Misingi haiwezi kutupwa. Aliona mbali beberu kuachiana vijiti. Ikikosekana falsafa, kumbe tunaamini au kusimamia nini? Simple mathematics.Kila jambo na wakati wake, kitabu kimesomeka kwa utulivu na kukielewa, namanisha kulitakiwa kutulia na kuusoma mchezo wa ccm, kwa kipindi kile kujitoa kwenye maridhiano hakukua na tija yoyote , ni mda sasa kusonga mbele mbwai mbwai ,hakuna sababu ya hoja yako
Mbowe alikosea sana. Unatoka mahabusu unakimbilia Ikulu. Aondoke tu hajui siasa zinataka Nini.
Umeshasahau misukosuko mliyopitia miaka kadhaa nyuma na jinsi Mbowe alivyosimama kidete kuiokoa Chadema dhidi ya anguko baya kabisa la kutengenezwa na watawala au unajitoa ufahamu ?Hakuna Cha uhafidhina. Ajiuzulu tu amefail.
Nimesoma hii nikataka nipite tu ila nikaona niandike kitu; naona wengi mnataka Mbowe ajiuzulu na kuomba radhi, tena wengine mnakuja na sababu zilizotoka nje ya mada zisizo na msingi wowote.
- Kumpokea Lowassa, hili hakulifanya mwenyewe, yale yalikuwa ni maamuzi ya KK ya chama chao kumpokea Lowassa, ndio maana siku ilipofika, karibia nusu ya wajumbe wa KK walikuwepo pale kumpokea, sijui kama mnajua maana ya collective responsibility au ni mihemko tu.
- Maridhiano; hivi mmewahi kujiuliza kwanini alitaka maridhiano wakati ule, au mnapiga kelele tu?
Wakati ule wa Magufuli kwa mfano, na aina ya siasa alizokuwa akizifanya Magufuli, mlitegemea Mbowe aende sawa na Magufuli kwa namna ipi? ni ipi kwenu ilikuwa njia sahihi kwa Mbowe kufanya siasa wakati ule badala ya maridhiano? Itajeni hapa, au mlitaka ashindane nguvu na Magufuli ambaye kila mmoja alimjua kwa ukatili wake?
Mbowe kuja na wazo mbadala leo mnamuona mkosefu, mlitaka akachukue wapi jeshi la kumuwezesha kuandamana? mfano yale maandamano yao kule Kinondoni alipokoswa na risasi pamoja na wenzie, mlitaka ile ndio iwe njia yao ya kufanya siasa, wakati wewe una mdomo unashindana na mwenzio anayetumia risasi kuyazuia?
Ajabu Mbowe "kukosea" kama mnavyoona nyie kwa thinking yenu, not me; anatakiwa kujiuzulu, hivi ni malaika yupi atakayekuja kuiongoza Chadema ambaye hatakosea [kama kweli kosa litakuwepo sio haya makosa yenu ya mihemko]?
Nawashauri tu, kama Mbowe hamumtaki kuweni straight kusema hivyo, mtoe na sababu zenu zitakazomuhusu personally, kama mwingine alivyozoea kuimba kiongozi akikaa miaka kumi akili yake inachoka!, hata kama ni sababu ya kuchekesha lakini atleast ametoa sababu.
Lakini sio kuja na sababu za jumla kama kumpokea Lowassa, mnazidi kujipoteza, au kumtaka ajiuzulu kisa "amekosea", huyo malaika wenu yuko wapi aje apewe Chadema leo?! mna tatizo la kukariri siasa za aina moja pekee, akitokea mwingine mwenye plan B kwenu anaonekana hafai! kwani hiyo plan A yenu lini iliwahi kufaulu?!
Mna wenge sana.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Siasa mchezo mchafu
Sasa kama ametambua hilo na kusahihisha, shida iko wapi? Admitting weaknesses/failures is a positive attribute.Habari Wana JF. Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samiah.
Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samiah , Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.
Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.
Mh. Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.
Sasa Kutokana na kauli ya Mh Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:
1. Kwakuwa Mh. Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.
2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.
3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.
4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.
5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Naomba kuwasilisha.
Umeshasahau misukosuko mliyopitia miaka kadhaa nyuma na jinsi Mbowe alivyosimama kidete kuiokoa Chadema dhidi ya anguko baya kabisa la kutengenezwa na watawala au unajitoa ufahamu ?
Hata mkimtoa mtampa nani kwa sasa huo Uenyekiti?
JokaKuu Nguruvi3 Pascal Mayalla zitto junior
Asante sana brazaj , Wazalendo wa Kweli wa nchi hii tupo Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali Itoe Kila Ushirikiano kwa Chadema, Hata Kama Route ni Ikulu, Rais Samia, Please Yapokee Kwa 4R!.17. Pascal Mayalla kwa upekee sana niheshimu impartiality yako tokea chama mboga mboga, hii nchi ni yetu sote.
Asante sana brazaj , Wazalendo wa Kweli wa nchi hii tupo Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali Itoe Kila Ushirikiano kwa Chadema, Hata Kama Route ni Ikulu, Rais Samia, Please Yapokee Kwa 4R!.
