Covid nineteen
Member
- Apr 28, 2020
- 24
- 46
ndo vzr ukisema ukomae utakuja hadithia tu unakuwa kama extra tu
PoaUnaweza ku edit uzi wako ili uweze eleweka?maana umeandika kama wote humu ndan n wakurya
Huu ni uandishi wa mwanachuo,hakuna nukta mwanzo hadi mwisho....
Hawa ndio wasomi wetu wanaoandika kama bata kaharisha, yaaaani rrrrrrrrrrrrrr kwenye llllllllllllHuu ni uandishi wa mwanachuo,hakuna nukta mwanzo hadi mwisho....