USHAURI: Nataka kuacha kazi ila nina mkopo Benki

X=Ndiyo Nini Umeandika?
 
Process ya kuacha kazi ni pamoja na kukabidhi ofisi na wakati anafanya clearance ndio atakutana na deni lake, dhamana muhimu ni leseni ya Udaktari wakirevoke inakula kwake
 
kwani waswahili si walisema "deni halimfungi mtu"
 
Dawa ya deni ni kulipa. Wewe ni professional una operate kwa kuwa registered na pharmacies zote zinakuwa registered hivyo ni rahisi wewe kuwa traced. Endelea na kazi huku ukilipa deni na kusimamia biashara zako alternatively muone mkopeshaji yeye atakuja kutathmini miradi yako akiridhika anaweza kuandika mkataba mpya kuwa utalipa kutoka kwenye mradi wako. Ikiwa hivyo basi una acha kazi. All the best.
 
Vijana mnapenda short cut sana yanini uchukue pesa za watu halafu hutaki kulipa(unataka kuacha kazi)?
Bora ungeenda Mombasa ungepewa pesa zaidi ya hizo bure kabisa na ungekuwa huru bila deni.
Tafadhali subiri umalize deni ndio uende unakotaka.
Acha haraka kwenye maisha.
 
Mombasa qmmk
 
Usiache kazi lipa deni la watu ndio uache.
 
Wewe ni genius.
Ushauri: Anza kuwa mtoromtoro, wiki hii unaenda wiki nyingine unatulia na mishe zako.
Mwisho wa siku utafukuzwa kazi na mafao yako utalipwa.
Njia nyingine: Omba ruhusa ya miaka 3 isiyo na malipo.
Hutalipwa mshahara. Then ukiona biashara imechanganya fungua dispensary hapo ndo uache kazi kwa mbinu nambari 1 hapo juu
 
Mimi niongezee swali , una mkopo Benki lakini unataka kutimkia Nje ya Nchi kuna njia yeyote ya kuku trace ukitaka kusepa abroad?
 
Sasa wewe wakati unapanga huu mpango wa kpata ajiri huku ukijua unataka kuchumpa hukulifanyia utafiti hili u alotuuliza sie hapa
mzabzab Jana ulinifurahisha sana kwenye ile thread πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Long live asee
 
USHAURI.

MIKOPO YA SERIKAL MZAMINI NI MWAJILI PIA INAKUWA NA BIMA.

IKITOKEA UMEKUFA,UMEFUKUZWA KAZI NA MENGINE BIMA NDIYO INAHUSIKA.

NINA MIFANO YA WATU WALIOKOPA WAKAACHA KAZI SIKUONA WAKIFATILIWA KULIPA PESA HIZO.

Mfano, watu wa Vyeti Fake waliondoka kimya kimya.

ingawa kuna usumbufu unaweza kujitokeza kama kupigiwa cm na bank ila huwa unaisha.

NB.
Kabla ya kuacha kazi kwa madharau nakushauri OMBA LIKIZO HATA YA MIAKA 2 AU 3 BILA MALIPO.

Ndani ya muda huo utapata picha halisi kuwa maamuzi yako ni sahihi au si sahihi, pia itakupa tathmini halisi ya maendeleo ya biashara hiyo.

Ukiacha kazi kwa DHARAU bila kufuata taratibu HUTAAJIRIWA TENA NA SERIKAL YA TZ hata mambo huko yakigoma basi ujuwe huna msaada tena.

Lakini ukiacha kazi kwa Adabu SERIKAL HAINA ROHO MBAYA cku ukizidiwa unarudi tena unalia lia wanakuajiri.

M 35, Ni nyingi pia ni kidogo, zinaweza kuisha au zinaweza kukutoa HASARA HUWA HAIPANGWI LAKN HUWA INATOKEA NI VYEMA KUWA MAKINI KABLA YA KUFANYA MAAMUZI.

MWISHO.

Tafuta mtu wa Bank muuziwe wazi bila kuonesha kuwa wewe ndiyo mhusika.

Mwambie mdogo wangu ameniomba ushauri yeye ni mfanyakazi amechukua mkopo milion 10 lakini anataka aache kazi,

Nimeona kabla ya kumpa ushauri niambie je mkopo wake itakuwaje.

KILA LA KHERI BWANA MKUBWA.
 
Thread ipi hiyo mrembo
ile natafuta mume.

ukajibu eti mambo unaeza dojistaili? au wewe hupendi? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
ile natafuta mume.

ukajibu eti mambo unaeza dojistaili? au wewe hupendi? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hahaha wewe bwana unajua wengine wamesema hawataki kuchunguliwa chura zao wakati mie napenda doggy maana napata mwanya wa kifyonza kinyeo....kale kaharufu kananipa stimu
 
Unawaza kukimbia mkopo ambao mdhamini ni serikali? Hama nchi kabisa maana umesajiliwa nida hata wazazi wako watakamatwa ili wewe upatikane.
 
tutakupa money laundering na economic case,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…