Ushauri: NEMC fanyeni haya ili kupunguza kelele za muziki mtaani

Ama kweli msemo wa mtaa mada " Bongo wanaona ni haki yao kukera wengine "
 
WABONGO unawajuwa lakini wewe? Wataomba kibari cha piano! Lakini huko ndani watafunga busta za sebene!
Ndomboro ya yesu itapigwa kama kawa! Na watatoa ushuhuda kwamba yesu katenda miujiza ya busta
Kuna stika nimesema zinabandikwa seal
 
Kuna haya makanisa uchwara yanapiga kelele unakuta wamekodi nyumba kwenye makazi ya watu, usiku wanatumia speaker usiku kucha waweza usilale na wao hawajali waanze kupigwa fine
Ndo changamoto hiyo
 
Nani wa kumfunga paka kengele wakati wa kampeni miziki kila kona hata mbio za mwenge nazo kelo mwenge unapo lala mtaa huo watu wote watakesha kwa kelele na vibaka na uzinzi matangazo ya makampuni ya simu pombe kelo bado makanisa kitu kibaya zaidi jafo ajiwezi kabisa wizara ilisha mshinda yupo yupo tu
 
Research sheria za serikali za mitaa (municipalities )zipo sheria zinazohusu mambo haya including maduka ya kiti moto,utekelezaji ni zero
Kanisa lipige kelele ulipeleke serikali ya mtaa kwanza wakiitwa awaendi chezea kanisa wewe
 
Kanisa lipige kelele ulipeleke serikali ya mtaa kwanza wakiitwa awaendi chezea kanisa wewe
Sisi tulikwenda serikali ya mtaa, tukawaelezea kero yetu ya mziki mkubwa wa kanisani, wakaitwa wakasema wana kibali kipindi mwenyekiti wa serikali ya mtaa alikuwa anatokea Chadema na sasa ni CCM hivyo hawana uwezo wa kuwakatalia. Wanasali Mala 5 kwa week, Jumapili saa moja asubuhi ni lazima muamke. Mziki mkubwa kama uko nao ndani.
 
Mkuu umeandika points sana sana tatizo ni hawa wahusika NEMC wapo maofisini tu kusubiri mishahara na kwenda kupiga 'deal' kwa watu wanaoingiza mifuko ya plastics!
 
Kuna pesa za bure kwenye hivi vyombo vya mziki serikali kusanyeni pesa za maendeleo jamani! Mkajenge madaraja!
Tokomezeni kero kwa faida!
 
Kuna haya makanisa uchwara yanapiga kelele unakuta wamekodi nyumba kwenye makazi ya watu, usiku wanatumia speaker usiku kucha waweza usilale na wao hawajali waanze kupigwa fine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dear
 
Wameshindwa kucontrol vituo vya mafuta ile sheria hawaifuati, wataweza kwenye miziki kweli, haya njoo mipango miji kila nyumba ina fremu ya biashara ndio maana hata sipermarket au malls kwa Tanzania hazina deal, wangeweka wazi makazi ya watu hapatakiwi kuwe na viduka au vifremu tungekua na makazi bora yenye utulivu lakini sasa ni balaa
 
HAKIKISHENI HAKUNA MTU ANAYETUMIA SPIKA KUBWA YENYE DECIBEL'S kinyume na kiwango elekezi pasipo USAJILI!
Sijui Kama unaelewa ulichoandika


Yani ninunue speaker yenye sentivity ndogo eg 100w 78Db Chinese one niache candy 100w 98db?




Hapa enyewe tuna repair coil za candy 18inch double bass 2000w RMS jpil tuna kiwasha Ni kusifu na kuabudu
 
Sijui Kama unaelewa ulichoandika


Yani ninunue speaker yenye sentivity ndogo eg 100w 78Db Chinese one niache candy 100w 98db?




Hapa enyewe tuna repair coil za candy 18inch double bass 2000w RMS jpil tuna kiwasha Ni kusifu na kuabudu
Bahati nzuri bidhaa zote zinajulikana sokoni! Za kubumba zinajulikana!

Na mbali na specification! NEMC wanaweza kutumia mashine maalum ya kupimia kiwango cha mtetemo (DECIBEL'S METER au SOUND METER)
Hili zoezi NEMC wakiamua hamtoboi popote na janja janja! Wakishindwa wabinafisishe hilo zoezi la USAJILI wa spika! Halafu NEMC wabakie kuratibu na kuhakiki na kusikiliza kesi
 
Swala unamuwekea Nani speaker nje tafuteni spika nzuri frequency za zile horn speaker zenu zinakera Sana

Sa 5:30am nasikia swala Ni kelele tu ambazo sielewi wanaongea nini
 
Swala unamuwekea Nani speaker nje tafuteni spika nzuri frequency za zile horn speaker zenu zinakera Sana

Sa 5:30am nasikia swala Ni kelele tu ambazo sielewi wanaongea nini
Wasibague Bali zoezi liwe la kitaifa na liguse kila mtumiaji wa mziki mkubwa mtaani lazima awe na kibali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…