P
Ndio mkimtafuta huyo malaika wenu sasa muwe na sababu za msingi kumkataa Mbowe, sio kila mmoja anakuja na lake mnasahau Mbowe hakuwa malaika, kama hamumtaki nendeni straight Mbowe ondoka, tena muwe na hayo mabango siku hiyo ya maandamano, sioni sababu kwenu ya kulia lia kila siku kama vile Mbowe ndie anaizuia Chadema kwenda ikulu, mkijitia upofu msizione sababu nyingine.Yoyote, ambaye kwa sasa sio Mbowe. Hatuhitaji malaika maana hata Mbowe hakuwa malaika. Labda kwako alikuwa malaika, hivyo kwakuwa mawazo yako ni ya nje ya box, na sisi tunapaswa kumtafuta malaika wetu Ili tuwaze nje ya box kama ww.
Suala la kuachiana vijiti sio kesi, lakini tukubaliane hivyo vijiti vya kuachiana kuna taratibu zake, sasa kama wale wanaohusika wako tayari kuendelea kuongozwa na yule msiyemtaka mnakuwa na maana na nia gani? hamjioni kama nyie ndio mnataka kuleta vurugu huko chamani?1. Beberu aliona mbali sana watu kuachiana vijiti.
2. Kwa hakika kukaa sana kiti kile kile tija hupungua.
3. Ana hitaji likizo anaweza rejea siku za usoni. Tuliyaona Kwa kina Putin, Medved na sasa Trump yuko njia moja.
4. Siyo siri bila falsafa ya wazi chama kimepoteza mwelekeo. Hakuna tunachoamini, hakuna msimamo.
5. Tunayoyaona ni matokeo ya #4, ndiyo maana leo hili kesho lile, chawa kuibuka na kushamiri, hoja kujibiwa kwa matusi, kejeli nk.
6. Mwamba kafanya mengi mazuri ya kutosha. Uko sahihi ni binadamu pakunyoosha ni kwenye falsafa, Imani, na misimamo akipaweza karibu.
7. Kwa hakika alipo he is lost.
8. Siasa haziwezi kwenda kimachale machale, wizi wizi, ujanja ujanja nk ambayo ni matokeo ya kukosa kinachoaminiwa, msimamo yaani falsafa.
Sijui kwann watu huwa wakali na hawapendi kuukubali huu ukwel.Mbowe ndio tatizo pale chadema na wenzake watatu kiukweli chama kimepoteza ata matumaini mdogo waliyokuwa nayo kwa wananchi apo awali ni kama hakuna chama cha upinzani awa jamaa wachie madaraka wamekiangamiza chama wapewe vijana wenye maono ya kisasa na new strategy za kisiasa over [emoji56]
Economist, Chadema ikifuata maoni na mawazo ya aina hii itaangamia. Nilipi kosa la Mbowe kufanya maridhiano? Kwa nini hasilaumiwe Samia na CCM yake walioeshidwa kutekeleza maridhiano badala yake unamlaumu Mbowe, je, ulitaka Mbowe achukue bunduki aingie msituni badala ya kukaa meza moja kutafuta muafaka wa kisiasa?Habari Wana JF. Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samiah.
Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samiah , Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.
Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.
Mh. Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.
Sasa Kutokana na kauli ya Mh Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:
1. Kwakuwa Mh. Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.
2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.
3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.
4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.
5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Naomba kuwasilisha.
Hii ndio mindset ya hawa jamaa, wanataka Chadema wasio na silaha wakashindane na CCM yenye silaha physically, na wameikariri hii njia moja miaka yote!.Economist, Chadema ikifuata maoni na mawazo ya aina hii itaangamia. Nilipi kosa la Mbowe kufanya maridhiano? Kwa nini hasilaumiwe Samia na CCM yake walioeshidwa kutekeleza maridhiano badala yake unamlaumu Mbowe, je, ulitaka Mbowe achukue bunduki aingie msituni badala ya kukaa meza moja kutafuta muafaka wa kisiasa?
Nyie wanachama wa chadema acheni kulalamika mtimueni mzee mbowe kwenye chamaHabari Wana JF. Kwanza nielezee masikitiko yangu kwa kauli ya Jana ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Mbowe kwamba anajuta kumwamini Rais Samiah.
Mheshimiwa Mbowe alipigiwa kelele sana kuhusu kuingia maridhiano na CCM hakusikia kabisa. Nakumbuka kwenye mkutano wa CHADEMA Mwanza, tarehe 21/1/2023, Mbowe alidai hatamsema vibaya mama Samiah , Leo inakuwaje ndio anashtuka muda umeenda? na kudai anajuta kumwamini Mama Samiah?.
Pia nakumbuka kwenye mkutano wake na diaspora wa Marekani tarehe 11/12/2022, Mh Mbowe alidai kuwa hatarudi nyuma kwenye mazungumzo, na kudai anaweka maslahi ya nchi mbele na sio CHADEMA, Leo inakuwaje anajutia kumwamini Rais Samiah.
