HONGERA kwa uamuzi uliochukua,,,, hakika umeukimbia Umasikini kwa Akili kubwa sana
Mikopo ya namna hio huwa analipa Mdhamini wako,,,,ambaye ni Serikali.... na huchukua Jukumu hilo pale ambapo Serikali imekusimamisha kazi......
so mbinu ya KITAPELI ni kuanza kuchelewa Job,,na FIgisu ambazo zitafanya usimamishwe, au usiende ilimradi usimamishwe then endelea na mishe zako kitaaaa....Note: hakikisha hufanyi Msala wa kwenda Police,,,zingua tu taratibu binafsi za kazi..mf,,kuwahi kazini n.k
But JIFUNZE KUNYAMAZA WAKATI WA KULA,,,,hili lengo lako hata mkeo asijue,,wala Mzazi.,,wala mfanyakazi mwenzako.
Utanishukuru baadae