Uchaguzi 2020 Ushauri muhimu sana kwa Tundu Lissu tukielekea Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Ushauri muhimu sana kwa Tundu Lissu tukielekea Oktoba 2020

mwarobaini_,

Mleta mada Mbona hujielewi. Lissu jana kaongelea matatizo ya wakulima ya kuachwa wazalishwe kwa shida alafu wanapangiwa bei na mahali pa kuuza, hukusikia? Na alisema akiwa yeye raisi hilo halitakuwepo?

Lissu jana kaongelea maslahi duni ya watumishi wa afya na akasema akiingia madarakani ataboresha maslahi ya watumishi wa afya. Sio tu kujenga majengo na kununua vifaa. Hukusikia?

Lissu jana kasema ataboresha mahusiano ya kimataifa akiingia madarakani. Au haukusikia? Aliponda Sera za magufuli za kuwadhihaki marafiki zetu wa kweli na watu wanaotusaidia kweli. Wewe hukusikia hilo?

Kama una chuki na Lissu kanywe tu maji ila Lissu anapiga kunako!!! Jiandaeni tu!
 
Kwani usipomtaja mtu ndio hutajua anayezungumzwa ni nani! Kwahiyo unaruhusu yote yasemwe ila tusitajane majina!
Cha muhimu ni kujikita zaidi kwenye sera badala ya kumshambulia mtu.
Lakini ikilazimu kurusha vijembe kidogo (jambo ambalo sio zuri) basi asitaje majina ya watu.
 
Ni wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli.

Lakini kuna mambo machache ningependa kumshauri ayazingatie atakavyoendelea na kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

1. Aache kumshambulia Magufuli binafsi. Naamini kuna watu wengi tu wamemshauri juu ya hili, ni muhimu sana kulizingatia hili. Ni vema kuielekezea mashambulizi serikali kwa ujumla na chama cha CCM badala ya kumshambulia Magufuli.

Hata Magufuli akitaka kurusha vijembe upande wa pili mara nyingi hua hataji majina ya watu. Anaepusha mgongano wa hoja kugeuka kuwa ugomvi binafsi.

2. Ajikite kwenye matatizo yanayowagusa wananchi wengi.
Japo kiubinadamu ni ngumu sana kufanya hili ukizingatia yeye binafsi alivyoteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu lakini ajitahidi kuachana na 'personal vendetta' dhidi ya serikali akiwa jukwaani.

Watu hawakuchagui ili ukatimize hasira zako bali ili ukatatue changamoto zao. Kuna mengi ya kuongelea kila sehemu, watumishi, wakulima, wafanya biashara, wahitimu wa vyuo n.k
Lakini pia kuna ukatili wa polisi na kuminywa kwa demokrasia na uhuru, bila kusahau sheria na kanuni za kishenzi za awamu ya 5.

3. Ajizuei kutumia lugha kali.
Najua Lissu ni bingwa wa kutibua nyongo za wapinzani wake, namshauri sasa kwakua anawania ofisi ya juu kabisa hapa nchini basi ajitahidi kuongea kama rais mtarajiwa. Lugha za kejeli na kukashifu hazifai kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi.

Ni hayo tu machache, natumaini ujumbe umefika.

Kwamba Lissu hajui kuwa anayehitajika ni:

IMG_20200804_210728_515.jpg


?

Mbona itakuwa kutojitendea haki mwenyewe?

Kuwa Lissu hadi sasa hana wana mikakati mahiri wa caliber za akina Membe au kina Axelrod?

David Axelrod (political consultant) - Wikipedia

Mbona pia itakuwa ni kujilisha upepo?

Ingekuwa CCM tungesema CCM mbele kwa mbele.
 
mwarobaini_,

Mleta mada Mbona hujielewi. Lissu jana kaongelea matatizo ya wakulima ya kuachwa wazalishwe kwa shida alafu wanapangiwa bei na mahali pa kuuza, hukusikia? Na alisema akiwa yeye raisi hilo halitakuwepo?

Lissu jana kaongelea maslahi duni ya watumishi wa afya na akasema akiingia madarakani ataboresha maslahi ya watumishi wa afya. Sio tu kujenga majengo na kununua vifaa. Hukusikia?

Lissu jana kasema ataboresha mahusiano ya kimataifa akiingia madarakani. Au haukusikia? Aliponda Sera za magufuli za kuwadhihaki marafiki zetu wa kweli na watu wanaotusaidia kweli. Wewe hukusikia hilo?