Mh. Mbowe anajua yaliyotokea Zanzibar na alitakiwa kuchukua Kama fundisho. Kwamba pamoja na maridhiano, CCM wakaiweka CUF ya maalim kwenye mtego mpaka leo imekuwa historia. Mwishoni maalim ikabidi akimbilie ACT baada ya Msajili kutumika kumfustrate. Hii ilitosha kumfundisha Mbowe aache kujikomba kwa Mh Samiah na CCM yake. Ilitakiwa ajifunze kutoka kwa Maalim. Kwamba pamoja na Maalim kujishusha na kukubali maridhiano , CCM wakakivunja chama chake Cha CUF na pia kumfanyia unyama 2020.
Sasa Kutokana na kauli ya Mh Mbowe ya Jana, Naomba nishauri yafuatayo:
1. Kwakuwa Mh. Mbowe alilazimisha Maridhiano na yeye kujiweka mbele Kama kiongozi wa maridhiano, basi kwa kuwa maridhiano yameshindikana, nashauri aachie ngazi mara moja. Maana kashindwa kutimiza hayo maridhiano aliyo lazimisha.
2. Kwa kuwa Mh. Mbowe alidharau sauti za wanachama wa CHADEMA kumkataza kuendelea na hayo maridhiano, na kwa kuwa hakufanikiwa na hayo maridhiano aombe Radhi wanachama kwa maamuzi hayo ambayo hayakufanikiwa na yaliyoiweka CHADEMA rehani.
3. Kwa kuwa Mh. Mbowe ameshindwa kutimiza approach yake ya diplomacy , itakuwa ujinga akiendelea kuongoza approach nyingine dhidi ya serikali au CCM maana haaminiki Tena. Hivyo ajiuzulu kupisha uchaguzi wa mwenyekiti mpya ambaye atatumia approach nyingine kabisa kuliko ya Mbowe.
4. Kwamba, kwakuwa imeonekana maridhiano sio njia sahihi ya kutatua malalamiko ya CHADEMA kutokana na kiburi Cha CCM na serikali yake, nashauri CHADEMA waachane na approach ya maridhiano watafute approach nyingine.
5. Kwa kuwa inaonekana maoni ya CHADEMA kwenye mswada ya sheria yamekataliwa na Kamati ya kudumu ya bunge ya Katiba na Sheria, nashauri CHADEMA watangaze rasmi kutoshiriki chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Naomba kuwasilisha.
Suala la kuachiana vijiti sio kesi, lakini tukubaliane hivyo vijiti vya kuachiana kuna taratibu zake, sasa kama wale wanaohusika wako tayari kuendelea kuongozwa na yule msiyemtaka mnakuwa na maana na nia gani? hamjioni kama nyie ndio mnataka kuleta vurugu huko chamani?
Kwa nini hamtaki kuheshimu maamuzi ya wale wanaompigia kura Mbowe? kwanini mnajiona nyie ndio wenye hati miliki ya kuamua nani awe mwenyekiti wa Chadema? kwanini hamtaki kufuata taratibu?
Kama mna mtu wenu mnaamini ni mzuri zaidi ya Mbowe, huwa mnakuwa wapi kumwambia akachukue form ya kugombea, ili nanyi mkamfanyie kampeni apate ushindi dhidi ya Mbowe?
Hapa zisiwepo sababu za uchaguzi huwa sio huru, hizi ni sababu za waliokata tamaa na kile wanachotaka wasio na lakujitetea, huwezi kusema uchaguzi sio huru ikiwa kura hupigwa kwa uwazi, kuhesabiwa kwa uwazi, na matokeo kutangazwa wazi, pasiwepo mjumbe yeyote anayelalamika isipokuwa wajumbe nyie wa JF!.
Kama issue ni kukaa sana, wenye uamuzi ya kumuondoa ni wapiga kura wakiona kuna haja ya kufanya hivyo, lakini msitake kulazimisha mawazo yenu na matakwa yenu ndio yawe juu ya wengine, huu ni udikteta, mnaleta vurugu, nyie ni kama vile mnaandaa mapinduzi part 2 ya kina Zitto, Mwigamba, na Kitilla yaliyofeli, sijui kama mnaiona hiyo tafsiri yenu kwa nje!.
Chadema ina taratibu zake, ziheshimiwe na kufuatwa, sio kulazimisha mambo kama vile kile ni chama cha barabarani, msikishushie heshima yake, mmekipenda kwa sababu hiyo, na muendelee kuishi hivyo, muda ukifika pelekeni mgombea wenu mfanyieni kampeni ashinde, asiposhinda; mjue hiyo ndio demokrasia sio kulazimisha mambo yawe vile mtakavyo.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hii ndio mindset ya hawa jamaa, wanataka Chadema wasio na silaha wakashindane na CCM yenye silaha physically, na wameikariri hii njia moja miaka yote!.
Swali dogo tu nimewauliza; kama maridhiano hawayataki wao walitaka itumike njia gani mbadala? ajabu hakuna hata mmoja wao aliyenijibu!
Simply wanataka kitu wasichokijua.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Chama ni chama mbowe alichorithishwa na mkwe wake,.kwa hiyo ni mali yake binafsi na siyo mali ya chama.kama unataka wewe ondoka muachie mbowe kitega uchumi chake.