Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Vipi mafuriko yalikuwepo?Comrade hakuamini kilichotokea Jana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mafuriko yalikuwepo?Comrade hakuamini kilichotokea Jana.
Naona chuma kimewashika mataga wote sasa mnaweweseka kama mmepigwa ngumi na yule WWE SUPER MAN PUNCH... ROMAN REIGNSNi wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli.
Lakini kuna mambo machache ningependa kumshauri ayazingatie atakavyoendelea na kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
1. Aache kumshambulia Magufuli binafsi
Naamini kuna watu wengi tu wamemshauri juu ya hili, ni muhimu sana kulizingatia hili. Ni vema kuielekezea mashambulizi serikali kwa ujumla na chama cha CCM badala ya kumshambulia Magufuli.
Hata Magufuli akitaka kurusha vijembe upande wa pili mara nyingi hua hataji majina ya watu. Anaepusha mgongano wa hoja kugeuka kuwa ugomvi binafsi.
2. Ajikite kwenye matatizo yanayowagusa wananchi wengi
Japo kiubinadamu ni ngumu sana kufanya hili ukizingatia yeye binafsi alivyoteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu lakini ajitahidi kuachana na 'personal vendetta' dhidi ya serikali akiwa jukwaani.
Watu hawakuchagui ili ukatimize hasira zako bali ili ukatatue changamoto zao. Kuna mengi ya kuongelea kila sehemu, watumishi, wakulima, wafanya biashara, wahitimu wa vyuo n.k
Lakini pia kuna ukatili wa polisi na kuminywa kwa demokrasia na uhuru, bila kusahau sheria na kanuni za kishenzi za awamu ya 5.
3. Ajizuei kutumia lugha kali
Najua Lissu ni bingwa wa kutibua nyongo za wapinzani wake, namshauri sasa kwakua anawania ofisi ya juu kabisa hapa nchini basi ajitahidi kuongea kama rais mtarajiwa. Lugha za kejeli na kukashifu hazifai kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi.
Ni hayo tu machache, natumaini ujumbe umefika.
Mh Lissu kamwe hana muda wa kumwelewa zuzu wa lumumbaSidhani kama atakuelewa!
Ushamfukuza jamvini tayariComrade vipo jana Nec walifungua ofisi zao za Dodoma?
Naona tumeanza kuelewana kidogo kidogo, tutaelewana tuAjitahidi aelewe, hayuko kwenye ugomvi binafsi na Magufuli. Yuko kwenye uchaguzi, ajikite kwenye kuuza sera za chama.
Ina maana wewe ni jambazi?Nilimuuliza Kaijage akaniambia Lisu anasumbulwa kisaikolojia na mazingira ya Dodoma kufuatia lile shambulio la majambazi na kwamba NEC wanaamini katika utu so jana walienda ofisini kwa kujitolea!
Wewe ndio huwa unakimbia.Ushamfukuza jamvini tayari
Wale waliogonga ngoko za Freeman hadi anatembelea fimbo!Ina maana wewe ni jambazi?
Mungu ndiyo kaizuia hiyo mikono yako mirefu unayoamini itaua kila binadamu hata kama mungu hajawa tayari kumwita mwanadamu, mungu hayupo CCM hata siku moja na mungu hayupo kwako wewe unayepotosha kuwa Tundu lisu alishambuliwa na watu wengine wakati report ya CIA FBI na wakala zao walipo Tanzania wanasema aliyekwenda kumpiga risasi Tundu lisu ni Bashite na kikundi chake, usifikiri chadema hawajui ni nani walimshambulia Lisu, CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga wa CCM huwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike#2 kuteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu hili siliamini mpaka kesho,huyu alilengwa na maadui zake tu wala asitudanganye.
Serikali yoyote duniani ilivyo na mkono mrefu iende ikafanye vitu kitoto namna hiyo wapi na wapi,huyu atakua na maadui zake tu huko ndani ya chama,au aliwahi kumpindishia mtu sheria, au aligongwa na mabeberu moja kwa moja kuchafua taswira ya nchi na wakageuka kumsaidia na kumlazimisha amtukane Rais ambaye sisi wananchi tunaona wazi kua tuna Rais anayetupigania usiku na mchana
NB: inawezekana kabisa mabeberu yamemuwekea hata vinasa sauti na yeye anajua au anahisi, hivyo basi ni lazima kwake kuropoka ropoka ili wamsikie huku yeye pia akilenga mamilioni ya pesa wanayompa yasije yakakata
Tundu ni muhuni tu na siamini kama kuna siku moja MUNGU anaweza kumteua huyu maana hakuna mamlaka inakuja kwa kupiga tu kura isipokua kwa maamuzi ya MUNGU mwenyewe
Jiwe alizuia siasa miaka 5, akabaki yeye tu anayefanya siasa/vijembe/vitishoNi wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli.
Lakini kuna mambo machache ningependa kumshauri ayazingatie atakavyoendelea na kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
1. Aache kumshambulia Magufuli binafsi
Naamini kuna watu wengi tu wamemshauri juu ya hili, ni muhimu sana kulizingatia hili. Ni vema kuielekezea mashambulizi serikali kwa ujumla na chama cha CCM badala ya kumshambulia Magufuli.
