwani ni ngumu kujua mwenye nia nzuri au mbaya mwenye kuhitaji msaada au ambae anataka kuzingua tu
Bro stop na habari hii, utakuja kujishushia heshima huko ulipo trust me mimi yameshanikuta wabongo si watu utakuja juta kwa kile unachotaka kufanya ...
 
Ndugu zangu jana nilitoa list ya balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwani nchi ya Malta ina balozi chache sana kwa nchi za Africa balozi zipo Africa ya kaskazini so wanachofanya kuna balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwa Tanzania ni balozi ya Italy ndio unaweza pata visa ya Malta njia ya kwenda Malta ni tatu kusoma,kutalii,kutembea hii inahusisha kufanya kazi kwa kujitolea ambapo yule unayefikia kwake anakutumia barua ya mwaliko

Kama unakwenda kwa ajili ya kufanya kazi ya kujitolea mara nying ni kazi za mikono ambazo unatakiwa kuwa unazijua ni
1 ufundi wa mbao au saidia fundi
2 kuchunga na kuangalia wanyama {mifugo}
3 kupika hii ni kwa wanawake
4 kutunza watoto hii ni kwa wanawake
5 kutunza bustani hii ni kwa wote

Napendekeza kama kazi ya kujitolea ukafanye kijijini au kwenye miji midogo faida yake ni
1Kwanza utajua Lugha zaid ya moja yani lugha ya wenyeji
2 unakuwa unaply low profile{kwani watu ni wachache na wengi ni wazee ambao mala nying hawana mpango na mtu}
3 Ni vyepesi kupata mdhamini wa kukuombea uraia endapo utakaa mwaka mmoja
4 Wengi kule ni wazee so mzee siku zote wanaaminika sana kwa serikali na taasisi zake so kama akikuombea uraia process zako zitakuwa fupi tofauti na akikuombea kijana

Vijiji na miji ya Valletta,Mdina, Zabbar,Cospciua na st paul"s bay

Wale wakina John kisomo kule scholarship nyingi ni kwa level ya masters na PhD ambazo nying ni za serikali BT ninazo scholarship za Sweden,Canada,Denmark , Australia ,Austria ,Germany , Finland, NZ lakini nying ni Masters na PhD lakini mission yetu ni Malta so tunajikita kwenye Malta

Note ; ni uhakika kama ukifanikiwa kukaa ndani ya MALTA mwaka mmoja kupata uraia ni vyepesi na ukifata process zote utafanikiwa lakini pia Mungu ni wa kumuomba kwa kila jambo pia

Kama utafanikiwa nchi za kwenda kwa ulaya ni za Scandinavian country na Ujerumani,Canada, USA kwa sasa hakuna free visa kwa nchi za ulaya mpaka pale watakavyobalisha Luxembourg nchi ambazo usiende kwani ni kimeo ni Italy,Spain, Ufaransa kwani kazi hakuna na maisha ni magumu UK wamejitoa EU so sidhani kama kuna free visa


kuhusu jeshi nilishazungumzia labda kama kuna swali naweza ulizwa

Kumbuka jeshi la wenzetu mafunzo si magumu sana kama huku kwetu najua wengi wanaweza ogopa kutokana na mafuzo huku ni kukomoana kule ni kufundishana majeshi ya wenzetu wamewekeza kwenye technology si katika nguvu za mwili mambo ya kuvunja matofali au kuvuta gari kwa meno hakuna labda uwe kwenye vikosi maalumu kama special force na commando wenzetu siku hizi ni kubonyeza botton tu vinatoka vitu mpaka sijui mkutane mpigane mieleka siku hz hakuna room hiyo siku hiz zinatumwa spy UAV{Unmanned aerial vehicle} inapiga picha jion pilot mmoja au wawili wanachukua chombo aidha fighter jet au bomber ambazo hazionekani kwenye rada na kwenda kudrop madude then baada ya masa 6 au 10 wamerudi huku uko walipo kwenda wakiacha vilio tu na kazi ya ambulance kwa ajili ya kubeba majeruhi au maiti na fire kwa ajili ya kuzima moto

Pia kwa wenzetu jeshi ndipo vitu bora vinapatikana kuanzia elimu bora na huduma bora za afya kwani viongozi wote wa serikali wakiumwa utaskia wamepelekwa kwenye hospital za kijeshi wanasema kitu chochote bora duniani kinapatikana jeshini kwa wale wanaotaka kuomba kazi moja kwa moja unaweza pita hapa www.maltajobport.com

mwenye swali aulize bt no pm kwani sito jibu msg ya mtu yeyote

kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
Do not seduce yourself to temporary person, as you may aware that people doesn't have much time to remember that feeling which you were shared nimejoin JF kukwambia tu mkuu you can take it or leave it.
 
