Uchaguzi 2020 Ushauri muhimu sana kwa Tundu Lissu tukielekea Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Ushauri muhimu sana kwa Tundu Lissu tukielekea Oktoba 2020

Kwa kweli kama nayoyaona mitandaoni ndo uhalisia wa kinachoenda kutokea basi Lissu ajipange aisee. Raia hawamtaki kabisa kila hotuba yake ikipostiwa mtandaoni kwenye comment 400, rono tatu zote zinamtukana na kumdhihaki. Lissu komaa mzee baba raia mitandaoni hawakuelewi kabisa sijui mitaani
 
Ni wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli.

Lakini kuna mambo machache ningependa kumshauri ayazingatie atakavyoendelea na kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

1. Aache kumshambulia Magufuli binafsi
Naamini kuna watu wengi tu wamemshauri juu ya hili, ni muhimu sana kulizingatia hili. Ni vema kuielekezea mashambulizi serikali kwa ujumla na chama cha CCM badala ya kumshambulia Magufuli.

Hata Magufuli akitaka kurusha vijembe upande wa pili mara nyingi hua hataji majina ya watu. Anaepusha mgongano wa hoja kugeuka kuwa ugomvi binafsi.

2. Ajikite kwenye matatizo yanayowagusa wananchi wengi
Japo kiubinadamu ni ngumu sana kufanya hili ukizingatia yeye binafsi alivyoteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu lakini ajitahidi kuachana na 'personal vendetta' dhidi ya serikali akiwa jukwaani.

Watu hawakuchagui ili ukatimize hasira zako bali ili ukatatue changamoto zao. Kuna mengi ya kuongelea kila sehemu, watumishi, wakulima, wafanya biashara, wahitimu wa vyuo n.k

Lakini pia kuna ukatili wa polisi na kuminywa kwa demokrasia na uhuru, bila kusahau sheria na kanuni za kishenzi za awamu ya 5.

3. Ajizuei kutumia lugha kali
Najua Lissu ni bingwa wa kutibua nyongo za wapinzani wake, namshauri sasa kwakua anawania ofisi ya juu kabisa hapa nchini basi ajitahidi kuongea kama rais mtarajiwa. Lugha za kejeli na kukashifu hazifai kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi.

Ni hayo tu machache, natumaini ujumbe umefika.
Naona chuma kimewashika mataga wote sasa mnaweweseka kama mmepigwa ngumi na yule WWE SUPER MAN PUNCH... ROMAN REIGNS
 
Lisu hawezi kampeni bila kunshambulia Magufuli sababu hana sera.

Pia tujue hata kwa mtu yeyote aliepata tukio kama la Lisu lazima akili iyumbe kidogo.
 
#2 kuteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu hili siliamini mpaka kesho,huyu alilengwa na maadui zake tu wala asitudanganye.

Serikali yoyote duniani ilivyo na mkono mrefu iende ikafanye vitu kitoto namna hiyo wapi na wapi,huyu atakua na maadui zake tu huko ndani ya chama,au aliwahi kumpindishia mtu sheria, au aligongwa na mabeberu moja kwa moja kuchafua taswira ya nchi na wakageuka kumsaidia na kumlazimisha amtukane Rais ambaye sisi wananchi tunaona wazi kua tuna Rais anayetupigania usiku na mchana

NB: inawezekana kabisa mabeberu yamemuwekea hata vinasa sauti na yeye anajua au anahisi, hivyo basi ni lazima kwake kuropoka ropoka ili wamsikie huku yeye pia akilenga mamilioni ya pesa wanayompa yasije yakakata

Tundu ni muhuni tu na siamini kama kuna siku moja MUNGU anaweza kumteua huyu maana hakuna mamlaka inakuja kwa kupiga tu kura isipokua kwa maamuzi ya MUNGU mwenyewe
Mungu ndiyo kaizuia hiyo mikono yako mirefu unayoamini itaua kila binadamu hata kama mungu hajawa tayari kumwita mwanadamu, mungu hayupo CCM hata siku moja na mungu hayupo kwako wewe unayepotosha kuwa Tundu lisu alishambuliwa na watu wengine wakati report ya CIA FBI na wakala zao walipo Tanzania wanasema aliyekwenda kumpiga risasi Tundu lisu ni Bashite na kikundi chake, usifikiri chadema hawajui ni nani walimshambulia Lisu, CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga wa CCM huwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
 
Ni wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli.

