Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
yule jamaa ni mnafki sana, kazi kutwa kuchwa kupenda sifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana wacha ashambuliwe yeye binafsi,kwa sababu wakati wa kampeni alikua anajinadi kuwa tumchague ajenge serikali mpya serikali ya Magufuli,Tanzania ya Magufuli Hadi Mkapa akamuonya sio serikali yake Ni ya CCm.Ni kweli kabisa, kwa muundo wa serikali yetu kile kinachofanywa na serikali kina akisi moja kwa moja msimamo wa rais. Lakini ni vema kuikosoa serikali ya CCM na kuinadi serikali mbadala ya CDM.
Tena alikua akiomba kura Tumchague yeye akisema nija serikali mpya Serikali ya Magufuli,Tanzania ya Magufuli.Sasa hivi amekuwa malaika? Mwaka 2015 kipindi anamshambulia Lowasa na afya yake na push up majukwaani ilikuwa ni nini? Acha apate vidonge vyake
Taratibu Dada yangu,Arobaini ya Mkapa Bado.Tena ikiwezekana aongeze speed mgonjwa ameanza kuzidiwa.
Muda wa kumwaga Sera Bado weweee.tulia rafiki utachukua karamu na karatasi upate somo.mwarobaini_
Mkuu hongera kwa ujumbe, Lissu atumie umahiri wake katika kushawishi watu ili apate kura, Ni vizuri kumwaga sera nini atakacho kifanya pindi atakapopewa ridhaa ya kuongoza nchi.
😂😂😂😂Hahahaha unenikumbusha ya Menbe anaogopa hata kutaja jina wala chama anasema anataka kumtoa bwana yule na chama kile sjui huwa anamaanisha nini
yule jamaa ni mnafki sana, kazi kutwa kuchwa kupenda sifa
Muda wa kumwaga Sera Bado weweee.tulia rafiki utachukua karamu na karatasi upate somo.
Huo mkono mrefu umeshindwa kuwajua au kuwakamata hao maadui wa lissu waliopo ndani ya chama au mabeberu wanaoichafua serikal tukufu?#2 kuteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu hili siliamini mpaka kesho,huyu alilengwa na maadui zake tu wala asitudanganye.
Serikali yoyote duniani ilivyo na mkono mrefu iende ikafanye vitu kitoto namna hiyo wapi na wapi,huyu atakua na maadui zake tu huko ndani ya chama,au aliwahi kumpindishia mtu sheria, au aligongwa na mabeberu moja kwa moja kuchafua taswira ya nchi na wakageuka kumsaidia na kumlazimisha amtukane Rais ambaye sisi wananchi tunaona wazi kua tuna Rais anayetupigania usiku na mchana
NB: inawezekana kabisa mabeberu yamemuwekea hata vinasa sauti na yeye anajua au anahisi, hivyo basi ni lazima kwake kuropoka ropoka ili wamsikie huku yeye pia akilenga mamilioni ya pesa wanayompa yasije yakakata
Tundu ni muhuni tu na siamini kama kuna siku moja MUNGU anaweza kumteua huyu maana hakuna mamlaka inakuja kwa kupiga tu kura isipokua kwa maamuzi ya MUNGU mwenyewe
sasa akiacha kumchokonoa rais ataongea nini jukwaani[emoji38][emoji38][emoji38].
lissu ana akili sana anajua huko hana anachoweza kusimama akakijengea hoja, anachofanya sasa anampa jima baya mbwa ili achukiwe.
nimemsikiliza sehemu anasema rais anajisifu kwa kujenga bwawa la umeme wakati kuna mtera, nikajisemea doh hapa hamna kazi.
huelewekiHuyu kajipanga kuwa mtumwa na tegemezi wa mabeberu,
Kupewa misaada ya ukimwi sio kosa letu ni kosa la watoa misaada kwani wao ndio chanzo cha ugonjwa, wasingeuleta tusingepewa hiyo misaada.
Sisi tuna ardhi kubwa na yenye rutuba, kupewa misaa ya chakula kwa uzembe sio sifa,
Ukiona mtu anakuwa na akiri za kijinga kutokana na makosa ya huko nyuma basi ujuwe hatoshi kuwa Raisi wa taifa linalohitaji kusonga mbele.
Aliwahi kuema raisi JK NYERERE Ni muingo alizoea ungo, leo anajifanya kumtaka kuwa anamheshimu?
Hatari kabisa.
Arafu kuna wajinga na wengine na elimu zao na wana familia zao wamekaa chini wanamshabikia.
Ni wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli.