If you set out to be liked, you would be prepared to compromise on anything at any time, and you would achieve nothing.
Naamini katika maisha hakuna mtu ambaye hajawahi kupata msaada hata wewe hapo inawezekana ulishawahi kusaidiwa japo hata Kalamu darasani ilipokugomea. Toa ushauri namna ya kuepusha unachoongelea na sio kunyima watu kupata misaada. Kaveli anatamani japo na yeye asome bachelor maana matokeo anayo tayari leo unakuja kumzibia riziki kwa hoja eti ukimsaidia mtu atakuja kukuaibisha au kukusababishia matatizo duuuh aiseeh umezingua kamanda.
Bro stop na habari hii, utakuja kujishushia heshima huko ulipo trust me mimi yameshanikuta wabongo si watu utakuja juta kwa kile unachotaka kufanya ...
Hivi mkuu kila anayepewa msaada lazima aje azingue baada ya kupata alichokuwa anakitafuta? Binadamu wote wangekuwa na mawazo kama yako hivi hata vilema Wajane au watoto yatima wangepata hifadhi?

Haujiulizi mbona kuna waafrika wanasoma kwa scholarship je wafadhili waliozitoa hawana akili? Wao hawaogopi kuaibika mwisho wa kuwasiadia watoto maskini wa afrika?

Do not seduce yourself to temporary person, as you may aware that people doesn't have much time to remember that feeling which you were shared nimejoin JF kukwambia tu mkuu you can take it or leave it.
Kikubwa ungemwambia/mshauri izzo aset mazingira ya kuepusha haya uliyoyaeleza lakini sio kumwambia asimamishe kusaidia watu.
 
Naamini katika maisha hakuna mtu ambaye hajawahi kupata msaada hata wewe hapo inawezekana ulishawahi kusaidiwa japo hata Kalamu darasani ilipokugomea. Toa ushauri namna ya kuepusha unachoongelea na sio kunyima watu kupata misaada. Kaveli anatamani japo na yeye asome bachelor maana matokeo anayo tayari leo unakuja kumzibia riziki kwa hoja eti ukimsaidia mtu atakuja kukuaibisha au kukusababishia matatizo duuuh aiseeh umezingua kamanda.

Hivi mkuu kila anayepewa msaada lazima aje azingue baada ya kupata alichokuwa anakitafuta? Binadamu wote wangekuwa na mawazo kama yako hivi hata vilema Wajane au watoto yatima wangepata hifadhi?

Haujiulizi mbona kuna waafrika wanasoma kwa scholarship je wafadhili waliozitoa hawana akili? Wao hawaogopi kuaibika mwisho wa kuwasiadia watoto maskini wa afrika?


Kikubwa ungemwambia/mshauri izzo aset mazingira ya kuepusha haya uliyoyaeleza lakini sio kumwambia asimamishe kusaidia watu.
Disappointment is a sort of bankruptcy - the bankruptcy of a soul that expends too much in hope and expectation so najua ninachokisema mm namwambia ukweli izzo kuwa makini sana na watu hasa wa kwenye mitandao It is an occupational hazard that anyone who has spent her life learning how to lie eventually becomes bad at telling the truth.
 
Mkuu juabkutofautisha kati ya passport na visa.
Passport au diplomatic passport ni hati ya kusafiria kwenda nchi yoyote. Inatambulisha uraia wako. Na pia inaingizwa katk database ambayo ina operate obviously world wide. Ivyo hiyo inapatikana uhamiaji kule kurasini kwa sh. Elf. 50 nadhani. Japo zaweza tokea fighisu fighisu kuipata. Kwa kawaida yaweza chukua hata mwezi kuipata. Pia inaweza chukua zaid ya hapo itategemea urefu wa mkono wako na kujiongeza.

Visa
Visa ni resident permit. Au hati ya makazi. Hiki ni kbali unacho omba au kupewa kuishi nchi husika. Sasa kuna visa au vibali vya aina nyingi ikiwemo work permit, Holliday visa, education visa na nyinginezo yaani inategemea unaenda kufanya nn kwenye nchi husika. Kama kutalii. Kusoma na mengine.
Kwahiyo katika uzi huu watu wanajadili jinsi ya kupata visa za nchi mbalimnali na kujua fursa ambazo zipo huko. Okiwa pamoja na changamoto

Occybeats.
Daah umetisha mkuu aya mambo bado sijayajua vizuri ..lakini kwa hapa umenipa mwanga kimtindo ..shukrani sana mkuu ..sasa ni kipi kina anza kati ya visa na passport?
 
kwanza ni lazima ujue kua wazungu wanapigania furaha kuliko pesa na ndio maana akimpata mwanaume asie na pesa kama atamfurahisha hataweza mfananisha na mwenye pesa ambae hayupo nae