Kama una chuki na Lissu kanywe tu maji ila Lissu anapiga kunako!!! Jiandaeni tu!
Sina chuki na Lissu, na nimefurahia kurejea kwake. Lakini sote tunazijua siasa za Lissu, ndio maana tunashauri. Ushauri sio hukumu ya mahakama kwamba lazima ufuatwe.
 
Sina chuki na Lissu, na nimefurahia kurejea kwake. Lakini sote tunazijua siasa za Lissu, ndio maana tunashauri. Ushauri sio hukumu ya mahakama kwamba lazima ufuatwe.

Pamoja na yote si haba kutambua kuwa Lissu hawezi kuwa 'that cheap' kama wengine wanavyotaka kudhani na hata kufikiria kuwa wangeweza kuwa better.

Huyu bwana alishambuliwa kwa risasi na wanaomhofia. Kwa kuhofiwa kwake tu alishambuliwa. Kwa thamani yake jitihada zote zilifanyika kumwokoa.

Kwamba alirejea kama alivyo rejea, na sasa ndiyo huyo yuko hapo alipo, itakuwa kujidanganya mno kwa awaye yote kujidhania angeweza kuwa better kuliko Lissu. Au hata kuja na hoja nyepesi nyepesi kwa jina la ushauri.

Yasije kuwa ya Taifa Star kuishauri Brazil namna ya kuchukua kombe la dunia pamoja na kuwa ushauri si hukumu eti kuwa si lazima kuuchukua!
 
Ni wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli.

Lakini kuna mambo machache ningependa kumshauri ayazingatie atakavyoendelea na kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

1. Aache kumshambulia Magufuli binafsi
Naamini kuna watu wengi tu wamemshauri juu ya hili, ni muhimu sana kulizingatia hili. Ni vema kuielekezea mashambulizi serikali kwa ujumla na chama cha CCM badala ya kumshambulia Magufuli.

Hata Magufuli akitaka kurusha vijembe upande wa pili mara nyingi hua hataji majina ya watu. Anaepusha mgongano wa hoja kugeuka kuwa ugomvi binafsi.

2. Ajikite kwenye matatizo yanayowagusa wananchi wengi
Japo kiubinadamu ni ngumu sana kufanya hili ukizingatia yeye binafsi alivyoteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu lakini ajitahidi kuachana na 'personal vendetta' dhidi ya serikali akiwa jukwaani.

Watu hawakuchagui ili ukatimize hasira zako bali ili ukatatue changamoto zao. Kuna mengi ya kuongelea kila sehemu, watumishi, wakulima, wafanya biashara, wahitimu wa vyuo n.k

Lakini pia kuna ukatili wa polisi na kuminywa kwa demokrasia na uhuru, bila kusahau sheria na kanuni za kishenzi za awamu ya 5.

3. Ajizuei kutumia lugha kali
Najua Lissu ni bingwa wa kutibua nyongo za wapinzani wake, namshauri sasa kwakua anawania ofisi ya juu kabisa hapa nchini basi ajitahidi kuongea kama rais mtarajiwa. Lugha za kejeli na kukashifu hazifai kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi.

Ni hayo tu machache, natumaini ujumbe umefika.
Namba 1 na 2 ndicho hasa Magu anastahili kufanyiwa. HasaHasa Ndicho kinachomstahili.
 
lazime amshambulie magufuri binafsi. si ndo mshindani wake, au unafiri magufuri anaposemaga serikali yake? urais wake? anakuwa kanywa pombe zake.
 
Ni wazi kuwa Lissu amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wananchi kwa miaka mingi, pia ni wazi kuwa kwa sasa yeye ndiye mwanasiasa pekee wa upinzani mwenye uwezo wa kumtikisa Magufuli.

Lakini kuna mambo machache ningependa kumshauri ayazingatie atakavyoendelea na kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

1. Aache kumshambulia Magufuli binafsi
Naamini kuna watu wengi tu wamemshauri juu ya hili, ni muhimu sana kulizingatia hili. Ni vema kuielekezea mashambulizi serikali kwa ujumla na chama cha CCM badala ya kumshambulia Magufuli.

Hata Magufuli akitaka kurusha vijembe upande wa pili mara nyingi hua hataji majina ya watu. Anaepusha mgongano wa hoja kugeuka kuwa ugomvi binafsi.

2. Ajikite kwenye matatizo yanayowagusa wananchi wengi
Japo kiubinadamu ni ngumu sana kufanya hili ukizingatia yeye binafsi alivyoteswa na kulengwa moja kwa moja na utawala huu lakini ajitahidi kuachana na 'personal vendetta' dhidi ya serikali akiwa jukwaani.

