Pre GE2025 Ushauri: Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inafikirisha sana !
Ngoja izidi kunyesha tuone panapovuja
Karma Karma Karma
Tunasubiri tuone
 

Uli
Yes, kila Jambo na wakati wake. Ni wakati wa Mbowe kustaafu. Let's get fresh brain. Ni aibu CHADEMA kuwa outsmarted na hiyo mama.
 
Sawa. Ila hoja yangu Ina mantiki.
Hakuna mkuu, kuna mambo ayahitaji mihemuko, safari ni mwendo au atua moja kwenda nyingine , Maridhiano ilikua sehem ya mwendo , so iyo phase imeisha twende na phase mpya sasa , Uongonzi wa Chadema mpaka sasa wapo sawa kabisa
 
Wana CCM watakupinga kwasaba Mbowe ni mtu muhimu sana kwa utawala wa CCM kwenye kulaghai wafuasi wake ili mambo yaende.

fikiria mwenyekiti wa chama angekua Lisu au Heche rasimu ya katiba ya Warioba wangeitilia mkazo na kingeeleweka.

Kweli kabisa. Mbowe alikuwa na golden chance akaichezea kwa kutaka kumfurahisha ye mama asiyekuwa na ukweli. Unakimbilia Ikulu kisa Nini? Kujitetea kwingi, mwishowe mama kapata kila kitu.
 
1. Ungekuwa sahihi kama tusingelikoroga mbeya.

2. Hatumjui adui yetu.

3. Hatuna msimamo, falsafa haijulikani.

4. Tunahitaji kwenda shule:

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

5. Misimamo yetu haiwezi kuwa Kwa ku bet!
Chama kama taasisi, hakiwezi kuwa kinakurupuka na kucheza mdundiko wa kila anaepiga ngoma, hata ya Mbeya chama kilijipa mda wa kutafakari na kuja na mahamuzi waliokuja nayo,

Huwezi kubeba maiti usiejua amefia wapi kisa tu umeshirikishwa
 
Umeombwa na nani ushauri? Mtu yeyote timamu hatoi ushauri hadi aombwe.

Pili anzisha chama chako ili ufanye hayo unayodhani ndiyo sahihi. Kwa nini mambo ya chama kingine yakuume?
 
Uli
Yes, kila Jambo na wakati wake. Ni wakati wa Mbowe kustaafu. Let's get fresh brain. Ni aibu CHADEMA kuwa outsmarted na hiyo mama.
Mwenyeki wa chama hajiteuwi mwenyewe, anachaguliwa pitia vikao halali vya chama, kwa kujinadi na kuomba kura ,siku ambapo hatapigiwa kura za kutosha basi atakoma kuwa mwenyekiti , mbona kitu simple tu
 
Chama kama taasisi, hakiwezi kuwa kinakurupuka na kucheza mdundiko wa kila anaepiga ngoma, hata ya Mbeya chama kilijipa mda wa kutafakari na kuja na mahamuzi waliokuja nayo,

Huwezi kubeba maiti usiejua amefia wapi kisa tu umeshirikishwa

1. Bila kuwa falsafa inayokubalika kukurupuka kunaepukwa vipi ndugu?

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

3. Adui ni adui, kwa mujibu wa falsafa, siyo kwa kuvizia.

4. Nendeni shule, misimamo haiwezi kuwa kwa ku bet!
 
Hakuna mkuu, kuna mambo ayahitaji mihemuko, safari ni mwendo au atua moja kwenda nyingine , Maridhiano ilikua sehem ya mwendo , so iyo phase imeisha twende na phase mpya sasa , Uongonzi wa Chadema mpaka sasa wapo sawa kabisa

Kwa upande wako sawa, ila kwangu Mimi wamefail. Approach ya maridhiano imefail. Kwanini tulilazimisha tukijua CCM hawaaminiki?. Katiba Mpya no, wabunge Nuksi no, mswada wa sheria za uchaguzi batili. Kwanini Kiongozi alazimishe kuamini watu ambao hawajawahi kuaminika?

Ok, Mimi nimesema yangu ila huko mbele tunapoelekea sijui. Mbowe atambue ni kiongozi wa chama na lazima chama kiwe na msimamo mmoja. Sio Leo mazungumzo, kesho maandamano, keshokutwa mazungumzo. All in all Mbowe kakidharilisha chama kwa kumuamini Samiah bila kujua ni mwanaccm.
 
Mwenyeki wa chama hajiteuwi mwenyewe, anachaguliwa pitia vikao halali vya chama, kwa kujinadi na kuomba kura ,siku ambapo hatapigiwa kura za kutosha basi atakoma kuwa mwenyekiti , mbona kitu simple tu
Sema hivi utaeleweka vizuri
Afrika hakuna utamaduni wa kujiuzulu ili kuwajibika kwa yale uliyoyavurunda
Just as simple as that
 
Kweli mkuu, Leo tunasema hivi kesho tunasema kingine.

1. Bila falsafa ya wazi tunayoiamini itakuwa ku bet.

2. Kwa falsafa ya wazi kina Mwabukusi na sauti ya Tanzania walikuwa wenzetu.

3. Tutakuwa wazi kuhusu Gaza, Ukraine, LGBTQ, tutapigania katiba mpya consistently nk.

4. Hapo #3 hatuta bet na lolote

5. Hapo #4, hatutapita kwenye embarrassments kama hizi.

6. Chawa chawa hawatakuwapo.

7. Hakutakuwa na uonja sumu.

8. Nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…