Ushauri: Nampenda lakini sijui niendelee kumtongoza au niache

Hizi nukta nzakazigani (......) Au unaziweka kwajili yaurembo rudia tena kuandika mpaka utakapo weza kuamdika vizuri
 
Huko chuoni nadhani utakua unasomea mita za maji,kwa muandiko huu lazima akukatae tu.
 
hivi wewe umefikaje chuo na uandishi huu, penye l unaandika r
 
Baadae mnasema graduates wa UD wanajiona wasomi au mnakuja humu kuponda UD mkiongozwa na Popoma! kama wanafunzi wenyewe wa vyuo vyenu ndio hawa acha a1mpondwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo
Dogo soma kitaa pagumu huku
 
Naenda kuwaambia wazazi wako kwamba wamekulipia ada usome, we' badala ya kuzingatia masomo unahangaika jinsi ya kutongoza wasichana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…