Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 584
- 767
Jiangalie mara mbili viceversa is trueWewe ni lofa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiangalie mara mbili viceversa is trueWewe ni lofa
Tuanze kwanza kwanini akukimbie?😂unaona? Una matatizo weweTuulize sisi tukuelezee situation nzima mm mke wangu alikimbia na mtoto anampeleka kwao sasa vita ilikuja kwenye kumchukua ndugu zake walingaka kama chui alieguswa mkia
Zawadi ampe baba mlezi huyo mwingine aendelee kushangaa tu mana yeye alijua kukata mauno na kula kona.Na zawadi ya alphard je kwa Baba mlezi
Zawadi iende kwa yoyote yule,ila suala zima la jambo hili basi lifikishwe kwenye chimbuko lake{Kwa Baba Mzazi} huko ndipo mizimu ya Kinyalu,wajinga na makabila ya chimbuko la iringa, kwenye milima ya kitonga akafanyiwe na Tambiko ili ndoa isiwe ndoano, suala zima la zawadi aangalie mapenzi yake yanaenda wapi.Wahenga tuliposema DAMU NZITO KULIKO MAJI basi muwe waelewa,Habari wana jf kuna ishu inachanganya huku, kuna harusi miezi 3 ijayo sasa huyu binti anayeolewa anababa yake mzazi ambaye Hakushi naye alikuwa anaishi na mama yake wa mzazi wa kumzaaa na baba wa kufikia, Sasa kwenye malezi Baba wa kufikia ndo alikuwa ana muhudumia kila kitu na alikuwa anaishi kwake lakini Baba yake ambaye alikuwa na ndoa nyingine kahusikia kwenye malezi kiasi kidogo sana tena sana, na kwenda kwa Baba mzazi alikuwa ni likizo tuu kama 2 weeks anarudi kwa mama na baba wa kufikia.
Sasa kapata kigugumizi kuhusu wapi apeleke mchumba wake apeleke posa na pia wapi mahari ikatolewe pamoja na wapi afanyie send-off wake kwa Baba yake mzazi au malezi?
Baba mlezi kamwambia kuwa aende kule kwa Baba yake mzazi iringa. Ila binti anaona Baba yake mzazi hakuusika hata kwenye malezi alimuacha kwa mama yake akiwa na umri wa mwaka 1 na yeye kuoa mwanamke mwimgine. Kuna kipindi akimuomba hata pesa kidogo mzee anazungusha maneno tuu.
Sasa send off ifanyike iringa au dsm anapoishi na mzazi mlezi?
Na kama dsm nani aiandae sherehe hio?
Na kuna zawadi anataka kuotoa ya Alphard gari kwa Baba mlezi coz alimlea kama mwanae wa kumzaa bila kubagua na hata baada ya kumaliza chuo alimsaidoa kumtafutia kazi na pesa kidogo alimpa.
Na ikifanyika iringa zaiwadi ya gari ampe mlezi kule iringa.
KAONGEA NA WATU WENGI WAMEMWAMBIA KUWA AMSHILIKISHE TUU BABA MZAZI NA SIO BABA MLEZI. ITAONEKANA NI AIBU.
Unajua maana ya baba..utakuja kuolewa shauri yako..kama unafahamu maana ya baba na ukisoma comment ya niliyem-quote utanielewa tofauti na hapo utaolewa.Jiangalie mara mbili viceversa is true
Ndani kina vimbwanga vingi ndugu yangu acha tu nilimpa kila kitu na yy akanipa kila kitu lakini sasa maraaa paap tukachana mpaka saivi sitaki tena kuowaTuanze kwanza kwanini akukimbie?😂unaona? Una matatizo wewe
Ndio maana kumbe ulikimbiwa ngoja nikuignore tu mzeeTuulize sisi tukuelezee situation nzima mm mke wangu alikimbia na mtoto anampeleka kwao sasa vita ilikuja kwenye kumchukua ndugu zake walingaka kama chui alieguswa mkia
VizuriUnajua maana ya baba..utakuja kuolewa shauri yako..kama unafahamu maana ya baba na ukisoma comment ya niliyem-quote utanielewa tofauti na hapo utaolewa.
Baba mzazi akiwa na akili na uwezo wa kufikiri vizuri hawezi kuruhusu sherehe ifanyike kwake. Mtoto ni wa kwake, uhuru wowote atakao mpa mtoto kuamua katika hili jambo,mtoto atafarijika sana na utakuwa ushindi kwa baba mzazi kumrudisha mwanae kiaina kwake.Kiuhaisia baba yake mzazi yupo,hiyo zawadi ya gari iende Kwa baba mlezi,ila kwenye eneo la baba mzazi mbingu zinafahamu kuwa baba mzazi ni nani.usiingia kwenye changamoto za wazazi ,yeye afanye kulingana na protocol zinavyohitaji.Baba mzazi asimane mahali pake
Sawa baba yangu, basi kama Mimi mtoto naamini wewe akili za uzee zimeanza kukusumbua Mzee wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ni mtoto huna unalolijuwa.
Una limdomo refu shost!Hata kama waliachana sio sababu ya kuwa mbali nae. Si angemchukua akae nae? Nyie watupa watoto huwa mna akili mbovu sana
Ah sasa ulienda ustawi wa jamii kufatilia swala la custody ya mwanao? Nadhan ungeenda kule mkajadiliana kuwa bado unataka kuwa part ya maisha ya mwanao. Umlee. Umlipie matunzo, umlipie ada. Lazima tu ustawi wangeruhusu uwe unapata muda wa kuwa anakuja kukutembelea au wewe kwenda kumtembelea. Ila swala tu la mtu hafanyi any efforts, anadisappear afu anakuja ukubwani na kudai eti yeye ndo baba mzazi ni upuuziNdani kina vimbwanga vingi ndugu yangu acha tu nilimpa kila kitu na yy akanipa kila kitu lakini sasa maraaa paap tukachana mpaka saivi sitaki tena kuowa
[Kata ndoa]
Mimi sio shost wako. Tuliza mnduku. Utakuja kubanduliwa kizembe sanaUna limdomo refu shost!
Nenda Sinza KamanyolaUtakuja kunibandua kizembe sana
Pumbavu mwenyewe ngese kweli we lazima utakuwa upinde sio bure. Lazima na wewe umetelekeza mtoto hulei ukitegemea eti biology nyokonyoko, sperm donor mkubwa wewe na bado mkitelekeza watoto jiandaeni kisaikolojia ukubwani.Pumbavu wewe! Uzazi maana yake kuchangia mbegu ndiyo! Mbona mnageuza vitu kijinga? Uzazi ni nini sasa? Anakwambia alimlea kidogo! Ana mzani wa kupima kiasi cha malezi. Aende kwa mzazi wake aachane na laana hizo.
Kwa kuwa na mlezi yupo ashirikiane na mzazi wapokee mahari. Kwisha!!
Endelea kuedit. MakuNenda Sinza Kamanyola
Mkuu Baba mlezi kamwambia kuwa aende kwa Baba yake mzazi iringa.Tumeshachoka kuwashauri kitu kimoja kila siku.
Kwenye complication ya Wazazi swala la mahari linasimamiwa na wajomba, msijitafutie laana ambazo baadaye mtaona mmelogwa kumbe hamna akili.
Baba mlezi uwezo anoa sio kwamba ni masikini watoto wake wote wamesoma private mzuri sana.Mlivyokuwa hamna akili Alphard mnaona kama kitu cha maana sana, mafuta atakuwa anaweka yeye?