Ushauri: Nifanyeje juu ya hali hii ya maisha yangu?

Ushauri: Nifanyeje juu ya hali hii ya maisha yangu?

Yani kaka hauna mtegemezi, uko mwenyewe kabisa, alafu laki tatu haikutoshi hata ku-save? Jitathmini tena aisee. Seriously. Ukute unakaa kwenye nyumba ya kodi ya laki au zaidi au matumizi yako ni makubwa. Hiyo pesa inatosha kukutoa kabisa.
 
Yani kaka hauna mtegemezi, uko mwenyewe kabisa, alafu laki tatu haikutoshi hata ku-save? Jitathmini tena aisee. Seriously. Ukute unakaa kwenye nyumba ya kodi ya laki au zaidi au matumizi yako ni makubwa. Hiyo pesa inatosha kukutoa kabisa.
Ila kuna kula, kuna kodi, umeme, maji, hela ya ulinzi, nauli za kibaruani, kuna vocha n.k nipe mbinu sasa mkuu niweke akiba kivipi kwa hiyo laki tatu ili nitoke kimaisha.
 
Back
Top Bottom