Kweli ananitia hasira hasa Yan nikiona sms kutoka kwake nahis kupata kichaa lkn nitajitahidi shangaziPunguza hasira Shangazi. Namna nzuri panapo wezekana unajibu na pasipo wezekana hujibu. Yes yako iwe Yes na No yako iwe No, sio kila mtu anachotaka lazima akipate weka mipaka kwenye mawasiliano tu
Ukishajua ni yeye unakata au unaacha kujibu. Ikiwezekana mtishie kumchukulia restraining order.Somtym namba ngeni dear
Nimeet nae alivotoka chuo tu hata kazi alikuwa Hana ukiona mwanamke wako anaangalia pesa kajichunguze vizuri unashida mahali au lah hupendwiKweli mwanawane. Kumbe hawa warembo ukiwa na hela unaweza ukawa wajilia utamu tuu bila ata kumuoa. Sii umeona mwengine hapo kasema jamaa alikuwa anakula mbususu miaka saba
Hii nafasi hupatiPole shangazi. Na mie nimeachika usiku wa jana baada ya mwanamke kupata promotion kazini, tumedumu kwa miezi miwili tu πππ hapa natafuta wa kuziba nafasi chap chap
Love you sophy27Nimeet nae alivotoka chuo tu hata kazi alikuwa Hana ukiona mwanamke wako anaangalia pesa kajichunguze vizuri unashida mahali au lah hupendwi
Shida ipo kwako Shangazi yangu. Maandiko yanasemaKweli ananitia hasira hasa Yan nikiona sms kutoka kwake nahis kupata kichaa lkn nitajitahidi shangazi
Hicho ndiyo kilichopo. Mtu mwenye nia hawezi shindwa kufunga vioo.Huyu sophy naona nae bado ana matumaini ya kupindua meza ndio maana
Mwee kumbe ulikuta nae alivyotoka chuo...ah huyo nyege tuu zilikuwa zinamsumbua. Kubalintuu kuwa ulikuwa kipozeo. Hakukupenda.Nimeet nae alivotoka chuo tu hata kazi alikuwa Hana ukiona mwanamke wako anaangalia pesa kajichunguze vizuri unashida mahali au lah hupendwi
Hii ngumun, hata sijisumbui ππππ.. Kila gear nayo jaribu kutupia huwa inatupiliwa mbaliHii nafasi hupati
Aisee siwez Tena Yan ndo imeisha hiyo naaamini kilamtu anawake Ni suala la mudaKama unataka kuwa mke wa pil sawa..Lkn kama bado unapenda kupoteza mda itakula kwako..Move on nakubali matokeo..Allah atakujalia anaekupenda wakati ukifika..Pole sana..
Ngoja nijitwalie sasa na vile hatutoangalia muda nitamkolezaHii ngumun, hata sijisumbui ππππ.. Kila gear nayo jaribu kutupia huwa inatupiliwa mbali
Nimekaa hapooo ππππππNgoja nijitwalie sasa na vile hatutoangalia muda nitamkoleza
π€£π€£π€£π€£Ila kweli bhna lkn x baada ya kujua nipo na tulikuwa hatujaachana akanywa sumu nikaona sio poa aisee mapenz yasitufikishe hukoMwee kumbe ulikuta nae alivyotoka chuo...ah huyo nyege tuu zilikuwa zinamsumbua. Kubalintuu kuwa ulikuwa kipozeo. Hakukupenda.
ππ Jimbo lipo wazi.. Ila kula za maoni tu chaliiinoma sana