Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wengi hamjui matatizo ya kwa nini baba anaweza kufikia maamuzi ya kusalenda kuhusu mtoto, Inahitaji maturity kuyajuwa haya mambo kwa undani.Mtoto alihitaji kulelewa sio kuzaliwa.
Alizaliwa bila kupenda,akapenda apate malezi Bora.
So hapo baba mlezi ndo muhusika na siye mzazi.