Sijamkatisha tamaa, huu ni ukweli mapenzi ya mbali ni changamoto zaidi hili lipo wazi. Hayo mengine ataangalia mwenyewe afanyaje.Usimiatishe tamaa,
Kama Yuko serious Aangalie upendo,
jamaa yake kachepuka TU bahat mbaya,
Na jamaa alivofala kakiri, ndo kaharibu kabisa
Muulize BeesmomNdo nn self service??
Sophy,Iyo ndo shida namba moja naiona sidhani km tungekuwa karibu tungefikia hiv pia mm mwajiriwa kurudi huko ni. Changamoto lkn ndo maisha
Kwakweli mm falasanaπ€£π€£π€£π€£Huyo mwanamke kakuona wew ni falaa sana na wewe unamuendekezaa... kata mazoea sio kwamba unamchukia ila huna haja ya kuendelea kuwasiliana nae na inonesha hana uhakika juu ya hiyo ndoa aliyodanganywaa ataolewa soon mkuu achana nae USIJIBU MSG KABISA.. usimblock wala nini ila akipiga hupokei na akituma msg hujibu kama kweli unajitambua na unasimamia ulichoamua utaweza ila sasa wew mwenyewe unaonekana unamkubali bado manzi kupita maelezo
Vitumbua napenda ππNgoja nije na vitafunwa my wangu maana sipendi uteseke
Ni mdada mwenye hiki kisa, mwanaume ndio anazingua.Huyo mwanamke kakuona wew ni falaa sana na wewe unamuendekezaa... kata mazoea sio kwamba unamchukia ila huna haja ya kuendelea kuwasiliana nae na inonesha hana uhakika juu ya hiyo ndoa aliyodanganywaa ataolewa soon mkuu achana nae USIJIBU MSG KABISA.. usimblock wala nini ila akipiga hupokei na akituma msg hujibu kama kweli unajitambua na unasimamia ulichoamua utaweza ila sasa wew mwenyewe unaonekana unamkubali bado manzi kupita maelezo
ππKwakweli mm falasanaπ€£π€£π€£π€£
Huyo depal alinipiga kibuti zamani sana
Akupokee mochwar kabla haijapoaMzabzab π labda nife
Mbona mpo upande mmoja? Hapa mnatetea upande mmoja hamjui pia shida upande wa pili Bruuu. Hawa wanawake wenye hela na kazi zao ni mateso humu basi tu.. Wanawake wapo busy na hela na kazi kama ndio vime wao, ambavyo vinapelekea sie kutafuta faraja nje huko.. Naona hata huyu bi Aunt nae kuna mahala alikuwa anakoseaHuyo mwanamke kakuona wew ni falaa sana na wewe unamuendekezaa... kata mazoea sio kwamba unamchukia ila huna haja ya kuendelea kuwasiliana nae na inonesha hana uhakika juu ya hiyo ndoa aliyodanganywaa ataolewa soon mkuu achana nae USIJIBU MSG KABISA.. usimblock wala nini ila akipiga hupokei na akituma msg hujibu kama kweli unajitambua na unasimamia ulichoamua utaweza ila sasa wew mwenyewe unaonekana unamkubali bado manzi kupita maelezo
Hili ni jibu kabisaNilikuwa kwenye serious relationship miaka 3 hiv na tulipanga tufunge ndoa mwaka huu baada ya kuwa mbali akaamua kurudiana na x wake namwisho akakubali kuwa kweli wamerudiana na kizurizaidi alisema sijawahi mkwaza na hakuwa na sabbu ya msingi ya kunifanyia hivo nikaona Riziki tu kumbe Ilikuwa imeisha maisha yaendelee.
Ila nilikuwa nawapendasana yeye familiayake na hata mtotowake na nilikuwa nawaona km nduguzangu kabisa lakin baada ya hayo sitaki mazoea nae kabisa niishi maisha yangu.
Shida ni kuwa analazimisha tuwe karibu na mm nilishakataa nishamblock mara kadhaa lakin atatafuta namba anipigie mara anitext nikaona nimuunblock tu ndugu zake Bado wananitafuta mara hiv mara hivi, naona wananirudisha nyuma Kila wakat mnipe mbinu mpya sitaki kusikia habarizao kabisa.
View attachment 2370362View attachment 2370363View attachment 2370364
hii bahati sijaipata na naitaka sanaHili nilisha experience, nilikuwa na mdada kanizi pesa nilinyooka
Akupokee mochwar kabla haijapoa
Mie ushauri wa mapenzi sina kwa kweli siku hizi. Nikiangalia jinsi mahusiano yangu yanavyoniendesha sitaki mtu apitie.
1. Vipi uyo Jamaa yako unampenda na malengo nae?Uliza