Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asingekiri msingefika kote uko,Aisee kiukweli tangu huko mwanzo tunapendana sana hta sahiz mtu umwambie tumeachana hawez amini ila uaminifu ni km glass ya kioo kaka ukivunja haiwez kurudi Tena na alikiri kweli lkn Kuna mawil kuwin au kupoteza huwez jua mtu anachowaza n kma hakuna nilichomkwaza maana yake hakuona thamni tu ya upendo ya nn nijifanye kupnda sana
Ndio za mpenzi wako aliekuacha?Hizo zarangi nyeupe sionzangu
Kwanza pm imefurika au wamekausha 😂Wee mie sii nilikwambia njoo tuanze kwanza kuwa bf and gf
Wameukausha....naona hawataki kuzaa na mieKwanza pm imefurika au wamekausha 😂
Nilikuwa kwenye serious relationship miaka 3 hiv na tulipanga tufunge ndoa mwaka huu baada ya kuwa mbali akaamua kurudiana na x wake namwisho akakubali kuwa kweli wamerudiana na kizurizaidi alisema sijawahi mkwaza na hakuwa na sabbu ya msingi ya kunifanyia hivo nikaona Riziki tu kumbe Ilikuwa imeisha maisha yaendelee.
Ila nilikuwa nawapendasana yeye familiayake na hata mtotowake na nilikuwa nawaona km nduguzangu kabisa lakin baada ya hayo sitaki mazoea nae kabisa niishi maisha yangu.
Shida ni kuwa analazimisha tuwe karibu na mm nilishakataa nishamblock mara kadhaa lakin atatafuta namba anipigie mara anitext nikaona nimuunblock tu ndugu zake Bado wananitafuta mara hiv mara hivi, naona wananirudisha nyuma Kila wakat mnipe mbinu mpya sitaki kusikia habarizao kabisa.
View attachment 2370362View attachment 2370363View attachment 2370364
Tena huyu kelsea ukiwa unafanya sexting naona unaweza piga multiple goals maana anajua kusimulia mambo ya mnyanduanoNgoja nije niijaribu kwa Kelsea nione Kama itafanya kazi[emoji28]
😂 PoleWameukausha....naona hawataki kuzaa na mie
Kwa maelezo yako,Now namchukia sana yaani
Ananipenda baada ya kujua nimegundua ukweli niliongea sana na hkunjibu zaiid alinambia tu tutaongea hasirazako zikiisha Hadi Leo hazijawah kuisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]pia namba ya msichana alinipa mwenyew nimpigie sema baada kumpigia msichana akatishia kunywa sumu nikaona mapenz Sio vitu vyangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo ya kwanza Kwa miaka yote napata na uhakika zingine sijawah kuhis Wala kujua pia tulikuwa kwenye open relation ship yaan ukidate nae uwe na rohongumu sana maana nikiwepo tu lazima upigwe stop Kwa muda
Kuwa muislam haimaniishi mtu hafanyadhambi ndio maana Kuna makosa kuna kutubia pia na na hakuna dini iliyohararisha zinaa ila sie wote vijana makosa hayakosekaniSasa bibie ulikubali vipi kuwa katika mahusiano miaka mi 3 bila ndoa ? Na nyinyi nyote Waislamu na Uislamu umerahisisha jambo la ndoa.
Haya yanayo kukuta ni machumo ya mikono yako, kwa maana angalia wapi ulikosea Kisha rekebisha ulipo kosea.
Kingine unatakiwa uwe na msimamo kama umeamua kuachana nae, basi fungal milango yote ya wewe kuwa karibu naye.
Mtoa mada seems bado anamwelewa jamaa .anatuchosha tu hapa aise..unajibi sms kwann hata kama namba ngeni? Hawa bado wanapendana wanatuzuga hapaUkishajua ni yeye unakata au unaacha kujibu. Ikiwezekana mtishie kumchukulia restraining order.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wameukausha....naona hawataki kuzaa na mie