Pia unapoanza kumtumia ujumbe wa maandishi usimtumie ujumbe wa "Hi" hi haivutii sana na haitampa hamasa ya kukujibu ujumbe wako kwa wakati au anaweza asijibu kabisa kwasababu wengi wanaomtumia au wengi hutumia ujumbe huo usio na mvuto au anaweza akaupuuza ila unachotakiwa kutuma ni "Hello" kabla hajajibu mtumie ujumbe wa kumsifia kidgo kama "You look so beautiful/ attractive/ stunning na so cool" kwa kumsifia hivyo kidgo kutampa hamasa ya yeye kutaka kukujua zaidi anaweza akajibu ujumbe wako wa bashasha akitegemea anatumiana ujumbe na mtu atakae mfurahisha na kumpa tabasamu muda wote

vitu vya kwanza ambavyo utatakiwa kujua na hata yeye atapenda kujua ni hali ya hewa au unamuuliza " what time is it there" huu ujumbe nilazima atajibu au "what are you doing for living" vitu anavyopenda lakini haina ulazima wa kujua vitu anavyochukia

mkishazoeana MPE ratiba yako ya kirasiku kwamba kama unafanya kazi basi ajue majira ya Tanzania na wewe uyajue majira ya kwao kwamba muda unaoenda kazini ajue kua upo kazini na muda utakaokua home ajue upo home na kama hauna kazi mwambie kua sina kazi hatakukimbia
usiweke papara ya kutaka kumtongoza kwa siku ya kwanza na kama atakwambia ana mchumba tulia endelea kuchati nae isla kwa mambo ya kawaida things change baadae utashangaa anakupenda na kuhitaji kua na wewe pia kua mtu wa kumshauri mambo mazuri


Do not go with the long face just play it cool
Duuuh kumbe nde ivo. .ahaa ngoja nitajaribu
 
Disappointment is a sort of bankruptcy - the bankruptcy of a soul that expends too much in hope and expectation so najua ninachokisema mm namwambia ukweli izzo kuwa makini sana na watu hasa wa kwenye mitandao It is an occupational hazard that anyone who has spent her life learning how to lie eventually becomes bad at telling the truth.
We know he know and I know.
Just scroll my past comments you will see some of us we warned them/him about it.

Njia yako is too harsh. I think You're intention is to block this gift. Stop it bro.

it's will be aversesly and its impingement ideas to stop helping people because of the fear of (disappointment).

Kuna watu wanasaidiwa na wanafanya mazuri bro. Take look at them sio uchukue mifano mibaya tu. Nafikiri toa ushauri zitumike njia gani kuepusha hayo maana hata tusiposaidiana hapa tutasaidiana mitaani.

Mbongo mmoja au wawili wasikufanye uwe na hasira hivyo.
 
Disappointment is a sort of bankruptcy - the bankruptcy of a soul that expends too much in hope and expectation so najua ninachokisema mm namwambia ukweli izzo kuwa makini sana na watu hasa wa kwenye mitandao It is an occupational hazard that anyone who has spent her life learning how to lie eventually becomes bad at telling the truth.

Kumwambia izzo astop sijui kama utakuwa umesaidia cha msingi ni tufikirie njia ambayo haita affect yeye na pia wale anaotaka kuwasaidia

Nakumbuka kuna issue ya kijana mmoja alikuwa anasoma chuo Uganda wakatokea watu wanataka kumpeleka nje na alivyoona personalities za wale watu wala hakuwa na shaka akaamini amepata msaada kumbe wao nia yao ni kuchukua vijana na kuwapeleka kwenye madanguro, alipelekwa Nairobi akajikuta kwenye jumba la kubwa la hatari na akalazimishwa kufanya uchafu na makahaba huku wakimchukua picha kwa ajili ya biashara zao, Na vijana wengine aliokutana nao huko mmoja alikataa kufanya vile alichinjwa mbele yao. Baada ya muda walimletea picha za watu wanaotaka wachumba huko ulaya achague alipochagua wakaanza process za kumsafirisha hapo ndio alifanikiwa kutoroka.

Alipotoroka ilibidi apelekwe hosptal ya vichaa maana alikuwa kama amechanganyikiwa baada ya kurudiwa na fahamu zake kijana wa watu akaenda kucheki afya yake alijikuta na magonjwa ya aina zote ya zinaa.

Hivi vitu ni tunahitaji kuwa waangalifu na waaminifu pande zote mbili hasa hawa wanaotaka watu wa kuwaunganishia mimi nafikiri ni bora mtu ukafuata taratibu unazoelezwa kupitia ubalozini

Mimi ninachoamini ukimwomba Mungu atakuweka mikono salama na yule atakaye bahatika asimwangushe izzo please.

Pia kumbuka ukiwa mwoga pia hatukaa ufanikiwe maisha wanaofanikiwa ni wale risk takers.
 
Mkuu Daby Never be afraid to raise your voice for honesty and truth and compassion against injustice and lying and greed mimi nasema ukweli izzo you will be disappointed kwenye inssue hii wabongo wanamatatizo sana kwenye inssue ya kufanya kile kitu mlichokipanga
 
Back
Top Bottom