ingekua enzi za Kikwete ungeacha kazi tena bila taarifa, na hilo deni lingeendelea kukatwa ktk mshahara wako (ungekua huupati)
Ila kwasasa hiv usijaribu kufanya upuuzi wowote utafia jela unajiona, utafilisiwa na utaona maisha machungu... Sasa hivi serikal haijumuwi watch out
Ni heri uvumilie