Pre GE2025 Ushauri: Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA

Pre GE2025 Ushauri: Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Primary target ya ujasusi was Tanzania ilikua katiba mpya!na chadema ilipaswa kuwa sauti hiyo!

Wao wakazimishwa na nusu mkate yaani wakafika bei hii ikaleta hasira kali na kutokuaminika Kwa mbowe Toka Kwa wale jamaa wanaopigania katiba!!

Nadhani plan ya katiba kabla ya uchaguzi imefeli coz mwenyekiti was CCM ame was outsmart wale jamaa wa Dola!Sasa nadhani wata execute plan B:-

1.Uchaguzi 2025 uvurugike mabaka wakachukua Dola!

2.Damage ya kisiasa Kwa mtia Nia was urais mapema ambae no mwenyekiti was ccm,nadhani wamefanikiwa coz hakuna mwananchi was kawaida kabisa anaemkubali kihivyo has Hulu bara tumebaki sisi chawa wa mchongo tukiziimba nyimbo zake Ili kufurahia ugali na teuzi zake!!

Lengo ni kumuingiza mgombea mwingine 2025 na sie huyu !

3.Hii mbaya sana!I have a feeling ni kuwindana Hadi viwanja vya ndege ili apewe mwingine!!

Watumishi wanaomba mungu haha yasitokee!

Hoi inachagizwa na Ile "original plan in and out""!!!

Ngoja tuone!!!

Mbowe kafeli coz hajui no Dola ilishinikiza atolewe mahabusu Kwa kesi ile Ili apiganie katiba Sasa yeye kalamba asali plus nusu mkate!!!
Pia inawezekana no plan ya mbowe kurudisha Imani ya wanachama kwake baada ya kuvurunda,Kwa kuitisha maandamano!!


Ngoja nisubiri!!!

Mbowe alikosea sana. Unatoka mahabusu unakimbilia Ikulu. Aondoke tu hajui siasa zinataka Nini.
 
Kila jambo na wakati wake, kitabu kimesomeka kwa utulivu na kukielewa, namanisha kulitakiwa kutulia na kuusoma mchezo wa ccm, kwa kipindi kilekujitoa kwenye maridhiano hakukua na tija yoyote , ni mda sasa kusonga mbele mbwai mbwai ,hakuna sababu ya hoja yako

1. Ungekuwa sahihi kama tusingelikoroga mbeya.

2. Hatumjui adui yetu.

3. Hatuna msimamo, falsafa haijulikani.

4. Tunahitaji kwenda shule:

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

5. Misimamo yetu haiwezi kuwa Kwa ku bet!
 
Huu ni utumbo mpana...
Wewe ueleze umewahi kukifanyia Nini chama chako au ndohii kudai watu wajiuzulu? Hapo siajabu huna hata uanachama 🤬 Bogus kabisa

Nakuupuuza tu. Mimi ni mwanachama wa CHADEMA tangu 1998. Ofisi yetu ikiwa jamatini Kisutu. Kama huna hoja Kaa kimya. Unataka nikuorodheshee niliyoyafanya?. Nikuorodheshee Kama nani?
 
Wewe chawa wa Mbowe unaongea nini? Anza kufuta hiyo avator kwanza

Huoni aibu kuniita chawa? Mimi simuonei mtu aibu, naita koleo koleo sio Kijiko kikubwa. Hiyo avator nimeweka Kama symbol ya CHADEMA na heshima yangu kwa Mbowe, ila hainizuii kuongea ukweli.
 
YUPO na atakuwepo kama ni kuji huzuru waanze kina katelefone kwanza wametudanganya si mala Moja mtoa maada ondoa hoja zako mfu tupo busy kuusaka uhuru wa pili kutoka Kwa mkoloni mweusi CCM

Mimi naongelea CHADEMA mkuu. Sio watu wa serikalini. Mbowe hawezi kuaminika Tena. Katuingiza chaka halafu anadai anajutia kumuamini Samiah.
 
Kwamba Mo ajiuzulu uenyekiti ndani ya kampuni ya METL?

Napita tu...
 
Huwa nashangaa sana ..eti mbowe ni kiongozi wa chama cha siasa ambaye watu wanamtegemea[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]

Kwenye hata Mimi simuungi mkono. Ni Bora asinge admit kujuta. Anadeclare hadharani kwamba Samiah kamzidi ujanja.
 
Leo machawa wa mbowe wanamnanga mwenyekiti wao? ni jambo la kushangaza Mimi naendelea kuwaambia msipende kuamini hivi vyama mnapoteza muda wenu hakuna Chama chenye nia ya dhati kukomboa hapo ulipo wanawatumieni kutimiza maslahi yao

Unajua maana ya chawa?. Elewa maana ya chawa ndio uache kuropoka.
 
Nikutie shime ndugu mjumbe:

1. Uliyoandika ni ukweli na ukweli mtupu. Hakuna kurudi nyuma.

2. Watakuja chawa na kenge kwenye msafara wa mamba kupotosha. Option ni moja tu:

"To stand your ground."

3. Hoja hupingwa kwa hoja.

4. Wanakuja ngoja tuone:

View attachment 2871164

5. Hapo #4 mlango hawauoni wanadhani hautoshi.

Msimamo wangu hauta yumba. Hatuwezi Tena kumwamini Mbowe. Kama anakiri kaingizwa kingi na Samiah kwa Jambo tulilo mshtua itakuwaje huko mbele.
 
Kila jambo na wakati wake, kitabu kimesomeka kwa utulivu na kukielewa, namanisha kulitakiwa kutulia na kuusoma mchezo wa ccm, kwa kipindi kile kujitoa kwenye maridhiano hakukua na tija yoyote , ni mda sasa kusonga mbele mbwai mbwai ,hakuna sababu ya hoja yako

Sawa. Ila hoja yangu Ina mantiki.
 
Back
Top Bottom