Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi napendekeza mwenyekiti wa ccm ajiuzulu nafasi moja , achague kuwa Rais au mwenyekiti wa chama inawezekana vipi tumikia nafasi zote mbili kwamba ccm hakina watu wa kushika nafasi ya uwenyekiti, ndo mambo hayaendiSema hivi utaeleweka vizuri
Afrika hakuna utamaduni wa kujiuzulu ili kuwajibika kwa yale uliyoyavurunda
Just as simple as that
Anabugi sana. Anashupaza shingo halafu mwishowe anakubali muda umeisha na adui kapata point.
Anabugi sana. Anashupaza shingo halafu mwishowe anakubali muda umeisha na adui kapata point.
Huo ndiyo ukweli ...hata samia pia ni hivyo hivyo amejaa laana na abduli mzawa watumbo lake kalaani wa na kizazi chote watamwita mlaaniwa.....na laana ya samia itathibiti zaidi kama atang'ang'ania kugombea 2025 na wakisha kuiba kura basi uovu atakao tenda juu ya hii nchi wote mtashangaaMbowe ana laana ya shujaa JPM
Mara zote wajanja wakibananishwa huwa wanatumia buying time tacticsHakuna mkuu, kuna mambo ayahitaji mihemuko, safari ni mwendo au atua moja kwenda nyingine , Maridhiano ilikua sehem ya mwendo , so iyo phase imeisha twende na phase mpya sasa , Uongonzi wa Chadema mpaka sasa wapo sawa kabisa
Ndio viheshimike,
Nje ya siasa hakuna kuchukiana, chuki zipo upande wa siasa, ccm wanaona watz wote ni mabwege tukutane 24 ili tueshimiane, ila tukija kitaa au kijamii haina shidaKuna mtu hapa a anakubali na kuamini kabsaaa kuwa Mbowe anamchukia Samia?
Kazi kwelikweli
Lenye mwanzo lina mwisho, tukutane tarehe 24Mara zote wajanja wakibananishwa huwa wanatumia buying time tactics
Kama wale wa upande wa pili wakishindwa kujua hayo it means kichwani kumepwaya
Upo sawa , na wengi wapeWenye nchi wananchi, kama ilivyo kwa wanachama.
Umeombwa na nani ushauri? Mtu yeyote timamu hatoi ushauri hadi aombwe.
Pili anzisha chama chako ili ufanye hayo unayodhani ndiyo sahihi. Kwa nini mambo ya chama kingine yakuume?
Hiyo ilitengenezwa kama Kifalme falme hiviBinafsi napendekeza mwenyekiti wa ccm ajiuzulu nafasi moja , achague kuwa Rais au mwenyekiti wa chama inawezekana vipi tumikia nafasi zote mbili kwamba ccm hakina watu wa kushika nafasi ya uwenyekiti, ndo mambo hayaendi
Mwenyeki wa chama hajiteuwi mwenyewe, anachaguliwa pitia vikao halali vya chama, kwa kujinadi na kuomba kura ,siku ambapo hatapigiwa kura za kutosha basi atakoma kuwa mwenyekiti , mbona kitu simple tu
Upo sawa , na wengi wape
Nje ya siasa wapi? Huko huko unapopaita nje ya siasa ,we wenzako wanapatumia kisiasa kupitisha mambo yao.Nje ya siasa hakuna kuchukiana, chuki zipo upande wa siasa, ccm wanaona watz wote ni mabwege tukutane 24 ili tueshimiane, ila tukija kitaa au kijamii haina shida
😂 😆Lenye mwanzo lina mwisho, tukutane tarehe 24
Mbowe Ni mwenyekiti makini