Ushauri: Nampenda lakini sijui niendelee kumtongoza au niache

Ushauri: Nampenda lakini sijui niendelee kumtongoza au niache

Soma sana dogo. Embu anza kujifunza na ujasiriamali life huku kitaa gumu sana.
 
HUMPATI DUE TO;-Hujui kuandika-Uko na uandishi mbovu hata kama neno liko romantic linapoteza ladha ukishaliandika,, perhaps ulimtongoza kwenye simu.ndo ulimwandikia, NIEREWE.penzi rangu kwako harierezeki... Imagine we ndo demu ungekubali?. Alafu wewe ni mvulana,kwa maelezo yako tu wana MMU washaliona hilo,
 
Ila kodi zinapata tabu sana,kama wasomi wenyewe ndo hawa...😂😂
 
Nienderee!,,sierew!,,duuhhh ndo maana hakujbu text mkuu.....bt rekebisha uandshi wako mwanachuo nadhan atakuelewa vzur
 
Lakini sikuwa ns mpango nae

Lakini sina imani na wanawake

Ila nilikuw nampend lakin najikaz kwasababu nilikuw naogopa kumtongoza

lakin nikichat nae haachi kuniita DEAR so nashindwa kuerew kabisa na ndo nimejikuta nampenda sana jaman


☆☆ Hivi corona haijakwisha tu watoto warejee shule ? Naona masomo ya kwenye TV hayatoshi kuwaweka busy

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Vyuo vikifunguliwa nakushauri usirudi chuoni.

Tafuta shughuli nyingine ya kufanya
 
Back
Top Bottom