Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ajabu mtu kuwa Daktari?Wewe ni Daktari?!!!
Maamuzi ya mtu tu kila mtu anakula kutokana na urefu wa kamba yakeHuu ni ujinga!! Badala ya kutumia kazi kulipa mkopo na pia kuendeleza biashara unataka kuacha kazi?
Kwa utaratibu wa kuacha kazi kama ulivyosema ni lazima ulipe mkopo hivyo utapoteza ajira na fedha.Habari za asubuhi?
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza nimeajiriwa na serikali taaluma yangu ni Daktari wa binadamu (medical doctor) kuna mkopo nimechukua wa thamani ya mil 35. Nimefungua pharmacy pamoja na maabara.
Nataka niache kazi nisimamie biashara zangu. Je, nikikimbia serikali haiwezi kunitafuta kunipeleka mahakamani ili nilipe deni lao?
Je, hata wakinipeleka mahakamani wakitaka nilipe deni nitalipa vipi wakati kazi sina?
Au watanifungulia kesi ya uhujumu uchumi?
Naombeni ushauri katika hili?
NB: Lengo la kupata ajira serikalini ili nipate mkopo na kufungua miradi yangu kwa haraka na si kufanya kazi na serikali
Hawez nyanganywa Lesen. Mkopo na Lesen wapi na wapi. Të amedhaminiwa na serikal, so benk wataenda serikal Kwa mdhamini kujua wapi alipo na serikal ndo imtafute. Usumbufu anaweza pata pata Hasa akiwa jiran maeneo ya kaz ya zamanUsimdanganye kumbuka amedhaminiwa na Serikali so akiacha kuna mengi atapoteza hadi alipe ikiwepo Leseni ya Udaktari
So wakikupata na ukasema huna hela nini kinafuataHawez nyanganywa Lesen. Mkopo na Lesen wapi na wapi. Të amedhaminiwa na serikal, so benk wataenda serikal Kwa mdhamini kujua wapi alipo na serikal ndo imtafute. Usumbufu anaweza pata pata Hasa akiwa jiran maeneo ya kaz ya zaman
Sio kweliKesi lazima Ukutane Haitokuwa Ya Uhujumu uchumi bali Ya Madai Ambayo inaweza simama pia kama jinai.. Na kama isemavyo sheria ya madai inatoa Haki ya Mahakama kukamata mali za Mdaawa Ili kulipa Deni Hivyo Mkopo utalipwa kwa mali zako kukamatwa mafano wa mali zinazoweza kukumatwa ni hyo phamacy uliyonayo.
Mnacomment huku mkiwa hamjui kitu, hii ndio shida ya watanzania.Dhamana ya mkopo wako ilikuwa ni nini?
Kama ilikuwa ni Asset zako binafsi,upo huru kuacha kazi ila kama ni kazi yako kupitia mshahara wako basi huwezi kuacha kazi kwa namna yoyote ile mpk pale mkopo wako utakapoisha
Huenda wengi humu hamjui chochote. Kuacha kazi sio lazima ukabidhi ofisi, japo kiungwana inapaswa kuwa hivyo.Process ya kuacha kazi ni pamoja na kukabidhi ofisi na wakati anafanya clearance ndio atakutana na deni lake, dhamana muhimu ni leseni ya Udaktari wakirevoke inakula kwake
Sawa Manager wa NMB Bank tawi la MakumbushoMnacomment huku mkiwa hamjui kitu, hii ndio shida ya watanzania.
Dhamama hapo ni mshahara wake, aliacha kazi, akifukuzwa au akiwa retrenched basi na mkopo unakua ndio umeisha hivyo landa itategemea na yeye akiamua kuendelea kulipa kwa anavyojua yeye.
Bank watakuwa wanampigia simu kumuuliza kuhusu Hilo deni lake na hawatakua na cha kufanya zaidi ya kumsubiri alipe Ila baada ya muda wataachana nae na ataingizwa Kama defaulter.
Huenda na wewe kuna kitu hujui kutoa notice ya saa24 unatakiwa kulipa gross salary ya mwezi m1 kwa mwajiri na atazuia michango yako ya Pspf, na atahakikisha unalipaHuenda wengi humu hamjui chochote. Kuacha kazi sio lazima ukabidhi ofisi, japo kiungwana inapaswa kuwa hivyo.
Unaweza kuwapa 24hrs na ukaachana nao
Ndo hawa anapiga oparesheni aacha mkasi kichwani.Ma Md wetu hawa 🤣🤣🤣