Lakini kuna mambo machache ningependa kumshauri ayazingatie atakavyoendelea na kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

1. Aache kumshambulia Magufuli binafsi
Naamini kuna watu wengi tu wamemshauri juu ya hili, ni muhimu sana kulizingatia hili. Ni vema kuielekezea mashambulizi serikali kwa ujumla na chama cha CCM badala ya kumshambulia Magufuli.

Hata Magufuli akitaka kurusha vijembe upande wa pili mara nyingi hua hataji majina ya watu. Anaepusha mgongano wa hoja kugeuka kuwa ugomvi binafsi.

2. Ajikite kwenye matatizo yanayowagusa wananchi wengi
Japo kiubinadamu ni ngumu sana kufanya hili ukizingatia yeye binafsi alivyoteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu lakini ajitahidi kuachana na 'personal vendetta' dhidi ya serikali akiwa jukwaani.

Watu hawakuchagui ili ukatimize hasira zako bali ili ukatatue changamoto zao. Kuna mengi ya kuongelea kila sehemu, watumishi, wakulima, wafanya biashara, wahitimu wa vyuo n.k

Lakini pia kuna ukatili wa polisi na kuminywa kwa demokrasia na uhuru, bila kusahau sheria na kanuni za kishenzi za awamu ya 5.

3. Ajizuei kutumia lugha kali
Najua Lissu ni bingwa wa kutibua nyongo za wapinzani wake, namshauri sasa kwakua anawania ofisi ya juu kabisa hapa nchini basi ajitahidi kuongea kama rais mtarajiwa. Lugha za kejeli na kukashifu hazifai kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi.

Ni hayo tu machache, natumaini ujumbe umefika.
Jiwe alizuia siasa miaka 5, akabaki yeye tu anayefanya siasa/vijembe/vitisho

Watu wana nyongo sana, mtoa mada huu ni mwanzo tu subiri kipenga kipurizwe, kina Halima, Lema, Heche watakavyomsurubu jiwe
 
Ni wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli.

Lakini kuna mambo machache ningependa kumshauri ayazingatie atakavyoendelea na kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

1. Aache kumshambulia Magufuli binafsi
Naamini kuna watu wengi tu wamemshauri juu ya hili, ni muhimu sana kulizingatia hili. Ni vema kuielekezea mashambulizi serikali kwa ujumla na chama cha CCM badala ya kumshambulia Magufuli.

Hata Magufuli akitaka kurusha vijembe upande wa pili mara nyingi hua hataji majina ya watu. Anaepusha mgongano wa hoja kugeuka kuwa ugomvi binafsi.

2. Ajikite kwenye matatizo yanayowagusa wananchi wengi
Japo kiubinadamu ni ngumu sana kufanya hili ukizingatia yeye binafsi alivyoteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu lakini ajitahidi kuachana na 'personal vendetta' dhidi ya serikali akiwa jukwaani.

Watu hawakuchagui ili ukatimize hasira zako bali ili ukatatue changamoto zao. Kuna mengi ya kuongelea kila sehemu, watumishi, wakulima, wafanya biashara, wahitimu wa vyuo n.k

Lakini pia kuna ukatili wa polisi na kuminywa kwa demokrasia na uhuru, bila kusahau sheria na kanuni za kishenzi za awamu ya 5.

3. Ajizuei kutumia lugha kali
Najua Lissu ni bingwa wa kutibua nyongo za wapinzani wake, namshauri sasa kwakua anawania ofisi ya juu kabisa hapa nchini basi ajitahidi kuongea kama rais mtarajiwa. Lugha za kejeli na kukashifu hazifai kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi.

Ni hayo tu machache, natumaini ujumbe umefika.
Kweli mkuu, umeongea fact, mi binafsi namkubali sana lisu, sema pia akuongea aache kuongea kama anajazba hivi,
 
Jiwe alizuia siasa miaka 5, akabaki yeye tu anayefanya siasa/vijembe/vitisho

Watu wana nyongo sana, mtoa mada huu ni mwanzo tu subiri kipenga kipurizwe, kina Halima, Lema, Heche watakavyomsurubu jiwe
Ndani ya miaka mitano alipozuia siasa amefanya madhambi mengi mno na mengi anajua ni siri yake lakini hajui kuwa Tanzania hakunaga siri na wale wote watakaochujwa na kamati kuu ya CCM huko Dodoma wataleta vingi zaidi, ajiandae kusikia kila baya alilotenda likianikwa live.
 
Back
Top Bottom