Uchaguzi 2020 Ushauri muhimu sana kwa Tundu Lissu tukielekea Oktoba 2020

Ni kweli kabisa, kwa muundo wa serikali yetu kile kinachofanywa na serikali kina akisi moja kwa moja msimamo wa rais. Lakini ni vema kuikosoa serikali ya CCM na kuinadi serikali mbadala ya CDM.
Hapana wacha ashambuliwe yeye binafsi,kwa sababu wakati wa kampeni alikua anajinadi kuwa tumchague ajenge serikali mpya serikali ya Magufuli,Tanzania ya Magufuli Hadi Mkapa akamuonya sio serikali yake Ni ya CCm.
Wacha tu aambiwe yeye.
Ni serikali ya Magufuli,Tanzania ya Magufuli kwa sauti yake alisikika.
 
Hahahaha unenikumbusha ya Menbe anaogopa hata kutaja jina wala chama anasema anataka kumtoa bwana yule na chama kile sjui huwa anamaanisha nini
 
Hahahaha unenikumbusha ya Menbe anaogopa hata kutaja jina wala chama anasema anataka kumtoa bwana yule na chama kile sjui huwa anamaanisha nini
😂😂😂😂
Membe anaujua uzito wa mambo haya, kuna maisha baada ya uchaguzi.
 
Hilo hata Mimi nimeliona aache Mara moja kumshambulia Magufuli aje na Sera zake za maana wananchi watamuelewa hasira kejeli hazitamsaidia atawakosesha Chadema mpaka wabunge wakae nae chini wampike kisawa sawa kabla kampeni hazijaanza
 
yule jamaa ni mnafki sana, kazi kutwa kuchwa kupenda sifa

Huyu kajipanga kuwa mtumwa na tegemezi wa mabeberu,
Kupewa misaada ya ukimwi sio kosa letu ni kosa la watoa misaada kwani wao ndio chanzo cha ugonjwa, wasingeuleta tusingepewa hiyo misaada.
Sisi tuna ardhi kubwa na yenye rutuba, kupewa misaada ya chakula kwa uzembe sio sifa,
Ukiona mtu anakuwa na akiri za kijinga kutokana na makosa ya huko nyuma basi ujuwe hatoshi kuwa Raisi wa taifa linalohitaji kusonga mbele.
Aliwahi kuema raisi JK NYERERE Ni muongo alizoea uongo, leo anajifanya kutaka kuwa anamheshimu?
Hatari kabisa.
Arafu kuna wajinga na wengine na elimu zao na wana familia zao wamekaa chini wanamshabikia.
 
sasa akiacha kumchokonoa rais ataongea nini jukwaani[emoji38][emoji38][emoji38].

lissu ana akili sana anajua huko hana anachoweza kusimama akakijengea hoja, anachofanya sasa anampa jima baya mbwa ili achukiwe.

nimemsikiliza sehemu anasema rais anajisifu kwa kujenga bwawa la umeme wakati kuna mtera, nikajisemea doh hapa hamna kazi.
 
Muda wa kumwaga Sera Bado weweee.tulia rafiki utachukua karamu na karatasi upate somo.

Bahati nzuri amesema vitu anavyofanya Magufuli sio wa kwanza kuvifanya sasa tunasubili yeye aje na vya kwake ambavyo havijafanyika hapa tanzania.
 
Huo mkono mrefu umeshindwa kuwajua au kuwakamata hao maadui wa lissu waliopo ndani ya chama au mabeberu wanaoichafua serikal tukufu?

Au hao maadui zake eti "aliwahi kuwapindishia sheria" , lissu ni hakimu au jaji?
 

Kumbe na wewe umeliona hilo?
Sasa tunasubili sera zake yeye ataleta vitu vipi ambavyo havijaanzishwa hapa TZ
 
hueleweki
 

Ushauri wako ni mzuri sana na ninategemea utafanyiwa kazi. Ila ninapenda kuboresha sehemu kadhaa kwenye ushauri wako.
  1. Ni kweli aishambulie zaidi ccm na serikali. Lakini itakuwa ngumu moja kwa moja kwa kutomahambulia Magufuli, maana Magufuli yeye binafsi kajigeuza ndio ccm na ndio serikali. Kama yeye binafsi anajitahidi kujiweka kuwa juu ya hizo taasisi na anataka sifa ziwe kwake kwanza,kisha taasisi, unamtengaje hapo na mashambulizi direct?
  2. Ushauri wako hapa uko sahihi kwa 100%
  3. Lugha kali kwa sasa zinatisha watu, kutokana na saikolojia ya hofu iliyojengwa na awamu hii ya tano. Kuna aina fulani ya ukondoo watanzania wamejengewa kimfumo wa kutaka kuonyeshwa utawala uliopo uko sahihi, na wala hakuna haja ya kuhoji wala kukosoa, na iwapo utafanya hayo, basi iwe kwa lugha ya kubembeleza. Enzi za kina Mtikila waliongea lugha kali zaidi ya hizi na hakukuwa na tatizo lolote. Unapotaka kushindana na mtu kama Magufuli, hupaswi kutumia lugha laini kama unatongoza, lazima utumie lugha ya kupandisha saikolojia ya watu wako kuwa unajiamini. Pepo huwa anakemewa, sio mambo ya " na ww pepo si utoke jamani, mbona uko hivyo?"
 

Beberu gani ana shida na Tanzania? Sisi bado tuko kwenye hatua ya kunawa mikono baada ya kutoka chooni, ndio wa kuwasumbua hao mabeberu? Mabeberu waache kudeal na nchi ziliko kwenye hatua ya kutengeneza nyuklia, ndio waje wahangaike na watu wanaoshangilia kwa vifijo kuwa rais kapewa jogoo huko porini?

Ni kweli serikali ina mkono mrefu, lakini ni mkono ulioopoza au huo urefu wake ni wa kuwakomoa wasiomsujidia jiwe. Hayo anayosema Lisu kuhusu shambulio lake yako hivyo hivyo mpaka uchunguzi ufanyike na ukweli uwe hadharani.
 
Nani kati ya Lissu na Magufuli ana lugha ngumu yenye kuudhi isiyo na staha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…