Watu hawakuchagui ili ukatimize hasira zako bali ili ukatatue changamoto zao. Kuna mengi ya kuongelea kila sehemu, watumishi, wakulima, wafanya biashara, wahitimu wa vyuo n.k

Lakini pia kuna ukatili wa polisi na kuminywa kwa demokrasia na uhuru, bila kusahau sheria na kanuni za kishenzi za awamu ya 5.

3. Ajizuei kutumia lugha kali
Najua Lissu ni bingwa wa kutibua nyongo za wapinzani wake, namshauri sasa kwakua anawania ofisi ya juu kabisa hapa nchini basi ajitahidi kuongea kama rais mtarajiwa. Lugha za kejeli na kukashifu hazifai kutolewa na kiongozi mkuu wa nchi.

Ni hayo tu machache, natumaini ujumbe umefika.

Hana uwezo wa kuliepuka hilo, na siku akiacha washabiki wake wataona anawasaliti,
Bila kumtaja magufuli hana kitu kingine anaweza kusema ambacho yeye atakuwa wa kwanza kukisema hapa duniani.

Anasema amgufuli anajenga bwawa na kwamba sio wa kwanza kujenga hilo bwawa, eti kuna mabwawa mengi yalijengwa, je yalimaliza matatizo?
Je yeye akiingia madarakani atatoa vitu vya kufanya hapa tanzania kutoka mbinguni ili vionekane tofauti na vilivyopo?

Ni kipi yeye atafanya ambacho hakipo tanzania au hapa duniani?
Je atajenga hospitali angani au?
Je atanunua ndege za kkukimbia ardhini bila kuruka?
Je yeye atafanya nni ambacho hakijafanyika hapa tanzania?
AU atahalalisha ushoga kwenye katiba?

Akumbuke kwamba hayo mabwawa yalijengwa na chama cha mapinduzi na magufuli anaendeleza kwa hali ya sasa na ijayo kulingana na mahitaji ya watu hivyo basi hakuna haja ya kuweka chama kingine kwa kuwa hakina jipya kitakacholeta kwenye ardhi hii hata wapate uongozi wataendeleza vilivyoanzishwa na CCM.

Hapa ni ushauli tu kama anataka vitu vipya basi akasome hapa
1, reli ya ndni ya maji
2 jutengeneza submarine ,
3 kutengenez hizo ndege tanzania
4, viwanda vikubwa vya magari
5, tecknorojia ya anga
6,mabarabara ndani ya maji.
7, nk
Hapo atweza kuonyesha utofauti na chma caha CCM.
 
Hana uwezo wa kuliepuka hilo, na siku akiacha washabiki wake wataona anawasaliti,
Bila kumtaja magufuli hana kitu kingine anaweza kusema ambacho yeye atakuwa wa kwanza kukisema hapa duniani.

Anasema amgufuli anajenga bwawa na kwamba sio wa kwanza kujenga hilo bwawa, eti kuna mabwawa mengi yalijengwa, je yalimaliza matatizo?
Je yeye akiingia madarakani atatoa vitu vya kufanya hapa tanzania kutoka mbinguni ili vionekane tofauti na vilivyopo?

Ni kipi yeye atafanya ambacho hakipo tanzania au hapa duniani?
Je atajenga hospitali angani au?
Je atanunua ndege za kkukimbia ardhini bila kuruka?
Je yeye atafanya nni ambacho hakijafanyika hapa tanzania?
AU atahalalisha ushoga kwenye katiba?

Akumbuke kwamba hayo mabwawa yalijengwa na chama cha mapinduzi na magufuli anaendeleza kwa hali ya sasa na ijayo kulingana na mahitaji ya watu hivyo basi hakuna haja ya kuweka chama kingine kwa kuwa hakina jipya kitakacholeta kwenye ardhi hii hata wapate uongozi wataendeleza vilivyoanzishwa na CCM.

Hapa ni ushauli tu kama anataka vitu vipya basi akasome hapa
1, reli ya ndni ya maji
2 jutengeneza submarine ,
3 kutengenez hizo ndege tanzania
4, viwanda vikubwa vya magari
5, tecknorojia ya anga
6,mabarabara ndani ya maji.
7, nk
Hapo atweza kuonyesha utofauti na chma caha CCM.
ujinga haujaisha, tunataka kufuta ujinga wa namna yako kwanza,
 
Back
Top Bottom