HUMPATI DUE TO;-Hujui kuandika-Uko na uandishi mbovu hata kama neno liko romantic linapoteza ladha ukishaliandika,, perhaps ulimtongoza kwenye simu.ndo ulimwandikia, NIEREWE.penzi rangu kwako harierezeki... Imagine we ndo demu ungekubali?. Alafu wewe ni mvulana,kwa maelezo yako tu wana MMU washaliona hilo,
rakini ukute rabda saha nyingine mwanamke hanamuherewa msera sana rakini anajifanya kama haerewi somo vireeeeee.
mimi namushauri msera wetu akomae tu iko siku mwanamke atakubari kwani wanasoma chuho gani?