Lakini kuna mambo machache ningependa kumshauri ayazingatie atakavyoendelea na kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
1. Aache kumshambulia Magufuli binafsi
Naamini kuna watu wengi tu wamemshauri juu ya hili, ni muhimu sana kulizingatia hili. Ni vema kuielekezea mashambulizi serikali kwa ujumla na chama cha CCM badala ya kumshambulia Magufuli.
Hata Magufuli akitaka kurusha vijembe upande wa pili mara nyingi hua hataji majina ya watu. Anaepusha mgongano wa hoja kugeuka kuwa ugomvi binafsi.
2. Ajikite kwenye matatizo yanayowagusa wananchi wengi
Japo kiubinadamu ni ngumu sana kufanya hili ukizingatia yeye binafsi alivyoteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu lakini ajitahidi kuachana na 'personal vendetta' dhidi ya serikali akiwa jukwaani.
Watu hawakuchagui ili ukatimize hasira zako bali ili ukatatue changamoto zao. Kuna mengi ya kuongelea kila sehemu, watumishi, wakulima, wafanya biashara, wahitimu wa vyuo n.k
Lakini pia kuna ukatili wa polisi na kuminywa kwa demokrasia na uhuru, bila kusahau sheria na kanuni za kishenzi za awamu ya 5.
3. Ajizuei kutumia lugha kali
Najua Lissu ni bingwa wa kutibua nyongo za wapinzani wake, namshauri sasa kwakua anawania ofisi ya juu kabisa hapa nchini basi ajitahidi kuongea kama rais mtarajiwa. Lugha za kejeli na kukashifu hazifai kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi.
Ni hayo tu machache, natumaini ujumbe umefika.
#2 kuteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu hili siliamini mpaka kesho,huyu alilengwa na maadui zake tu wala asitudanganye.
Serikali yoyote duniani ilivyo na mkono mrefu iende ikafanye vitu kitoto namna hiyo wapi na wapi,huyu atakua na maadui zake tu huko ndani ya chama,au aliwahi kumpindishia mtu sheria, au aligongwa na mabeberu moja kwa moja kuchafua taswira ya nchi na wakageuka kumsaidia na kumlazimisha amtukane Rais ambaye sisi wananchi tunaona wazi kua tuna Rais anayetupigania usiku na mchana
NB: inawezekana kabisa mabeberu yamemuwekea hata vinasa sauti na yeye anajua au anahisi, hivyo basi ni lazima kwake kuropoka ropoka ili wamsikie huku yeye pia akilenga mamilioni ya pesa wanayompa yasije yakakata
Tundu ni muhuni tu na siamini kama kuna siku moja MUNGU anaweza kumteua huyu maana hakuna mamlaka inakuja kwa kupiga tu kura isipokua kwa maamuzi ya MUNGU mwenyewe
Nani kati ya Lissu na Magufuli ana lugha ngumu yenye kuudhi isiyo na staha?Ni wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli.
Lakini kuna mambo machache ningependa kumshauri ayazingatie atakavyoendelea na kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
1. Aache kumshambulia Magufuli binafsi
Naamini kuna watu wengi tu wamemshauri juu ya hili, ni muhimu sana kulizingatia hili. Ni vema kuielekezea mashambulizi serikali kwa ujumla na chama cha CCM badala ya kumshambulia Magufuli.
Hata Magufuli akitaka kurusha vijembe upande wa pili mara nyingi hua hataji majina ya watu. Anaepusha mgongano wa hoja kugeuka kuwa ugomvi binafsi.
2. Ajikite kwenye matatizo yanayowagusa wananchi wengi
Japo kiubinadamu ni ngumu sana kufanya hili ukizingatia yeye binafsi alivyoteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu lakini ajitahidi kuachana na 'personal vendetta' dhidi ya serikali akiwa jukwaani.
Watu hawakuchagui ili ukatimize hasira zako bali ili ukatatue changamoto zao. Kuna mengi ya kuongelea kila sehemu, watumishi, wakulima, wafanya biashara, wahitimu wa vyuo n.k
Lakini pia kuna ukatili wa polisi na kuminywa kwa demokrasia na uhuru, bila kusahau sheria na kanuni za kishenzi za awamu ya 5.
3. Ajizuei kutumia lugha kali
Najua Lissu ni bingwa wa kutibua nyongo za wapinzani wake, namshauri sasa kwakua anawania ofisi ya juu kabisa hapa nchini basi ajitahidi kuongea kama rais mtarajiwa. Lugha za kejeli na kukashifu hazifai kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi.
Ni hayo tu machache, natumaini ujumbe umefika.
Vipi kulikuwa na mafuriko?Comrade vipo jana Nec walifungua ofisi zao za Dodoma?