Hata Magufuli akitaka kurusha vijembe upande wa pili mara nyingi hua hataji majina ya watu. Anaepusha mgongano wa hoja kugeuka kuwa ugomvi binafsi.
2. Ajikite kwenye matatizo yanayowagusa wananchi wengi
Japo kiubinadamu ni ngumu sana kufanya hili ukizingatia yeye binafsi alivyoteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu lakini ajitahidi kuachana na 'personal vendetta' dhidi ya serikali akiwa jukwaani.
Watu hawakuchagui ili ukatimize hasira zako bali ili ukatatue changamoto zao. Kuna mengi ya kuongelea kila sehemu, watumishi, wakulima, wafanya biashara, wahitimu wa vyuo n.k
Lakini pia kuna ukatili wa polisi na kuminywa kwa demokrasia na uhuru, bila kusahau sheria na kanuni za kishenzi za awamu ya 5.
3. Ajizuei kutumia lugha kali
Najua Lissu ni bingwa wa kutibua nyongo za wapinzani wake, namshauri sasa kwakua anawania ofisi ya juu kabisa hapa nchini basi ajitahidi kuongea kama rais mtarajiwa. Lugha za kejeli na kukashifu hazifai kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi.
Ni hayo tu machache, natumaini ujumbe umefika.
Hoja ni zilezile mkuu, hata ungechukua Counter book Quire 3Muda wa kumwaga Sera Bado weweee.tulia rafiki utachukua karamu na karatasi upate somo.
Kweli mkuu, umeongea fact, mi binafsi namkubali sana lisu, sema pia akuongea aache kuongea kama anajazba hivi,Ni wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli.
Lakini kuna mambo machache ningependa kumshauri ayazingatie atakavyoendelea na kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
1. Aache kumshambulia Magufuli binafsi
Naamini kuna watu wengi tu wamemshauri juu ya hili, ni muhimu sana kulizingatia hili. Ni vema kuielekezea mashambulizi serikali kwa ujumla na chama cha CCM badala ya kumshambulia Magufuli.
Hata Magufuli akitaka kurusha vijembe upande wa pili mara nyingi hua hataji majina ya watu. Anaepusha mgongano wa hoja kugeuka kuwa ugomvi binafsi.
2. Ajikite kwenye matatizo yanayowagusa wananchi wengi
Japo kiubinadamu ni ngumu sana kufanya hili ukizingatia yeye binafsi alivyoteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu lakini ajitahidi kuachana na 'personal vendetta' dhidi ya serikali akiwa jukwaani.
Watu hawakuchagui ili ukatimize hasira zako bali ili ukatatue changamoto zao. Kuna mengi ya kuongelea kila sehemu, watumishi, wakulima, wafanya biashara, wahitimu wa vyuo n.k
Lakini pia kuna ukatili wa polisi na kuminywa kwa demokrasia na uhuru, bila kusahau sheria na kanuni za kishenzi za awamu ya 5.
3. Ajizuei kutumia lugha kali
Najua Lissu ni bingwa wa kutibua nyongo za wapinzani wake, namshauri sasa kwakua anawania ofisi ya juu kabisa hapa nchini basi ajitahidi kuongea kama rais mtarajiwa. Lugha za kejeli na kukashifu hazifai kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi.
Ni hayo tu machache, natumaini ujumbe umefika.
Ndani ya miaka mitano alipozuia siasa amefanya madhambi mengi mno na mengi anajua ni siri yake lakini hajui kuwa Tanzania hakunaga siri na wale wote watakaochujwa na kamati kuu ya CCM huko Dodoma wataleta vingi zaidi, ajiandae kusikia kila baya alilotenda likianikwa live.Jiwe alizuia siasa miaka 5, akabaki yeye tu anayefanya siasa/vijembe/vitisho
Watu wana nyongo sana, mtoa mada huu ni mwanzo tu subiri kipenga kipurizwe, kina Halima, Lema, Heche watakavyomsurubu jiwe
Ok kumbe na wewe ulikuwepo kwenye hilo genge la mahafamia?Wale waliogonga ngoko za Freeman hadi anatembelea fimbo!
Mda wa kampeni bado inabidi Tundu lisu aanze kumchanganya mtukufu mapemaKweli mkuu, umeongea fact, mi binafsi namkubali sana lisu, sema pia akuongea aache kuongea kama anajazba hivi,
Dawa imekuingia maungoniWewe ndio huwa unakimbia.
Huwezi kumkimbia mtu mstaarabu kama Daudi Mchambuzi!
Waliompiga mbowe ni lijuakali na Msukuma walivaa mask wakamshambulia na kutokomea mle mle kwenye majengo ya wanayoishiOk kumbe na wewe ulikuwepo kwenye hilo genge la mahafamia?
ilani ipo na yapo mengi mno ya kuwambia wananchi subiria kampeni zianze utasikia kila baya la mtukufuUnaamini Lisu atainadi Ilani ya Chadema?!
Au ataishia kulalamika na kuikejeli CCM?