Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
Huyu chinembe anafanya makusudi. Anajua sana kwamba analoandika siyo sahihi.Aisee huoni hata aibu!
Kwa yote yaliyotokea mpk kupata huo ubunge,bado unakuja hapa kuongea ,eti waliteuliwa kwa barua halali?!![emoji848][emoji848]aisee mbinguni mbali sana!
Km watu wazima na akili zenu mnaweza andika ujinga wa hivi